Ni kwanini mwanaume unakuwa muoga

Hongera wewe Mwanamke jasiri japo umeandika huu uzi ukiwa na sonona na makasiriko mengi
 
ngoja tuone kila mtu atajifanya jasiri.
wakati nilianzisha uzi kutafuta kampani ya watu wa kwenda kusoma kazi ya mochwari uzi ukapitwa kimya kama muda wa kuaga maiti. views zilikua 1345 sikupata comment.
 
ngoja tuone kila mtu atajifanya jasiri.
wakati nilianzisha uzi kutafuta kampani ya watu wa kwenda kusoma kazi ya mochwari uzi ukapitwa kimya kama muda wa kuaga maiti. views zilikua 1345 sikupata comment.
Vp mkuu, mm nataka hayo mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…