Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli. We jamaa mchawi nini? Umejuaje Kama mimi ni wa shamba? Karibu huku tunafuga sana ng'ombe na kulima mahindiUna dalili zote kuwa wewe ni mshamba!
tundu lissu na chadema wanaweza kufanya makubwa zaidi ya haya tena ndani ya muda mfupiKaribu CCM, karibu chama kubwa.
Asante sana kwa hizo credits
Anzeni kwanza na ofisi za makao makuutundu lissu na chadema wanaweza kufanya makubwa zaidi ya haya tena ndani ya muda mfupi
changamoto hizo babu yenu zimemshinda tuna imani na lissu atazitatua ndani ya muda mchacheHilo sasa ndio tatizo lenu lilipo na watanzania watawalipa kwa kumpa Magufuli kura nyingi na kumchagulia madiwani na wabunge Kama wote wa kumsaidia.
Tunajua zipo changamoto katika utekeleza was sera ya elimu ya nwaka 2014 ambayo imetoa fursa tmya watoto wetu kusoma bila ya kulipa ada na michango mbalimbali lakini changamoto hizo haziifanyi jitihada za serikali kuingiza bilioni 23 kila mwezi kuwa kazi bure
Chadema inatosha sana kuishinda ccm katika uchaguzi wa haki na huru hata bila kuungana na vyama vingine.Awali ya yote, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza ndugu Bernard Camilius Membe na ndugu wakili msomi Tundu Antipas Lissu kwa kuaminiwa na kuteuliwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, 2020. Ni rasmi sasa watachuana na Rais Magufuli.
Uchaguzi ni uchaguzi na hakuna uchaguzi rahisi. Hatahivyo, Rais Magufuli na CCM kwa ujumla watashinda kwa kishindo. Twende pamoja:
1. Rais Magufuli na chama chake, CCM wana ajenda mahususi za uchaguzi mkuu. CCM chini ya Magufuli wanataka kukamilisha kazi kubwa waliyoianza. Hapa hapatakuwa na matumizi ya nguvu bali nguvu ya hoja. CCM wataonesha walichokifanya ndani ya miaka 5 na watawaomba watanzania waendelee kuwaamini kwa miaka 5 ijayo. Kwavile kazi imefanyika kweli na watanzania wameona, basi hakutakuwa na tabu. Upande wa pili, wapinzani hawana hoja wanayoisimamia kwa Sasa.
Naomba niwakumbushe kuwa katika nchi zinazoendelea Kama Tanzania, ajenda kubwa huwa ni maendeleo na CCM chini ya Magufuli wamefanikiwa kwenye ajenda hii. Wapinzani wataleta ajenda ipi? Huko kupinga kila kitu? Watanzania wameamka.
2. Uimara wa vyama. CCM ni chama imara chenye mizizi mpaka ngazi ya shina. Vyama vingine vipo mijini tuu. Pamoja na rekodi yake nzuri, mgombea wa CCM ambaye ni ndugu Magufuli atabebwa na ukubwa wa chama chake, mapenzi ya wananchi walio wengi kwa CCM na ile hali ya ukweli kuwa imekita mizizi mpaka ngazi za chini.
3. Kushindwa kwa wapinzani kuungana. Kwanza niweke wazi, hata wapinzani wakiungana, bado kura zao haziwezi kumfikia Rais Magufuli lakini angalau wangepata kura kadhaa. Kitendo Cha kutoungana kinaonesha hawaaminiani hivyo watachafuana wenyewe kwa wenyewe na watajodhoofisha kabla ya kufikia sanduku la kura. Inashangaza eti inakuwa Jambo kubwa kwa wapinzani kuhamia Upinzani. Yaani huu ndio ule mchezo wa sifuri kugeuza o. Wajifunze kwa mataifa yaliyoendelea. Wanahitaji wawe na chama kimoja cha Upinzani chenye nguvu. Ni dhahiri ujio wa Membe utapunguza pakubwa kura za CHADEMA.
