Hakukuwa na Sheria pale ni uhuni tu ulifanyika. Plea bargaining ilipaswa kusimamiwa na Mahakama, na siyo DPPElewa kwanza sheria ya plea bargaining ndio uje kulalamika hapa.
Maana unaweza leta lawama out of ignorance.
Mkuu denooJ , CAG anakagua tuu kama matumizi ya fedha za umna yamefuata kanuni na taratibu, yapo matumizi kibao ya fedha za umma ambayo hayakufuata taratibu, sio kuwa fedha hizo ni zimetafunwa!. Makusanyo yote ya serikali kwa cash ni fedha mbichi, fedha hizo zinatakiwa kuingizwa bank ili zipikwe, na kuonekana, baada ya makosanyo taasisi husika huzitumbukiza kwenye mfuko mkuu wa hazina, na hapo ndipo CAG huziona. kisha zinapohitajika kutumika hutolewa kwa kufuata utaratibu.Paskali sometimes una majibu amazing sana, yani pesa zimekusanywa halafu hazijaonekana kwenye mfuko wa hazina unasema hazijatafunwa!.
Hope zitakuwa mawinguni, ngoja nitoke hapo nje nikaangalie juu naweza kuziona.
Hivi Kabendera aliwahi kushtakiwa mahakamani akakutwa na hatia?Mna mawazo ya kijinga! Na utoto mwingi. Tume ya nini na wakati mijizi kama Kabendera na akina sethi walishikishwa adabu. Umesahau mara hii Tegeta escrow wajinga nyie
"Zilitakiwa kuwa deposited kwenye mfuko mkuu wa hazina ndipo CAG azione" sasa kam hilo halikufanyika huo kwangu ndio wizi wenyewe, na hayo ndio matumizi mabaya ya fedha za serikali.Mkuu denooJ , CAG anakagua tuu kama matumizi ya fedha za umna yamefuata kanuni na taratibu, yapo matumizi kibao ya fedha za umma ambayo hayakufuata taratibu, sio kuwa fedha hizo ni zimetafunwa!. Makusanyo yote ya serikali kwa cash ni fedha mbichi, fedha hizo zinatakiwa kuingizwa bank ili zipikwe, na kuonekana, baada ya makosanyo taasisi husika huzitumbukiza kwenye mfuko mkuu wa hazina, na hapo ndipo CAG huziona. kisha zinapohitajika kutumika hutolewa kwa kufuata utaratibu.
Fedha zinapokusanywa na kutumika kabla ya kuwekwa bank hizo ni fedha mbichi na sii lazima ziwe zimetafunwa ni hazikufuata taratibu!.
Fedha za plea bargain zote zimelipwa kwa control number, ambapo zinaingia direct kwenye collection account hivyo sio pesa mbichi, zinakuwa zimepikwa. Baada ya makusanyo zilitakiwa kuwa deposited kwenye mfuko mkuu wa hazina ndipo CAG azione. Zikiisha ingia kule, namna pekee ya kuzitoa ni fedha hizo ziwe budgeted, ziidhinishwe na Bunge, then CAG anatoa kibali ndipo zinatoka kwenye mfuko mkuu hazina na kuingizwa kwenye matumizi.
Mara kibao fedha za serikali zimekuwa zinachotwa toka kwenye mfuko mkuu wa hazina bila kuwa budgeted for, bila kuidhinishwa na Bunge na bila kuwa controlled na CAG, hivyo kihasibu hiyo ni kinyume cha taratibu, yaani ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini haimaanishi hizo fedha ni zimeibiwa au zimetafunwa!. Hivyo ndivyo tulivyo nunua ndege, tulivyo hamia Dodoma, tulivyo jenga uwanja wa Chato etc!. Na sio JPM pekee, hata Mkapa na fedha za Kagoda, hata JK na fedha za Escrow. Sio kila matumizi ya fedha ambazo CAG hazioni ni zimeibiwa!. Mfano mzuri ni zile 1.5 b ambazo hazikuonekana kwa CAG.
P
Mkuu haya majibu yako ni kama ya wale wanaosemaga "kwanini hamkusema wakati mwendazake akiwa hai?". Wakati ule hadi picha zilikuwa zikipostiwa watu wakiwa na maburungutu ya pesa wakilipa DPP hukuwa ukiona? Majibu yako yote sijaona point kabisa uliyoandika.Hili la watuhuhumiwa kubambikiwa kesi, na kukamuliwa, karma imeisha lishughulikia
Mkuu Mystery , maadam ni inadaiwa, then acha tuu idaiwe, ila pesa za plea bargain zililipwa kwa maandishi tena kupitia a control number, pesa hizo ziliingia serikalini na pesa ukiisha ingia serikalini, haiwezi kutoka bila maandishi!. Hivyo maandishi ya every cent yapo!.
