Ni kwanini tarehe ya Harusi ( Ndoa ) huamuliwa kwa Mwanamke ( Bibi Harusi ) kutokuwepo 'Period' Siku hiyo?

Ni kwanini tarehe ya Harusi ( Ndoa ) huamuliwa kwa Mwanamke ( Bibi Harusi ) kutokuwepo 'Period' Siku hiyo?

Screenshot_20210719-152814_Instagram.jpg
 
Uandishi wa GENTAMYCINE kabisa huu
Huyo Jamaa sijui ana Dawa gani ya Mvuto kwani pamoja na kwamba hayuko sasa hapa JamiiForums ila bado tu Nyota yake inang'aa na Watu ( Members ) wanamtaja kila mara.

Na Mimi MINOCYCLINE natamani mno niwe na huo Mvuto mkubwa alionao japo nimeanza kwa Kumuiga Uandishi wake na sasa nataka kujitahidi Niige pia na Uwasilishaji wake wa Masuala na natamani zaidi Niige hadi IQ yake ila najua itakuwa ngumu kwakuwa kila Mtu amepewa zinazomtosha na Mwenyezi Mungu.

Ndugu huyu Jamaa kapotelea wapi?
 
Huyo Jamaa sijui ana Dawa gani ya Mvuto kwani pamoja na kwamba hayuko sasa hapa JamiiForums ila bado tu Nyota yake inang'aa na Watu ( Members ) wanamtaja kila mara.

Na Mimi MINOCYCLINE natamani mno niwe na huo Mvuto mkubwa alionao japo nimeanza kwa Kumuiga Uandishi wake na sasa nataka kujitahidi Niige pia na Uwasilishaji wake wa Masuala na natamani zaidi Niige hadi IQ yake ila najua itakuwa ngumu kwakuwa kila Mtu amepewa zinazomtosha na Mwenyezi Mungu.

Ndugu huyu Jamaa kapotelea wapi?
Genta alijaribu kubattle na LIKUD na Tate Mkuu akashindwa hiyo battle na wala hana hiyo IQ ndio maana alishindwa battle. Sifa yake kubwa ni mropokaji na matusi. Ushauri wangu ni usimuige naww usije limwa ban!
 
Back
Top Bottom