4. Wananchi wengi kupoteza imani yao kwa vyama vya Upinzani. Pamoja na ukweli kuwa kuunga nkono jitihada za mh Rais ni jambo jema lakini wananchi waliowachagua wadiwani na wabunge wa Upinzani na kuwaacha CCM walihuzunika sana kuona viongozi hao wakitimkia CCM. Sasa wengi wao wanaona bora tuu nao waunge juhudi kwa kura zao na wale wachache wanaobaki wanasema hatupigii tena Upinzani kwani hawaaminiki na hatuipigii CCM vilevile. Hawa Ni rahisi kuwashawishi wwkaipigia CCM na ikitokea hawakupiga basi wapinzani ndio wanaopata hasara kwani wapoga kura wa CCM hawajabadilika zaidi sana wameongezeka.
5. Watu wengi wanaounga mkono upinzani walisusa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa hawataweza kuwachagua viongozi wao. CCM ilifanya vizuri kwa kuhakikisha wananchama wake wamejiandikisha.
#tukutaneoktoba
Acha basi kuchekesha we jamaaChadema in
Chadema inatosha sana kuishinda ccm katika uchaguzi wa haki na huru hata bila kuungana na vyama vingine.
si bora hata cdm hizo ofisi ni jasho la wanachama nyie ccm ofisi zenu ni majengo aliyopora nyerere kwa wahindi na mabeberu enzi ujamaaAnzeni kwanza na ofisi za makao makuu
UKweli mchunguAwali ya yote, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza ndugu Bernard Camilius Membe na ndugu wakili msomi Tundu Antipas Lissu kwa kuaminiwa na kuteuliwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, 2020. Ni rasmi sasa watachuana na Rais Magufuli.
Uchaguzi ni uchaguzi na hakuna uchaguzi rahisi. Hatahivyo, Rais Magufuli na CCM kwa ujumla watashinda kwa kishindo. Twende pamoja:
1. Rais Magufuli na chama chake, CCM wana ajenda mahususi za uchaguzi mkuu. CCM chini ya Magufuli wanataka kukamilisha kazi kubwa waliyoianza. Hapa hapatakuwa na matumizi ya nguvu bali nguvu ya hoja. CCM wataonesha walichokifanya ndani ya miaka 5 na watawaomba watanzania waendelee kuwaamini kwa miaka 5 ijayo. Kwavile kazi imefanyika kweli na watanzania wameona, basi hakutakuwa na tabu. Upande wa pili, wapinzani hawana hoja wanayoisimamia kwa Sasa.
Naomba niwakumbushe kuwa katika nchi zinazoendelea Kama Tanzania, ajenda kubwa huwa ni maendeleo na CCM chini ya Magufuli wamefanikiwa kwenye ajenda hii. Wapinzani wataleta ajenda ipi? Huko kupinga kila kitu? Watanzania wameamka.
2. Uimara wa vyama. CCM ni chama imara chenye mizizi mpaka ngazi ya shina. Vyama vingine vipo mijini tuu. Pamoja na rekodi yake nzuri, mgombea wa CCM ambaye ni ndugu Magufuli atabebwa na ukubwa wa chama chake, mapenzi ya wananchi walio wengi kwa CCM na ile hali ya ukweli kuwa imekita mizizi mpaka ngazi za chini.
3. Kushindwa kwa wapinzani kuungana. Kwanza niweke wazi, hata wapinzani wakiungana, bado kura zao haziwezi kumfikia Rais Magufuli lakini angalau wangepata kura kadhaa. Kitendo Cha kutoungana kinaonesha hawaaminiani hivyo watachafuana wenyewe kwa wenyewe na watajodhoofisha kabla ya kufikia sanduku la kura. Inashangaza eti inakuwa Jambo kubwa kwa wapinzani kuhamia Upinzani. Yaani huu ndio ule mchezo wa sifuri kugeuza o. Wajifunze kwa mataifa yaliyoendelea. Wanahitaji wawe na chama kimoja cha Upinzani chenye nguvu. Ni dhahiri ujio wa Membe utapunguza pakubwa kura za CHADEMA.