Fedha kukusanywa na kutofikishwa kwenye mfuko mkuu wa hazina, haina maana ndio zimetafunwa!, ni utaratibu tuu ndio haukufuatwa, hivyo CAG hakuziona ila sio lazima kila fedha ambazo CAG hakuziona ni zimetafunwa!. Enzi za CAG Prof. Asad kuna 1.5B hazikuonekana!. Mbona hakusimamishwa mtu kupisha uchunguzi?. Tulinunua ndege kwa cash cash kwa kuchota kutoko mfuko mkuu hazina na kulipa tulikolipa bila kufuata utaratibu!, mbona hamkuomba uchunguzi?.
Tume ya nini kuchunguza nini wakati maandishi yote ya makisanyo hayo yapo na matumizi yapo?.
Niliwahi kushauri, kama JPM, aliyafanya yote aliyoyafanya na hatukumpangia, basi na Samia tusimpangie!.
Kumefanyika mangapi ndivyo sivyo na hamkuomba uchunguzi, why hili?, nilidhani labda sasa ndio mngeomba uchunguzi wa shambulizi la Lissu ndio ufanyike!, mnaomba uchunguzi wa kitu very systematic kama fedha zilizolipwa kwa control number?. Acheni hizo!.
Usichanganye tuhuma na makosa, hizi ni tuhuma tuu, maadam ni Mama mwenyewe kaamua kuzichunguza bila kupangiwa na yeyote, mwacheni Mama afanye kazi, tuhuma zikithibitishwa, hatua stahiki zitachukuliwa!.
Mungu ibariki Tanzania,
Kazi iendelee...
P
No hujakosea, kila wizi ni matumizi mabaya ya fedha za serikali, lakini sii kila matumizi mabaya ni wizi!.Umeelezea vizuri kweli, lakini sidhani kama nikiamua kusema hata wizi wa pesa za serikali [ ziwe mbichi au zimeiva] pia ni mfano wa matumizi mabaya ya fedha za umma nitakuwa nakosea.
Hiyo ni integrated system... Ni mfumo wenye chain ya wengi, kutaka kumgusa mmoja ni kutaka kuuchezesha mfumo wote.. Nani atakubali?
Hahaaa unajitahidi sana kukitetea chama!.No hujakosea, kila wizi ni matumizi mabaya ya fedha za serikali, lakini sii kila matumizi mabaya ni wizi!.
P
Sisi wakusema hili la plea bargain tumelisemea sana tangu akiwa hai!.Mkuu haya majibu yako ni kama ya wale wanaosemaga "kwanini hamkusema wakati mwendazake akiwa hai?". Wakati ule hadi picha zilikuwa zikipostiwa watu wakiwa na maburungutu ya pesa wakilipa DPP hukuwa ukiona? Majibu yako yote sijaona point kabisa uliyoandika.
Una uthibitisho gani kuwa walibambikwa kesi?Mshana Jr
Sasa kama Rais ataendelea kushikwa na "kigugumizi" cha kuunda Tume ya Majaji, wananchi tutabaini kuwa kumbe wote hao viongozi wa CCM, wapo kwenye mkumbo mmoja, wa kutaka kuendelea kutuibia sisi watanzania! Full Stop
Basi aunde tume kumchunguza waziri mkuu na vitenge vya mama binge!!!Mkuu Mshana Jr , thanks for this!. Wafunze hawa madogo humu, kuwa this might be a pandora box!, you don't just open it!.
P
Basi aunde tume kumchunguza waziri mkuu na vitenge vya mama bonge!!!?Sisi wakusema hili la plea bargain tumelisemea sana tangu akiwa hai!.
Karibu pande hizihttps://www.jamiiforums.com/threads/mjumbe-hauawi-mahabusu-watuma-salaam-kwa-magufuli-asante-ila-usitubague-magereza-zalipuka-kwa-shangwe-vifijo-na-vigelegele-kumshangilia-jpm.1632317/
Na hapa Wito kwa DPP: Japo ni Ushauri wa Rais kuwasamehe, Tafadhali tumia Nolle kufuta kesi zao, Makubaliano yawe siri ili wapokelewe na Jamii kama Watu Wema
P
Kwa sababu samia sio team kisasi ya Chadema,tangu mlipomuingiza chaka kwenye kesi ya Sabaya na mkashindwa kuithibitisha mahakamani.....Zipo tuhuma nzito Sana zinazomkabili aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga, kuhusiana na kile kinachoitwa "plea bargaining" mtindo uliobuniwa wakati wa utawala wa awamu ya 5, ambapo watuhumiwa "waliobambikiwa" makosa, wakati wa utawala wa awamu ya 5, "walilazinishwa" kukiri makosa na hivyo kukamuliwa mabilioni ya pesa, ambapo inadaiwa kuwa mabilioni hayo hayakufikishwa kwenye hazina ya Taifa hili na badala yake ziliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake!
