Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Hapo saving ipo kwenye eneo la bure tu hapo juu. Kwingine haufanyi saving yoyote,mfano jamvi la kati gharama zake zinazidi msingi na kupaua nyumba ya kawaida pamoja na ceilling.piga hesabu kuanzia gharama zote za selemala na fundi wa chuma (nondo).
 
Mbona hata tukiwa china tunatembea tunaona bahari sasa!
 

Mkuu unaweza kunipa namba za dalali wa pemba mnazi? Kuna mzungu mtalii alikuwa anataka plot karibu na beach amjengee mjengo demu wake.
 

Wengi wanajenga kwa ajili ya kula Upepo mwanana na view.

 
Hapo saving ipo kwenye eneo la bure tu hapo juu. Kwingine haufanyi saving yoyote,mfano jamvi la kati gharama zake zinazidi masingi na kupaua nyumba ya kawaida pamoja na ceilling.piga hesabu kuanzia gharama zote za selemala na fundi wa chuma (nondo).
Kweli kabisa slab inakula sana hela maana form work ujue usuke nondo alafu ujue umwage zege...mifuko ya cement inaisha huku unashangaa.

Ghorofa bwana kama sio la biashara ni waste of resources na ni majivuno ya kibinadamu tuu ambayo yote ni ubatili
 
Chief umenigusa kidogo, nina mpango wa kujenga fremu ya ghorofa lakini nahofia gharama za ujenzi mpaka sasa.. Eneo ni linatosha fremu 5 hivi, unaweza kunisaidia hata kupiga hesabu za rough?
Twende PM
 
Kweli kabisa slab inakula sana hela maana form work ujue usuke nondo alafu ujue umwage zege...mifuko ya cement inaisha huku unashangaa.

Ghorofa bwana kama sio la biashara ni waste of resources na ni majivuno ya kibinadamu tuu ambayo yote ni ubatili
Kweli kabisa.mi naona hiden roof ukipata yenye mchoro mzuri ni bora zaidi kuliko ghorofa.
 
Hapo saving ipo kwenye eneo la bure tu hapo juu. Kwingine haufanyi saving yoyote,mfano jamvi la kati gharama zake zinazidi masingi na kupaua nyumba ya kawaida pamoja na ceilling.piga hesabu kuanzia gharama zote za selemala na fundi wa chuma (nondo).
Nitakuja kujibu mkuu. Maana hapa tunaeleweshana tu
 
Aliyekwambia upost nyumba yangu bila kunitaalifu ni nani ??, [emoji23][emoji23]
 
Mkuu kujenga gorofa kwa sasa inaweza kuwa cheap kuliko kujenga nyumba flat yenye ukubwa sawa.

Mfano unapojenga gorofa ile cost ya mabati, mbao, sealing board zinakuwa hazipo katika fllat ya kwanza na hii cost inaweza kuwa ni chini ya ile cost ya kupiga jamvi, slubs na finishing yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…