Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
woga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
woga
Next time sizingui babewoga
nitakurekod aseeeNext time sizingui babe
Yes babe, kwahy suala la pm limekuwa gumu babenitakurekod aseee
nitakuja ila kwa kuchelewaYes babe, kwahy suala la pm limekuwa gumu babe
mimi kuna mkoa niliwahi kuishi, manyigu ilikuja kutunga kwenye mlango wa jirani, alishindwa kuwauwa anakimbia, mkewe akaniita mbele yake akaniombe mimi niyauwe, anaongea kabisa mbele yake ati we mwoga kweli sijui kwanini upo hivi (anamwambia mumewe), mimi mtoto wa bush, nilichukua mfagio wa chelewa ulikuwa karibu, nilitandika kimoja tu manyigu zote zilisambaratika nikawa namalizia zile zinazotaka kuamka. futilia mbali.mkewe nikaona ananiamini mimi mbele ya bwanake, akaanza hadi kunipenda. nikajitenga naye.Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Kila mtu ni Mwoga akibanananishwa dadeki, me leo kuna jamaa nilimbana pabaya akawa anajipooza na uji wa moto jion hii yaan in short jamaa hajiamnUnakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Bc unaringa knoma na komwe lako hilonitakuja ila kwa kuchelewa
matusi yashaanza😂Bc unaringa knoma na komwe lako hilo
Nisamehe bossmatusi yashaanza😂
Aaah nimelia sanaNisamehe boss
Nje ya mada.:Pale dodoma tulipanga na mkulya mmoja muoga ajabu Hadi nilishangaa Sana mkulya huyu.
Siku Moja mjusi wale wa mabaka (madoadoa) aliingia chumbani kwakwe na akanasa kwenye chandarua hakuweza kutoka mke wake akamgojea aje mmewe Ili amtoe Cha ajabu alipoonyeshwa tu akapinga ukunga kama mtoto mdogo.
Akaniita mdogo wangu njoo ingia chumbani kwangu kamuue huyo mjusi daah nilishangaa Sana...
Ongezea na baba mwenye nyumba mkorofi.Mwanuume upaswi kuogopa
...mwizi
..jambaz
..police hawa hata makofi unapiga ila kuwa makini
....mjeshi
....nyoka
....mchawi
....jini
....jirani mkorofi
😔Usiku mwema 🙌🏾🏃🏾♀️
Byeeeee