Mkuu tunaweza tukatofautiana kwenye exposure ya mambo flani flan ,Ila the best thing human can do ni kuwa tayari kujifunza any time , mil 45 msingi wa ghorofa sio ujenzi wa kawaida .
Moja ya mishe zangu zinaniweka karibu sana na vifaa vya ujenzi na wataalamu wake , gharama zake nazijua ,
Kuna mtu humu ni dr Kama sikosei hata kwenye uzi huu amechangia yeye alikuwa huru kutueleza ujenzi wake toka anaanza hadi anahamia kwenye ghorofa yake , japo lilikuwa halijaisha vizuri Ila alihamia akiwa amespend mil 64 .