Kila mmoja anamuwahi mwenzake. Moja inawahi juu zaidi. Inatulia tuli.Hahahaa nasikia zinajifinya mpk inabaki 1.. kiungo cha ajabu sana hiko,, kimepasuliwa lkn bado kina madeko
Ya maziwa au black mamba?Chai
ndoman nilikukataa,, unaogopa hadi mende mxiuuu,,ile siku tunaingia tu lodge akapita panya,Dah umeamua kuja kunisema had huku π
Hahahaa nasikia zinajifinya mpk inabaki 1.. kiungo cha ajabu sana hiko,, kimepasuliwa lkn bado kina madeko
π³π³Nilivyokua mdogo mama yangu ilikua akiona mdudu yoyote ndani alikua haniambii maana nilianza kuwa na roho ya kikatili tangu mdogo kuna siku mzee wangu aliua nyoka wakawa wanatafuta mafuta ya kumchoma mama yangu alivyorudi akanikuta mzee wa kazi nimeshika wembe nimeanza kumpasua nyoka katikati alipiga kelele ya kushtuka hadi mi mwenyewe nikakimbia
Hii chachu sana nani atainywa?Ya tangawizi na malimau
Ah sasa mm ile siku nilijua n ww umeangusha hirizi zako zikaanza kutembea ndio mana nkakurukia πndoman nilikukataa,, unaogopa hadi mende mxiuuu,,ile siku tunaingia tu lodge akapita panya,
kidogo univunje mgongo kwa kunirukia.
Jinsi wanawake mnavopiga vizinga mmetufanya tuwe waoga mpaka kwa wanyama unahisi naye kaja kukupiga kizinga. Si wa chawi nyie mnashinda kwa wagangaUnakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana...
toka zako,,na uliruka na kuropoka MENDEEEEE na sauti lako la ovyoAh sasa mm ile siku nilijua n ww umeangusha hirizi zako zikaanza kutembea ndio mana nkakurukia π
ukosefu wa hela, huongeza hofu na uogaUnakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Ngoja nikampoze πUnazingua mkuu,shemeji kamaindi.
Kwenye topic ya reproduction πUmesikia wapi Deborah?
Nilichanganyikiwa babe, badala ya kuita hirizi nikasema mende πtoka zako,,na uliruka na kuropoka MENDEEEEE na sauti lako la ovyo