Shuli
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 264
- 623
Kwa Wale wanaopenda kupata Mwongozo sahihi Katika ujenzi wa ghorofa karibuni PM. Nitajitahidi ufikie mahitaji yako kwa gharama nafuu zaidi. Mpaka sasa kupitia uzi huu, nimeweza kutoa ushauri watu wengi walionifata PM, kwa ushauri zaidi. Kuna watu wamekuwa kama wamefunguliwa, maana walikuwa wanatishwa saana juu ya ujenzi wa ghorofa. Kupitia uzi huu,kuna mteja mmoja ambaye nimeanza kusimamia mchakato wa awali (Designing stage). Kwa hiyo msisite kunicheki. Nitafanya yafuatayo:-
1. Designing stage
-Architectural drawings
-Structural drawings
-Bills Of Quantities (BOQ)
-Electrical drawings and other services
drawings
- Building permit application and closely
making follow ups
2. Construction stage
-Day to day supervision
-Team building (Artisans/Fundi)
-Procurement/Manunuzi on your choice.
Ukitaka ushughulikie Wewe Manunuzi
yote, poa tu. Au ukinipa Mimi poa tu.
Nakuhakikishia nitayafikia mahitaji yako kwa gharama nafuu kabisa. Namba zangu 0713678173 professionally ni Quantity Surveyor (QS)
1. Designing stage
-Architectural drawings
-Structural drawings
-Bills Of Quantities (BOQ)
-Electrical drawings and other services
drawings
- Building permit application and closely
making follow ups
2. Construction stage
-Day to day supervision
-Team building (Artisans/Fundi)
-Procurement/Manunuzi on your choice.
Ukitaka ushughulikie Wewe Manunuzi
yote, poa tu. Au ukinipa Mimi poa tu.
Nakuhakikishia nitayafikia mahitaji yako kwa gharama nafuu kabisa. Namba zangu 0713678173 professionally ni Quantity Surveyor (QS)