witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu wapi nilikwambia namiliki basi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu wapi nilikwambia namiliki basi?
Nondo tumetumia mchanganyiko kutokana na mahitaji. Mm 8, 12 na 16 zote. Sikumbuki specific price ila kuna za mil 2 per tone ila tulitumia za mil 18-22. Tofali 10 kwenda chini. Mifuko 150 ya cement kwa jamvi. Kuna mawe, vifusi vya kutosha kwenye jamvi piaKwani nondo mmenunua tani moja shilingi ngapi? 12mm
Bujibuji kwa uvutaji bangi kwa kweli hajambo huyu kijana. Wewe umetishia watu kurogwa kama wangejenga mansions tukahisi kuwa bado unaishi kwenye nyumba ya udongo, kumbe umetupotosha tu.Naishi kwenye mansion
Labda niwe sijakuelewa vizuri. Kwani load bearing wall huwa haihitaji nondo kwenye footings za msingi au kama msingi umetumia beams kwani unaondoa matumizi ya nondo?Hakikisha una mchoro uliochorwa na wataalam (Architect & Engineer), kisha ukapitishwa manispaa au Halmashauri husika. Usikariri gharama, angalia hesabu. Kwa mfano, nyumba ya ghorofa ya familia moja (vyumba 3-4) itatumia nondo kati ya tani 3-4. Na bei za nondo tani moja ni kati ya 1,600,000-2,200,000.
Pia kumbuka. Kwa mujibu wa taratibu wa ujenzi. Ili ujenzi ufanyike lazima uwe na bango la ujenzi, hii itapelekea umlipe Architect, Engineer na Quantity Surveyor Kama Consultants. Kisha Mkandarasi ajenge jengo huku akisimamiwa na Consultants. Huo mzunguko wote hapo ndipo wengine wanapigwaa pesa saana. Ila kama ukipata mtu wa kukuongoza vizuri hapo utafanya saving nzuri tu.
Msikariri msingi mzuri wa 14m,25m na kadharika. Pia msikariri kuwa nyumba ya ghorofa lazima iwe na nguzo. Maana jengo linaweza kujengwa hadi ghorofa nne bila hata nguzo. Maana kuna framed structure (ambapo nguzo ndio hubeba uzito wote) na Load bearing wall (hii ukuta hujengwa kwa kulazwa tu na uzito wote hubebwa na ukuta) ukienda Darajani-Zanzibar kuna majengo mengi yana ghorofa nne yalijengwa na Rais Karume Senior, hayana nguzo. Kwa hiyo tusiishi kwa kukariri, ila tafuteni wataalamu kwa ushauri zaidi
OkKuhusu slab gharama zake ziko hivi
1.Zege 1m2=40,000/= (premix grade 20)
2.Formwork 1m2=25,000 (na milunda au unaweza Kodi steel plate)
3.Nondo za 1m2=15kg x 2,000=30,000/=
4. Kufunga formwork 1m2=5,000
Jumla ni 100,500 kwa mita 1 ya mraba
Wakati huo gharama za kupaua ziko hivi:-
Mabati ya Decra/Fortiza mita moja ya mraba Ni 100,000/=(pamoja na mbao)
Mabati migongo mipana (IT4&5) mita moja ya mraba ni 50,000(Pamoja na mbao)
Halafu gharama ya gypsum board kwa mita moja ya mraba Ni 20,000 (pamoja na mbao)
Hapo nimejaribu kukokotoa gharama zote kwa eneo la ukubwa wa mita moja ya mraba. Kama utahitaji ufafanuzi zaidi sehemu yoyote nijurishe, ili nikipata nafasi nikupe jibu.
Yote kwa yote narudia kusema kuwa, Ni Economical kujenga Ghorofa kuliko nyumba ya kawaida. Tofauti kubwa naiona kwenye ufundi tu.
Kwenye Nyumba ya kawaida unaweza okoteleza fundi yeyote hata kutoka nyumba ya 2 toka kwako (wa 10,000 kwa siku). Hajui hata maana ya mix ratio ya mortar na zege. Nyumba haina hata msingi wa zege chini.Matokeo yake nyumba nyingi za kitaa huchakaa kabisa kabla hata ya miaka 50.
Ghorofa lazima utumie professional fundi ambao Ni wachache saana. Na nyumba itakuwa imara zaidi na itadumu zaidi ya miaka 100.
