mwambieni babu yenu asilete ujanja ujanja akiiba tu kura lazima tuingie road kwa hili kwa kweli halina mjadalaKuna mshenzi mmoja na chama chake nasikia wanataka kuingia barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambieni babu yenu asilete ujanja ujanja akiiba tu kura lazima tuingie road kwa hili kwa kweli halina mjadalaKuna mshenzi mmoja na chama chake nasikia wanataka kuingia barabarani
Cha kushangaza hayo yote yanajulikana lakini bado mmeingia kwenye ushindani wakati mnajua CCM wana sababu za ushindi kwanini msikomae hadi mkahakikisha hayo yanayowabeba CCM yanaondolewa, mnatafuta visababu vya kuja kilia lia hapa... sijui kwanini ukiwa Chadomo unakuwa kama zuzu unachojua ni domokaya.CCM itashinda kwa asilimia zaidi ya 90. Hili halina ubishi.
LAKINI watachaguliwa (watapigiwa kura) na watu wasiozidi asilimia 10
Sababu za Ushindi
1. NEC ya kwao
2. Polisi wa kwao
3. Wakurugenzi wa kwao
4. Watendaji wa kata wa kwao
5. Ushamba wa muheshimiwa
Mimi mkazi wa mkoa wa shinyanga naomba nitajiwe mambo makubwa mawili aliyoifanyia shy ili kura yangu nisimpe tundu lissu
Ingia hata leo 'sasa hivi' utoke manundumwambieni babu yenu asilete ujanja ujanja akiiba tu kura lazima tuingie road kwa hili kwa kweli halina mjadala
Hata majjrani wa mkoa wa simiyu, tabora na mwanza wameuliza swali hili hili tunaomba jamaa atupe majibu!Swali zuri sana mimi pia wa Heru Juu Manyovu Kasulu mkoani Kigoma CCM Mpya wanieleze yale ma-bombadier, flyovers za baharini, kipande kifupi cha SGR Reli Dar -Moro kinachoendelea kujengwa, Stiegler's gorge yamenigusa vipi mimi mkaazi wa Manyovu?
Kura yangu nampa Tundu Antipas Lissu maana chama cha Demokrasia na Maendeleo ya Watu kinanivutia na kunipa matumaini kuliko sera za Maendeleo ya Vitu.
kwa sasa sina sababu ya kufanya hivyo ili mkumbusheni tu kila mtu ashinde mechi zake kihalaliIngia hata leo 'sasa hivi' utoke manundu
Una dalili zote kuwa wewe ni mshamba!Halafu bado naendelea kujiuliza, naomba mwenye jibu ajitokeze. Ukiishadadia CHADEMA wee mzalendo Ila ukiisemea mema CCM we unajipendekeza. Hii Ni dhambi ya ubaguzi. Hatahivyo, hapa kwangu mtasema mpaka mtabloo mafigo, katu sitaacha kuyasema mema ya Rais, serikali yake. Mimi Sina nchi nyingine. Mimi ni mtanzania halisi
Umesahau kuwa upinzani wengi tulisusa kijiandiishaCCM itashinda kwa asilimia zaidi ya 90. Hili halina ubishi.
LAKINI watachaguliwa (watapigiwa kura) na watu wasiozidi asilimia 10
Sababu za Ushindi
1. NEC ya kwao
2. Polisi wa kwao
3. Wakurugenzi wa kwao
4. Watendaji wa kata wa kwao
5. Ushamba wa muheshimiwa
Shangaa unaambiwa milioni 29 wamejiandikishaUmesahau kuwa upinzani wengi tulisusa kijiandiisha
Dah bora tungejiandikisha tu, watu watatumia vivuli vyetuShangaa unaambiwa milioni 29 wamejiandikisha
Awali ya yote, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza ndugu Bernard Camilius Membe na ndugu wakili msomi Tundu Antipas Lissu kwa kuaminiwa na kuteuliwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, 2020. Ni rasmi sasa watachuana na Rais Magufuli.
Uchaguzi ni uchaguzi na hakuna uchaguzi rahisi. Hatahivyo, Rais Magufuli na CCM kwa ujumla watashinda kwa kishindo. Twende pamoja:
1. Rais Magufuli na chama chake, CCM wana ajenda mahususi za uchaguzi mkuu. CCM chini ya Magufuli wanataka kukamilisha kazi kubwa waliyoianza. Hapa hapatakuwa na matumizi ya nguvu bali nguvu ya hoja. CCM wataonesha walichokifanya ndani ya miaka 5 na watawaomba watanzania waendelee kuwaamini kwa miaka 5 ijayo. Kwavile kazi imefanyika kweli na watanzania wameona, basi hakutakuwa na tabu. Upande wa pili, wapinzani hawana hoja wanayoisimamia kwa Sasa.
Naomba niwakumbushe kuwa katika nchi zinazoendelea Kama Tanzania, ajenda kubwa huwa ni maendeleo na CCM chini ya Magufuli wamefanikiwa kwenye ajenda hii. Wapinzani wataleta ajenda ipi? Huko kupinga kila kitu? Watanzania wameamka.