Hizi ni tuhuma nzito Sana kumkabili mtumishi wa Umma, tena mwenye hadhi ya ujaji, Biswalo Mganga, ambapo anadaiwa kuwa Kati ya shilingi bilioni 51, alizokusanya kwa njia hiyo ya "plea bargainining" mabilioni mengi, hakuyafikisha hazina, kwa mujibu wa taarifa ya CAG, Charles Kicheere, na badala yake, mabilioni hayo yanasemekana, yaliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake.
Watuhumiwa hao waliobambikiziwa Kesi, Ili hatimaye walazimishwe kukiri makosa hayo wanayotuhumiwa nayo na baadaye "wakamuliwe" mabilioni hayo ya pesa, wametoa wito kwa Rais wetu, aweze kuunda Tume ya Majaji, kuchunguza tuhuma hizi nzito, wakati huo huo akimsimamisha Kazi ya ujaji, aliyomteua mapema mwaka jana.
Ni utaratibu wa kawaida sana, unaotumika Katika nchi za Jumuiya ya Madola, ambayo nchi yetu ipo, ambapo tunalazimika kufuata.
Swali kubwa ninalojiuliza, ni kwanini hadi hivi sasa, Rais Samia, anashikwa na "kigugumizi" kuunda Tume hiyo ya Majaji, ambayo itatafuta ukweli wa kujua kama tuhuma hizo ni za kweli au la?
Ni vyema Rais Samia, akatambua kuwa kushikwa kwake na "kigugumizi" cha kuunda Tume hiyo ya Majaji,, kutatoa tafsiri kwa wananchi wengi kuwa, yeye Rais ana mpango wa kumwewekea kinga dhidi ya tuhuma anazokabiliwa nazo huyo aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga.
Vile vile itatoa tafsiri kuwa kuna baadhi ya watu hapa nchini, hususani viongozi waandamizi wa Serikali hii ya CCM, wanapewa kinga ya "impunity" ya kutoshtakiwa, hata kama wamefanya makosa makubwa ya jinai, jambo ambalo halitendi haki kwa wananchi, kwa kuwa Katiba yetu inaeleza wazi kuwa wananchi wote, wapo sawa mbele ya sheria.
Sio sheria yenyewe inayolalamikiwa, bali ni jinsi sheria ilivyotekelezwa. Kwanza watu walibambikiziwa kesi. Pili waliokuwa na kesi zinazofanana walilipishwa viwango tofauti vya pesa. Tatu fedha iliyokusanywa ilienda wapi?Elewa kwanza sheria ya plea bargaining ndio uje kulalamika hapa.
Maana unaweza leta lawama out of ignorance.
Unaweza kuta we kichwa cha familia kabisa...Hakika watoton na mke wamekosa kichwa cha familiaHaya wewe kada wa CCM, tueleweshe, jinsi hiyo sheriia ya "plea bargaining" inavyofanya Kazi.
Hata hivyo hapa hatuongelei namna sheria hiyo inavyofanya Kazi, bali tunaongelea, namna hayo mabilioni yaliyokusanywa, yalivyotafunwa na huyo Biswalo Mganga na washirika wake.
Unafique.Hili la watuhuhumiwa kubambikiwa kesi, na kukamuliwa, karma imeisha lishughulikia
Mkuu Mystery , maadam ni inadaiwa, then acha tuu idaiwe, ila pesa za plea bargain zililipwa kwa maandishi tena kupitia a control number, pesa hizo ziliingia serikalini na pesa ukiisha ingia serikalini, haiwezi kutoka bila maandishi!. Hivyo maandishi ya every cent yapo!.
Fedha kukusanywa na kutofikishwa kwenye mfuko mkuu wa hazina, haina maana ndio zimetafunwa!, ni utaratibu tuu ndio haukufuatwa, hivyo CAG hakuziona ila sio lazima kila fedha ambazo CAG hakuziona ni zimetafunwa!. Enzi za CAG Prof. Asad kuna 1.5B hazikuonekana!. Mbona hakusimamishwa mtu kupisha uchunguzi?. Tulinunua ndege kwa cash cash kwa kuchota kutoko mfuko mkuu hazina na kulipa tulikolipa bila kufuata utaratibu!, mbona hamkuomba uchunguzi?.
Tume ya nini kuchunguza nini wakati maandishi yote ya makisanyo hayo yapo na matumizi yapo?.
Niliwahi kushauri, kama JPM, aliyafanya yote aliyoyafanya na hatukumpangia, basi na Samia tusimpangie!.
Kumefanyika mangapi ndivyo sivyo na hamkuomba uchunguzi, why hili?, nilidhani labda sasa ndio mngeomba uchunguzi wa shambulizi la Lissu ndio ufanyike!, mnaomba uchunguzi wa kitu very systematic kama fedha zilizolipwa kwa control number?. Acheni hizo!.
Usichanganye tuhuma na makosa, hizi ni tuhuma tuu, maadam ni Mama mwenyewe kaamua kuzichunguza bila kupangiwa na yeyote, mwacheni Mama afanye kazi, tuhuma zikithibitishwa, hatua stahiki zitachukuliwa!.
Mungu ibariki Tanzania,
Kazi iendelee...
P