Nakubusu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2022
- 772
- 1,837
๐๐๐ Kama la mfalme zumaradi eeenh,nawapa na uno lajujuuu ๐๐๐.Mimi ni mfuasi wako wa kudumu, anzisha tu kanisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Kama la mfalme zumaradi eeenh,nawapa na uno lajujuuu ๐๐๐.Mimi ni mfuasi wako wa kudumu, anzisha tu kanisa
[emoji23][emoji23][emoji23]JF Raha na burudani tupu.Jambo hili MINOCYCLINE well informed person alikuwa anasema wata wakamuona ana chuki sasa hivi na wewe umeliona sijui watasemaje ...
Mwamposa mwenyewe CCM maana akijifanya CHADEMA,, wakisema "su" atarudi kwao kwa nauli za kuchangiwa...HALAFU WAFUASI WA MWAMPOSA NI WANA CCM WOTE
hahahahahWANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE
1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA
1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.
Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
haya mambo ndo kagame aliyakataa akafuta kabisaa
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.Jambo hili MINOCYCLINE well informed person alikuwa anasema wata wakamuona ana chuki sasa hivi na wewe umeliona sijui watasemaje ...
Zaburi 1 (Biblia Takatifu)WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE
1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA
1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.
Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Wew jamaa una nyuzi ngap ,maan kila day hnashusha nyuzi si chini ya Saba๐ ๐KATIKA NYAKATI HIZI ZA UJINGA MUNGU ANAJIFANYA KAMA HAONI - MITUME 17:30
Mimi Sijui Hayo unayo Sema Yana Ukweli Huenda Wewe Upo Kwa mwakasege na Haupo Upande wa Mwamposa ! Yale Ni Mambo Ya KIROHO Sasa Mbona unaona Kimwili? Acha Kila mmoja anajua Anacho pata Kutoka kwa Mchungaji wake Mtu atakama anachakaa lakini huenda Yeye anajua Anacho Pata... MIMI SIPO UPANDE WOWOTE.
MARAN ATHA - BWANA WETU ANAKUJA
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]salamu Yako imefikaa kk ....Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.
Nisalimie wote huko.
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.
Nisalimie wote huko.
Pamoja sana mkuu ,mimi sijambo tumemiss uchambuzi wako wa ndani jukwaa la michezo jitahidi kwa wiki angalau uwe unatumia hata kauzi kamoja .Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.
Nisalimie wote huko.