Ni kwanini Mkoa wa Pwani unaongoza kwa kutoa viongozi wa kitaifa?

Ila mkoa ule ulitoa kiongozi mmoja tu mkubwa ukaandamwa wee zaidi hata ya wamakua

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu viongozi wakuu Nyerere na Magufuli hawakutoka Pwani.
Ila kwa kweli kwenye upigania Uhuru nakuunga mkono Dossa Azizi,Rupia,Familia ya kina Sykes,Chaurembo,Jumbe Tambaza,Ramia,bibi Titi Mohamed,Mshumi kyate na wengine wengi na zaidi ya yote walikuwa waislamu.
 
Kwani akijenga kwao huko kwao ni nchi jirani?au huko kwao wanaishi wahamiaji.
Barabara ya tamco kibaha mpaka njia panda ya vikawe pale baobab.ile barabara NI ya kukosa Rami miaka yote mpaka leo?
Kwahiyo unashauri kila raisi awe anakimbilia kwanza kujenga kwao badala ya ku deal na nchi nzima?
 
Asante mkuu kwa list hii ya wapigania uhuru wetu.
 
Kwani akijenga kwao huko kwao ni nchi jirani?au huko kwao wanaishi wahamiaji.
Barabara ya tamco kibaha mpaka njia panda ya vikawe pale baobab.ile barabara NI ya kukosa Rami miaka yote mpaka leo?
Nafikiri hii inategemea na maono ya mtu. Nyerere hakuwahi kujenga kwao Butiama, Mwinyi hakujenga kwao Mkuranga, Mkapa hakujenga kwao Masasi, Kikwete hakujenga Msoga, ni Magufuli pekee ndio alikuwa na maono ya kujenga kwao.

Hata hivyo alishambuliwa sana na wanasiasa kwa kuonekana kuwa anapendelea kwao nk.
 
Hao ndo wakali wa donta,nyinyi wengine asili yenu ni kulima na kufuga maporini huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…