Hata kwenye nyumba ya kawaida ukitumia professional fundi itakuwa imara zaidi na kudumu zaidi. Tazama majengo mengi ya serikali yalivyo imara
Niko vizuri. Siku hizi unarogwa kwa kutupiwa magonjwa ya kiharusi, presha, kisukari nk. Kisha anakuja kukufariji aliyekuroga, anakupa pole, anakwambia haya ni magonjwa ya kitajiri, vumilia tu utaponaBujibuji kwa uvutaji bangi kwa kweli hajambo huyu kijana. Wewe umetishia watu kurogwa kama wangejenga mansions tukahisi kuwa bado unaishi kwenye nyumba ya udongo, kumbe umetupotosha tu.
Vipo Acha uvivu, Madale tu hapo na hata Kiluvya unapataUkweli ni kwamba hakuna kiwanja cha milioni tano mjini.
Siyo singida tu...hata Dar vipo..
Hapo ni Airport,Hali ya Hewa,Rufaa,Mandewa na VETA nayapenda Sana hayo maeneo asee.Usiwe mjinga, singida hapa mjini kuna kiwanja mil 4.
Kwa maana hiyo unataka kutuambia kuwa huku uchaggani ule uchawi wa Kigoma na Tanga umehamia hapa? Maana haya magonjwa uliyotaja ndiyo magonjwa makubwa ya huku Uchaggani.Niko vizuri. Siku hizi unarogwa kwa kutupiwa magonjwa ya kiharusi, presha, kisukari nk. Kisha anakuja kukufariji aliyekuroga, anakupa pole, anakwambia haya ni magonjwa ya kitajiri, vumilia tu utapona
Kuna somo pana saana hapa sijui kama litaeleweka kwa kuchat tu. Lakini nitajaribu ku share kile ninachokijua kadri ninatakavyoweza.Labda niwe sijakuelewa vizuri. Kwani load bearing wall huwa haihitaji nondo kwenye footings za msingi au kama msingi umetumia beams kwani unaondoa matumizi ya nondo?
Au inapunguza?
Unaposema load bearing wall, unataka kutuambia ni less costly? Kivipi kwa mfano.
Ungenielewesha ningeshukuru.
Unaweza kuondoa beams totally na ukawa na load bearing wallHapo bado sijaongelea Engineer whether ameweka au ameondoa Plinth/ground beam. Design ya slab huwa haibadiriki kwa sababu ya framed structure approach au load bearing wall approach.
unanishauri nijenge ghorofa na engineer au fundi tu wa mtaani?Kimsingi ujenzi wa ghorofa sio gharama sana kama mnavyofikiria ,maana kuna watu wanajenga uderground ambazo ni sawa na ghorofa tu na hawalalamiki ,kikubwa ni ukubwa wa nyumba unayotaka kujenga na ramani yako ghorofa sio hatari ni zile nondo tu na cement , kama mtu ana bungalow mivyumba kama nane na vyote master kuna utofauti gani na ghorofa?
hmmmm[emoji21]Kwa watu kadhaa waliokua wanajenga nimeona msingi range 45mil to 55. Na ni hizo hizo room 4 za kulala ukiacha store na vingine. Hapa naenda site ya ndugu yangu katumia 55.
humu JF kumekuwa na exaggeration nyingi sana siku hizi. Ila ukiwa muelewa wa suala husika ama kuwa na exposure ya kutosha ni rahisi kuchuja pumba na mahindiMie miwili iliyopita nilisimamia ujenzi wa jengo la ghorofa 1, liko Mwandege mkuranga. Ina vyumba vi4 na nguzo 11, Kama sikosei msingi haukuzidi 14,000,000 . Sasa huo msingi wa 45,000,000 Duh!!!!!!!, Anyway labda material yanatoka California
Mkuu hupaswi kusemea mtu endapo kiukweli hauko field husika. Sasa mtu akiexagerate anapata faida ganihmmmm[emoji21]
sijataja mtu mkuuMkuu hupaswi kusemea mtu endapo kiukweli hauko field husika. Sasa mtu akiexagerate anapata faida gani
[/QUOTE]Hebu soma vizuri post yangu namba 233. Nimesema kuwa, utumie framed structure au load bearing wall approach haibadirishi uwepo wa suspended slab. Tena nikakutajia vitu pekee vitakavyopungua kwenye load bearing wall approach Ni 1. Pad foundation 2. Starter Columns 3. Ground Level Columns na 4. First floor level columns.[
Unaweza kuondoa beams totally na ukawa na load bearing wall
Kwa kutumia cement blocks peke yake?
Hapo top floor itakuwa ya materials gani na Psi ngapi labda kama unaweza kutuelezea.
Yaani hamna frame kabisa?