Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
🤣🤣🤣 Yaani weweNilichanganyikiwa babe, badala ya kuita hirizi nikasema mende 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Yaani weweNilichanganyikiwa babe, badala ya kuita hirizi nikasema mende 😎
Hapo Njombe hawajambo?🤣🤣🤣 Yaani wewe
nmeshinda nyumbani leo kwaio sijui kama hawajamboHapo Njombe hawajambo?
Em pita pita nje huko uwaulize 😔nmeshinda nyumbani leo kwaio sijui kama hawajambo
na hii barid!?Em pita pita nje huko uwaulize 😔
Bc nakutumia joto 😎na hii barid!?
Sasa babe, yn eneo lote la Dar hujaliona mpaka ukaishi huko msituni Njombe kupigiana kelele na ngedere, c bora Mm nnayeishi Arusha 😎sitaki,,nmekumbatia jiko hapa
Muoga wewe
😂😂😂😂 UmeshindaSasa babe, yn eneo lote la Dar hujaliona mpaka ukaishi huko msituni Njombe kupigiana kelele na ngedere, c bora Mm nnayeishi Arusha 😎
Au siyo😂😂😂😂 Umeshinda
yote kwa yote,,acha uogaAu siyo
Em tuonane tena, sitofanya uoga tenayote kwa yote,,acha uoga
Kesho saa naneEm tuonane tena, sitofanya uoga tena
Pale umeingia kwa mbwembwe na ujasiri unakutana na kitu ya black mamba kasimama mnalingana urefu, faster umeme nao ukakatajirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita
Em njoo PM kwanzaKesho saa nane
SITAKIIIIIIIIEm njoo PM kwanza
😔SITAKIIIIIIII
Ila harmonize 🤣🤣Unakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?