Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera wewe Mwanamke jasiri japo umeandika huu uzi ukiwa na sonona na makasiriko mengiUnakuta mtu ni mwanaume kabisa lakini ni muoga balaa..jirani yangu kaingia nyoka ndani kwake kagoma kuingia kaniiita,mke wake kajisikia aibu sana.
Unakuta mtu anaogopa kuangalia graphic videos eti anaogopa! Hivi utaweza kweli kutoa maiti ndani?
Wanaume tuubadilike,umepewa kende hizo sio kengele...ni ujasiri.
Ushakutana na watu waoga? Ilikuaje?
Hadi yule mdudu mwingine pia unamuogopa ?Mie hata mende tu namuogopa sanaa....sipendi wadudu
Acheni kuharibu uzi.nitakuja ila kwa kuchelewa
Warembo wanataka hela mkuu,hawataki waua Nyoka.Kupitia huu uzi kuna wajanja wachache watatumia fursa kwa kujifanya ni majasiri ili wawavutie warembo
Aione Maxi. ..Njoo ulie kwenye kifua changu huku machozi yakitiririka kuelekea chini kwenye makutano ya miguu 😎
SawaAcheni kuharibu uzi.
Ila max asiponipa zawad yangu aisee ntakinukisha jf nzima mana nmejitahid sana kuishi kwenye ahadiAione Maxi. ..
Best member of the month, July 🤣🤣🤣
Kama inauma chomoaAcheni kuharibu uzi.
Sichomoi nataka nikumwagie ndani.Kama inauma chomoa
Mimi ndiye Maxi.Kama inauma chomoa
Nimekosa tuzo kizembe au siyo 😂Mimi ndiye Maxi.
Kwa comments hizi? Kinukishe tu.
Vp mkuu, mm nataka hayo mafunzongoja tuone kila mtu atajifanya jasiri.
wakati nilianzisha uzi kutafuta kampani ya watu wa kwenda kusoma kazi ya mochwari uzi ukapitwa kimya kama muda wa kuaga maiti. views zilikua 1345 sikupata comment.
Labla ujimwagie ujipe mimbaSichomoi nataka nikumwagie ndani.
nilishaamsha...ilikua muda wakati najitafuta.Vp mkuu, mm nataka hayo mafunzo
Tulia isije ikachomoka,nakaribia kukumiminia vitamini.Labla ujimwagie ujipe mimba