MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Halafu ni kwanini wakiwa Wanapambana nae Wao wakiwa Wengi na Yeye peke yake wakiona anawamudu wanakimbilia Kumshtaki apate Hukumu ya Jamvi?
Sikumbuki ni lini ID yangu hii pekee hapa JamiiForums ya MINOCYCLINE imewahi kupata BAN ila kama unajua nikumbushe tafadhali.Kwa hio umeamua kujiita majina ya antibiotics tu. Leo hii wewe ni Minocycline, ukila ban uje na ID ya Tetracycline ππππ
Mfupa uliomshinda genta wewe MINOCYCLINE utauweza? Huyo genta enzi za uhai wake aliandika gazeti kubwa kwa mods kuomba msaada baada ya kuzidiwa maarifa ya kivita na bado akaishiwa kulimwa ban! ππHalafu ni kwanini wakiwa Wanapambana nae Wao wakiwa Wengi na Yeye peke yake wakiona anawamudu wanakimbilia Kumshtaki apate Hukumu ya Jamvi?
Tusaidie Kutuulizia kwa hawa Uliowataja hapa Ili ama Wewe Muwakilishi Wao wa Kujipendekeza Kwao au Wao wenyewe Watujibu.
Huyo unayeongea naye ndio genta mwenyewe mkuuMfupa uliomshinda genta wewe MINOCYCLINE utauweza? Huyo genta enzi za uhai wake aliandika gazeti kubwa kwa mods kuomba msaada baada ya kuzidiwa maarifa ya kivita na bado akaishiwa kulimwa ban! [emoji23][emoji23]
Ukiendeleza upopoma wako na hii itapigwa banSikumbuki ni lini ID yangu hii pekee hapa JamiiForums ya MINOCYCLINE imewahi kupata BAN ila kama unajua nikumbushe tafadhali.
Ukiendeleza upopoma wako na hii itapigwa banSikumbuki ni lini ID yangu hii pekee hapa JamiiForums ya MINOCYCLINE imewahi kupata BAN ila kama unajua nikumbushe tafadhali.
Hivi kumbe kapewa BAN? Nilikuwa sijui.Mfupa uliomshinda genta wewe MINOCYCLINE utauweza? Huyo genta enzi za uhai wake aliandika gazeti kubwa kwa mods kuomba msaada baada ya kuzidiwa maarifa ya kivita na bado akaishiwa kulimwa ban! ππ
Upopoma ndiyo nini Ndugu?Ukiendeleza upopoma wako na hii itapigwa ban
Genta tafadhali niazime hiyo Hirizi yako ya kukufanya Ukubalike na uwe Unatajwatajwa tu JF Members kila mara. Nami MINOCYCLINE natamani niwe Maarufu kama Wewe na kubwa niwe na Mvuto mkubwa ulionao.Huyo unayeongea naye ndio genta mwenyewe mkuu
Harusi inapangwa hata mwaka mmoja kabla, hiyo hoja ya 'siku za hedhi' ni mfu.Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ( hii Mada ) ni Kusoma tu Mirejesho ( Comments ) za Wana JamiiForums.
Duuh mkuu ile damu tu kwanza hata kama ni mume kwa mwanamke alofundwa hawezi kuruhusu hata mumewe aione, hapo ndiyo tunarudi kwenye maana halisi ya uvaaji wa shanga kwa baadhi ya makabila mfn. Ukiona mkeo kavaa nyekundu ujue hali si shwari akivaa nyeupe ujue basi panalika ingawa kizaz cha sasa wanavaa kama urembo vitu vyenye maana kubwa.Hivi kwani hairuhusiwe mume kumgegeda mke wake akiwa periodπ²π²π²π²
Au mie nakoseaπ€π€π€
Kumbe ndio maana ya shangaDuuh mkuu ile damu tu kwanza hata kama ni mume kwa mwanamke alofundwa hawezi kuruhusu hata mumewe aione, hapo ndiyo tunarudi kwenye maana halisi ya uvaaji wa shanga kwa baadhi ya makabila mfn. Ukiona mkeo kavaa nyekundu ujue hali si shwari akivaa nyeupe ujue basi panalika ingawa kizaz cha sasa wanavaa kama urembo vitu vyenye maana kubwa.
Yap mkuu sasa swali uwa najiuliza sana kwa hawa dada zetu wanovaa cheni cjui hata wanamana gani.Kumbe ndio maana ya shanga
Labda tuwaulize watuambieYap mkuu sasa swali uwa najiuliza sana kwa hawa dada zetu wanovaa cheni cjui hata wanamana gani.
Utapata majibu ya dunia.Labda tuwaulize watuambie
PanadomycinePentamycine π
Ukiona hivyo ujue mwenzio yuamiliki benkiMwamba anamultiple ID humu wampe ukiranja tu
Mwisho wa siku Joyceline, Jacqueline.π Ati tetracycline π
Pale mwana JF anapotamani ID zake zote ziunganishwe kwenye ID yenye umaarufuHuyo Jamaa sijui ana Dawa gani ya Mvuto kwani pamoja na kwamba hayuko sasa hapa JamiiForums ila bado tu Nyota yake inang'aa na Watu ( Members ) wanamtaja kila mara.
Na Mimi MINOCYCLINE natamani mno niwe na huo Mvuto mkubwa alionao japo nimeanza kwa Kumuiga Uandishi wake na sasa nataka kujitahidi Niige pia na Uwasilishaji wake wa Masuala na natamani zaidi Niige hadi IQ yake ila najua itakuwa ngumu kwakuwa kila Mtu amepewa zinazomtosha na Mwenyezi Mungu.
Ndugu huyu Jamaa kapotelea wapi?