Ni kwanini tarehe ya Harusi ( Ndoa ) huamuliwa kwa Mwanamke ( Bibi Harusi ) kutokuwepo 'Period' Siku hiyo?

Ni kwanini tarehe ya Harusi ( Ndoa ) huamuliwa kwa Mwanamke ( Bibi Harusi ) kutokuwepo 'Period' Siku hiyo?

Mleta mada ukificha unapata faida gani? Kwani ukisema MINOCYCLINE ndio GENTAMYCINE kuna shida? Au kuna anaekujua!!
Usilazimishe Gazeti la MWANANCHI kuwa sawa na la The CITIZEN sawa? Mimi ni MINOCYCLINE na siyo huyo Mume wenu mnaempenda na Kumshobokea Kutwa hapa Jamiiforums. Nimewachoka sasa kwa kila mara Kunihusisha nae.
 
Usilazimishe Gazeti la MWANANCHI kuwa sawa na la The CITIZEN sawa? Mimi ni MINOCYCLINE na siyo huyo Mume wenu mnaempenda na Kumshobokea Kutwa hapa Jamiiforums. Nimewachoka sasa kwa kila mara Kunihusisha nae.
Gentamycine hata ubadili ID, Mwandiko wako haufichiki
 
Both Antibiotics for bacterial infections
unauzia wapi hizo dawa tujetukuungishe
 
Usilazimishe Gazeti la MWANANCHI kuwa sawa na la The CITIZEN sawa? Mimi ni MINOCYCLINE na siyo huyo Mume wenu mnaempenda na Kumshobokea Kutwa hapa Jamiiforums. Nimewachoka sasa kwa kila mara Kunihusisha nae.

Basi sawa mkuu, nisamehe kwa hilo. Relax
 
Back
Top Bottom