Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ngoja ninyamaze, sitak ban mmTulia isije ikachomoka,nakaribia kukumiminia vitamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ninyamaze, sitak ban mmTulia isije ikachomoka,nakaribia kukumiminia vitamini.
Endelea tu,ulifikiri ningekuchekea sio?Ngoja ninyamaze, sitak ban mm
Huu ujobless nilionao nataka kusoma kila kitu hasa hizo ambazo wengi wanaogopanilishaamsha...ilikua muda wakati najitafuta.
Kwan nan anataka cheko lako?Endelea tu,ulifikiri ningekuchekea sio?
siku hizi ada parefu laki 6 kusoma. pia mpaka muwe angalau 4 ndio mnafundishwa.Huu ujobless nilionao nataka kusoma kila kitu hasa hizo ambazo wengi wanaogopa
Kaa pembeni wewe huna issue.Kwan nan anataka cheko lako?
Sawa mremboKaa pembeni wewe huna issue.
Kaa pembeni mchicha mwiba wewe,acha kujilengesha,utaliwa.Sawa mrembo
Mimi wakati niko mdogo mama ali kuta nme muweka mjusi kwenye mfuko afu na mpigiria misumari kwenye miguu.Nilivyokua mdogo mama yangu ilikua akiona mdudu yoyote ndani alikua haniambii maana nilianza kuwa na roho ya kikatili tangu mdogo kuna siku mzee wangu aliua nyoka wakawa wanatafuta mafuta ya kumchoma mama yangu alivyorudi akanikuta mzee wa kazi nimeshika wembe nimeanza kumpasua nyoka katikati alipiga kelele ya kushtuka hadi mi mwenyewe nikakimbia
Unajuwa aina ngapi za nyoka?Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Kwenye topic ya reproduction 😂
😂😂 Kwamba polisi hata makofi unapigaMwanuume upaswi kuogopa
...mwizi
..jambaz
..police hawa hata makofi unapiga ila kuwa makini
....mjeshi
....nyoka
....mchawi
....jini
....jirani mkorofi