Ni kwanini mwanaume unakuwa muoga

Ni kwanini mwanaume unakuwa muoga

Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
mimi kuna mkoa niliwahi kuishi, manyigu ilikuja kutunga kwenye mlango wa jirani, alishindwa kuwauwa anakimbia, mkewe akaniita mbele yake akaniombe mimi niyauwe, anaongea kabisa mbele yake ati we mwoga kweli sijui kwanini upo hivi (anamwambia mumewe), mimi mtoto wa bush, nilichukua mfagio wa chelewa ulikuwa karibu, nilitandika kimoja tu manyigu zote zilisambaratika nikawa namalizia zile zinazotaka kuamka. futilia mbali.mkewe nikaona ananiamini mimi mbele ya bwanake, akaanza hadi kunipenda. nikajitenga naye.
 
Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Kila mtu ni Mwoga akibanananishwa dadeki, me leo kuna jamaa nilimbana pabaya akawa anajipooza na uji wa moto jion hii yaan in short jamaa hajiamn
 
Pale dodoma tulipanga na mkulya mmoja muoga ajabu Hadi nilishangaa Sana mkulya huyu.

Siku Moja mjusi wale wa mabaka (madoadoa) aliingia chumbani kwakwe na akanasa kwenye chandarua hakuweza kutoka mke wake akamgojea aje mmewe Ili amtoe Cha ajabu alipoonyeshwa tu akapinga ukunga kama mtoto mdogo.

Akaniita mdogo wangu njoo ingia chumbani kwangu kamuue huyo mjusi daah nilishangaa Sana.

Sikuwa na jinsi nikaingia Tena na lapa tu nikampiga alipokufa nikamshika na mkono nikamtoa Nje na kumthla dampo

Cha ajabu jamaa aliogopa Hadi kulala mle chumbani kwakwe.

Ukumbuke alikuwa na mabinti wakubwa 2 mmoja tunalingana mwingine nimdogo kwetu.

Nilijozolea sifa kedekede kutoka Kwa mke wake Hadi Kwa Watoto aseee😋😋
 
Pale dodoma tulipanga na mkulya mmoja muoga ajabu Hadi nilishangaa Sana mkulya huyu.

Siku Moja mjusi wale wa mabaka (madoadoa) aliingia chumbani kwakwe na akanasa kwenye chandarua hakuweza kutoka mke wake akamgojea aje mmewe Ili amtoe Cha ajabu alipoonyeshwa tu akapinga ukunga kama mtoto mdogo.

Akaniita mdogo wangu njoo ingia chumbani kwangu kamuue huyo mjusi daah nilishangaa Sana...
Nje ya mada.:

Kwanini hutaki ukifa mke wako asiolewe?
 
Mwanuume upaswi kuogopa
...mwizi
..jambaz
..police hawa hata makofi unapiga ila kuwa makini
....mjeshi
....nyoka
....mchawi
....jini
....jirani mkorofi
Ongezea na baba mwenye nyumba mkorofi.

Namtesaga sana mzee mkorofi. Anatoaga notification ya kodi kuisha mwezi kabla. Nasubiri mpaka hiyo siku ndo nambi
 
Back
Top Bottom