MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ( hii Mada ) ni Kusoma tu Mirejesho ( Comments ) za Wana JamiiForums.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima siku ya harusi maharusi wakutane kimwili kwa mara ya kwanza kabisa. Na ikitokea jogoo hawiki kwa mwanaume, basi kesho yake hiyo ndoa inatakiwa kufikia tamati.Tate Mkuu una maoni gani?
Huyo Jamaa sijui ana Dawa gani ya Mvuto kwani pamoja na kwamba hayuko sasa hapa JamiiForums ila bado tu Nyota yake inang'aa na Watu ( Members ) wanamtaja kila mara.Uandishi wa GENTAMYCINE kabisa huu
JF kuna Member aitwae Gent?Gent bhana
Genta alijaribu kubattle na LIKUD na Tate Mkuu akashindwa hiyo battle na wala hana hiyo IQ ndio maana alishindwa battle. Sifa yake kubwa ni mropokaji na matusi. Ushauri wangu ni usimuige naww usije limwa ban!Huyo Jamaa sijui ana Dawa gani ya Mvuto kwani pamoja na kwamba hayuko sasa hapa JamiiForums ila bado tu Nyota yake inang'aa na Watu ( Members ) wanamtaja kila mara.
Na Mimi MINOCYCLINE natamani mno niwe na huo Mvuto mkubwa alionao japo nimeanza kwa Kumuiga Uandishi wake na sasa nataka kujitahidi Niige pia na Uwasilishaji wake wa Masuala na natamani zaidi Niige hadi IQ yake ila najua itakuwa ngumu kwakuwa kila Mtu amepewa zinazomtosha na Mwenyezi Mungu.
Ndugu huyu Jamaa kapotelea wapi?
Kwa hio umeamua kujiita majina ya antibiotics tu. Leo hii wewe ni Minocycline, ukila ban uje na ID ya Tetracycline 😂😂😂😂Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ( hii Mada ) ni Kusoma tu Mirejesho ( Comments ) za Wana JamiiForums.
🙌 Ati tetracycline 😂Kwa hio umeamua kujiita majina ya antibiotics tu. Leo hii wewe ni Minocycline, ukila ban uje na ID ya Tetracycline 😂😂😂😂
Hivi kwani hairuhusiwe mume kumgegeda mke wake akiwa period😲😲😲😲Sasa ikiwa yupo MP huko honeymoon wataenda kufanya nini
Pentamycine 🙂🙌 Ati tetracycline 😂
Uwe na moyo wa chumaHivi kwani hairuhusiwe mwanamke kumgegeda mke wake akiwa period😲😲😲😲
Au mie nakosea🤔🤔🤔
😂🙌 Dah ila watu ni wakorofi!Pentamycine 🙂
Kivipi tenaUwe na moyo wa chuma
Kuona hiyo midamKivipi tena