Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Jifunze kuelewa
 
Siku nyingine umuongeze na Mch. Mgogo utagundua hawa wafuasi wake wanaongoza kwa kupewa madongo huku wanachekeshwa huku wanaambiwa ukweli. Neno la Mungu ni chache, Zinaongelewa inshu za Matatizo ya maisha yetu ya kilasiku na Saikolojia.

Kwa Mwakasege kuna upako wa Mungu wa kiuhalisia. Unatoka kwake ukiwa umebarikiwa na ukiwa na amani

Kwa Mwamposa ni full miujiza. Ni rahisi kuona kama hawa watu wanaandaliwa kuongea ushuhuda. Hawa wa hivi kuna siku ukweli utakuja kubainika kama ni nguvu ya Mungu au la.
 
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Mungu ndo ajuaye ukweli
na mtazamo wako siyo kipimo cha ukweli
vigezo ulivyotumia ni vya hovyo sana, vya chuki binafsi
afadhali hata ungetumia biblia kama kipimo
 
Waumini wa mwamposa wanavurugu sana majuzi mama mmoja alinipiga ngumi ili nipishe mlango aingie kwenye daladala, wachunguzwe sana maana ni wababe mno
 
Mwenyezi mungu azidi kutusaidia asee na akusaidie mfalme wa jamii forum uendelee kutupa madini
Amina sana Mkuu, Ubarikiwe na tuko pamoja. Kikubwa ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa Tunu / Shani zake Kwangu.

Asanteni nanyi pia kwa Kuutambua Mchango na kuona Umuhimu wa Kiuwasilishaji wa Kimasuala hapa JamiiForums.
 
Pompoma mchambuzi wa mchongo,chuki zako kwa bulldoza zimevuka viwango,ila cha kusikisha utaendelea kumuona ana stawi kila uchwao huku wewe ukiendelea kupatwa na sonona kila uchwao.
Wewe ni jiwe chakavu na wala siyo angavu [emoji16][emoji16]
 
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Hao wote wanaamini mtoto wa bikira Maryam,yule fundi seremala kuwa ni Mungu!?
 
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Ubarikiwe kwa kujua utumishi wa kweli haunaga mazingaumbwe mtumishi wa Bwana
 
Back
Top Bottom