Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

Ni kwanini ukikutana na Wanaotoka Tamasha la Mwakasege na Mwamposa Kawe unaiona tofauti hii Kubwa?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
hahahahah
 
Non sense

Pambana na maisha yako arifu
 
Jambo hili MINOCYCLINE well informed person alikuwa anasema wata wakamuona ana chuki sasa hivi na wewe umeliona sijui watasemaje ...
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.

Nisalimie wote huko.
 
4..Kwa mwakasege n kwelii ...

4..Kwa mwamposaa ngoja kwanza nichekee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]maana ujasemaa uongoo...

KATAA NDOAAA
 
WANAOTOKA TAMASHA LA MWAKASEGE

1. Werevu Kimazungumzo
2. Wana Afya ya Kimwonekano
3. Hawana Uchovu Kimwili
4. Hawaonekani kama Wamechanganyikiwa
5. Wengi wao ni Intellectuals
6. Wameshiba Neno na siyo Mapepo na Miujiza
7. Siyo Omba Omba ( hasa wa Chakula au Nauli ) Ibada ikimalizika.

WANAOTOKA TAMASHA LA MWAMPOSA

1. Ni kama Wamechanganyikiwa
2. Hawajui wanataka nini
3. Kwao Muhimu ni Kushiba Miujuza na siyo Neno
4. Ukitaka kujenga nao Hoja ya Kiimani tegemea Kupigwa nao Ngumi au hata Kutukanwa Matusi
5. Baada ya Ibada hugeuka Matonya ( Omba Omba ) wa ama Chakula au Nauli
6. Wana Hasira ( Jazba ) kwa 99% na ni Watulivu kwa 1% tu.
7. Japo wametoka Ibadani ila sometimes ukijisahau tu labda Wakupekeche / Wakuibie.

Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie mno.
Zaburi 1 (Biblia Takatifu)
ยฏยฏยฏยฏยฏยฏยฏยฏยฏยฏ
ยน Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

I'm off.
 
KATIKA NYAKATI HIZI ZA UJINGA MUNGU ANAJIFANYA KAMA HAONI - MITUME 17:30

Mimi Sijui Hayo unayo Sema Yana Ukweli Huenda Wewe Upo Kwa mwakasege na Haupo Upande wa Mwamposa ! Yale Ni Mambo Ya KIROHO Sasa Mbona unaona Kimwili? Acha Kila mmoja anajua Anacho pata Kutoka kwa Mchungaji wake Mtu atakama anachakaa lakini huenda Yeye anajua Anacho Pata... MIMI SIPO UPANDE WOWOTE.

MARAN ATHA - BWANA WETU ANAKUJA

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Wew jamaa una nyuzi ngap ,maan kila day hnashusha nyuzi si chini ya Saba๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.

Nisalimie wote huko.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]salamu Yako imefikaa kk ....
 
Kuna kundi moja hutolewa pesa zote walizo nazo, wakiaminishwa watapata
 
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.

Nisalimie wote huko.
Kiongozi hujambo lakini? Kitambo sana na nimepotea kwani niko mbali na huku niliko Vijijini kupata Mtandao ni mpaka uje Mjini kama hivil leo. Nalima sasa ila nimewamisi mno hapa JamiiForums na nikipata Huduma ya Internet nitakuwa najiunga hapa nanyi.

Nisalimie wote huko.
Pamoja sana mkuu ,mimi sijambo tumemiss uchambuzi wako wa ndani jukwaa la michezo jitahidi kwa wiki angalau uwe unatumia hata kauzi kamoja .

Pambana na kilimo maana mimi bado sijatoka kwenye ujobless nipo kwa shemeji mpaka mwakani InshaAllah na mimi nitaanza kufocous na kilimo kama wewe.
 
Back
Top Bottom