Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Hapana.Mkuu 55mil ni kibosi sana, au mazingira yanachangia pia, manake gharama za nyumba inayojengwa Masaki ni tofauti kabisa na ile inayojengwa Kiluvya, hata ukiweka vitu vingi constant.
Kwa mfano, aina za foundations zinatofautiana.
Eneo Moja ukubwa mmoja Ila inategemea labda footings zako ni ngapi na zinabeba column ya ukubwa gani each. Ukubwa wa nondo na ngapi unahitaji.
Beams zitaenda chini kiasi gani na nondo zake utasuka ngapi na kwa ukubwa upi (diameter).
Slabs (kumbuka zipo mbili, Moja reinforced).
Sanasana utakula nondo nyingi na hapo ndiyo wengine wanaamua kupunguza nondo mradi awe na ghorofa.