4. Wananchi wengi kupoteza imani yao kwa vyama vya Upinzani. Pamoja na ukweli kuwa kuunga nkono jitihada za mh Rais ni jambo jema lakini wananchi waliowachagua wadiwani na wabunge wa Upinzani na kuwaacha CCM walihuzunika sana kuona viongozi hao wakitimkia CCM. Sasa wengi wao wanaona bora tuu nao waunge juhudi kwa kura zao na wale wachache wanaobaki wanasema hatupigii tena Upinzani kwani hawaaminiki na hatuipigii CCM vilevile. Hawa Ni rahisi kuwashawishi wwkaipigia CCM na ikitokea hawakupiga basi wapinzani ndio wanaopata hasara kwani wapoga kura wa CCM hawajabadilika zaidi sana wameongezeka.
5. Watu wengi wanaounga mkono upinzani walisusa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa hawataweza kuwachagua viongozi wao. CCM ilifanya vizuri kwa kuhakikisha wananchama wake wamejiandikisha.
#tukutaneoktoba
Akikurudia nitag1.Elimu bure kwa watoto wetu kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha 4.
2. Ujenzi wa barabara
Bonus points
3. Ujenzi wa vituo vya afya
4. Uimarishaji wa usambazaji wa umeme vijijini
Naomba watu wa Shytown wamuongezee
Tundu lissu amefanya mambo gani makubwa achilia mbali madogo huko Shinyanga hadi umchague?Mimi mkazi wa mkoa wa shinyanga naomba nitajiwe mambo makubwa mawili aliyoifanyia shy ili kura yangu nisimpe tundu lissu
Kwa kweli kama hizi ndizo akili za hawa wanaojiita wapinzani (mbumbumbu) bora ccm iendelee tu kutawala miaka 100 ijayo.Swali zuri sana mimi pia wa Heru Juu Manyovu Kasulu mkoani Kigoma CCM Mpya wanieleze yale ma-bombadier, flyovers za baharini, kipande kifupi cha SGR Reli Dar -Moro kinachoendelea kujengwa, Stiegler's gorge yamenigusa vipi mimi mkaazi wa Manyovu? Sana sana wametuulia kilimo na masoko yake kwa kusahau sekta hii ya maharage, pamba, korosho, uvuvi wa dagaa na samaki.
Kura yangu nampa Tundu Antipas Lissu maana chama cha Demokrasia na Maendeleo ya Watu kinanivutia na kunipa matumaini kuliko sera za Maendeleo ya Vitu.
Kama tu ofisi ya chama imewashinda kujenga hadi mnapanga kwenye nyumba ya mgongo wa tembo huko mtaa wa ufupi kwa zaidi ya miaka 25 mtaweza kweli kujenga nchi?changamoto hizo babu yenu zimemshinda tuna imani na lissu atazitatua ndani ya muda mchache
Anadhani tundu lisu ana bohari ya ajira ameifungia miaka yote hiyo ili akipewa uraisi afungue bohari hiyo aanze kugawa ajira kama wanavyogawa chakula kwenye sherehe za kijamiiKwa hiyo wakiingia wapinzani watatoa ajira?? Mbona sasa hatuoni hata wakitoa hizo ajira kwenye vyama vyao tu, ili iwe mfano?
kikomo cha elimu yako ni darasa la ngapi kwanza? Make kwa hili swali hadi nimekuonea aibuTundu lissu amefanya mambo gani makubwa achilia mbali madogo huko Shinyanga hadi umchague?
nyerere alikomboa hii nchi ofisi za tanu zikiwa chini ya muembe nini nyumba ya mgongo wa tembo? Kwanza hata ccm ofisi zake zote ilinyanganya majengo ya wahindi na mabeberu kwa nguvuKama tu ofisi ya chama imewashinda kujenga hadi mnapanga kwenye nyumba ya mgongo wa tembo huko mtaa wa ufupi kwa zaidi ya miaka 25 mtaweza kweli kujenga nchi?