Ni kwanini mwanaume unakuwa muoga

Ni kwanini mwanaume unakuwa muoga

Nilivyokua mdogo mama yangu ilikua akiona mdudu yoyote ndani alikua haniambii maana nilianza kuwa na roho ya kikatili tangu mdogo kuna siku mzee wangu aliua nyoka wakawa wanatafuta mafuta ya kumchoma mama yangu alivyorudi akanikuta mzee wa kazi nimeshika wembe nimeanza kumpasua nyoka katikati alipiga kelele ya kushtuka hadi mi mwenyewe nikakimbia
Mimi wakati niko mdogo mama ali kuta nme muweka mjusi kwenye mfuko afu na mpigiria misumari kwenye miguu.
Aka niitia watu waka nishika miguu na mikono kilicho fata hadi majirani wali kuja kuniokoa
 
Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.

Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike.

Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Unajuwa aina ngapi za nyoka?
 
Uoga was mtu nadhani unakuja na sababu,
1.maumbile. Wengine wameumbwa na roho za hivyo, yani ni waoga by nature.
2.makuzi. Mtu amekulia mazingira ambayo ni ya uogaoga naye ana adopt tabia za kioga. Kuna familia neno kuogopa kwao ni mwiko. Kiasi imeathiri maisha ya watoto.
 
Mwanuume upaswi kuogopa
...mwizi
..jambaz
..police hawa hata makofi unapiga ila kuwa makini
....mjeshi
....nyoka
....mchawi
....jini
....jirani mkorofi
😂😂 Kwamba polisi hata makofi unapiga
 
Back
Top Bottom