2. Uimara wa vyama. CCM ni chama imara chenye mizizi mpaka ngazi ya shina. Vyama vingine vipo mijini tuu. Pamoja na rekodi yake nzuri, mgombea wa CCM ambaye ni ndugu Magufuli atabebwa na ukubwa wa chama chake, mapenzi ya wananchi walio wengi kwa CCM na ile hali ya ukweli kuwa imekita mizizi mpaka ngazi za chini.
3. Kushindwa kwa wapinzani kuungana. Kwanza niweke wazi, hata wapinzani wakiungana, bado kura zao haziwezi kumfikia Rais Magufuli lakini angalau wangepata kura kadhaa. Kitendo Cha kutoungana kinaonesha hawaaminiani hivyo watachafuana wenyewe kwa wenyewe na watajodhoofisha kabla ya kufikia sanduku la kura. Inashangaza eti inakuwa Jambo kubwa kwa wapinzani kuhamia Upinzani. Yaani huu ndio ule mchezo wa sifuri kugeuza o. Wajifunze kwa mataifa yaliyoendelea. Wanahitaji wawe na chama kimoja cha Upinzani chenye nguvu. Ni dhahiri ujio wa Membe utapunguza pakubwa kura za CHADEMA.
4. Wananchi wengi kupoteza imani yao kwa vyama vya Upinzani. Pamoja na ukweli kuwa kuunga nkono jitihada za mh Rais ni jambo jema lakini wananchi waliowachagua wadiwani na wabunge wa Upinzani na kuwaacha CCM walihuzunika sana kuona viongozi hao wakitimkia CCM. Sasa wengi wao wanaona bora tuu nao waunge juhudi kwa kura zao na wale wachache wanaobaki wanasema hatupigii tena Upinzani kwani hawaaminiki na hatuipigii CCM vilevile. Hawa Ni rahisi kuwashawishi wwkaipigia CCM na ikitokea hawakupiga basi wapinzani ndio wanaopata hasara kwani wapoga kura wa CCM hawajabadilika zaidi sana wameongezeka.
5. Watu wengi wanaounga mkono upinzani walisusa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa hawataweza kuwachagua viongozi wao. CCM ilifanya vizuri kwa kuhakikisha wananchama wake wamejiandikisha.
#tukutaneoktoba
AiseeKwa hiyo wakiingia wapinzani watatoa ajira?? Mbona sasa hatuoni hata wakitoa hizo ajira kwenye vyama vyao tu, ili iwe mfano?
Hilo sasa ndio tatizo lenu lilipo na watanzania watawalipa kwa kumpa Magufuli kura nyingi na kumchagulia madiwani na wabunge Kama wote wa kumsaidia.1. Elimu bure kwa kweli ipo kwenye makaratasi tu, hili ili lieleweke vizuri lingisemwa hivi magufuli karuhusu watoto wa wanyonge kwenda kuzurura na kushinda bure ktk majengo ya serekali yanayoitwa shule, wazazi wanahaha kuzibua vyoo na kuchoma mahindi ili wapeleke watoto shule za private wakapate elimu ya kweli
Hiyo maana yake ni kuwa wewe na wenzako mnajiaanda kupinga kelele kuwa mmeibiwa kwasababu mmeshaona wananchi watawanyima kuraYote umeandika pumba tu
Sababu ni moja tu
Wataiba kura.
Ni vizuri kufuata utaratibu na wakumbuke kuwa serikali iko machoKuna mshenzi mmoja na chama chake nasikia wanataka kuingia barabarani
Charity begins at home & actions speak louder than words. Wajenge kwanza ofisi ya makao makuu inayofanana na:Chadema.. hawana vya dijitali.. eti wataqeka ya wananchi wanunue hisa.. kiganjani.. hata wa vijijini.. uchumi ukue..😃😃😃😃 vituko vya kuwemo.. ndani ya futi sita.. ndotooooo
Hiyo maana yake ni kuwa wewe na wenzako mnajiaanda kupinga kelele kuwa mmeibiwa kwasababu mmeshaona wananchi watawanyima kura
Karibu CCM, karibu chama kubwa.4. Usambazaji umeme hizi credit kwa kweli ziende tu kwa mkwele asilimia 90 ya umeme shy kasambaza kikwete so kwa porojo zako hizi sisi wanashinyanga kwa pamoja kura zetu tunampa tundu lissu
Akina mama wajawazito, wazee na wagonjwa wanajua kazi iliyofanyika. Wewe endelea kubeza.3. Majengo yanayoitwa zahanati kwa kweli yapo tangia utawala wa kikwete na hayana madaktari wala wauguzi ngazi za manesi kama ni huduma za kutalii majengo ya zahanati pongezi nazipeleka kwa kikwete ila kwa upande wa quality zile zahanati ni majengo bila huduma