Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Awali ya yote, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza ndugu Bernard Camilius Membe na ndugu wakili msomi Tundu Antipas Lissu kwa kuaminiwa na kuteuliwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, 2020. Ni rasmi sasa watachuana na Rais Magufuli.

Uchaguzi ni uchaguzi na hakuna uchaguzi rahisi. Hatahivyo, Rais Magufuli na CCM kwa ujumla watashinda kwa kishindo. Twende pamoja:

1. Rais Magufuli na chama chake, CCM wana ajenda mahususi za uchaguzi mkuu. CCM chini ya Magufuli wanataka kukamilisha kazi kubwa waliyoianza. Hapa hapatakuwa na matumizi ya nguvu bali nguvu ya hoja. CCM wataonesha walichokifanya ndani ya miaka 5 na watawaomba watanzania waendelee kuwaamini kwa miaka 5 ijayo. Kwavile kazi imefanyika kweli na watanzania wameona, basi hakutakuwa na tabu. Upande wa pili, wapinzani hawana hoja wanayoisimamia kwa Sasa.

Naomba niwakumbushe kuwa katika nchi zinazoendelea Kama Tanzania, ajenda kubwa huwa ni maendeleo na CCM chini ya Magufuli wamefanikiwa kwenye ajenda hii. Wapinzani wataleta ajenda ipi? Huko kupinga kila kitu? Watanzania wameamka.

2. Uimara wa vyama. CCM ni chama imara chenye mizizi mpaka ngazi ya shina. Vyama vingine vipo mijini tuu. Pamoja na rekodi yake nzuri, mgombea wa CCM ambaye ni ndugu Magufuli atabebwa na ukubwa wa chama chake, mapenzi ya wananchi walio wengi kwa CCM na ile hali ya ukweli kuwa imekita mizizi mpaka ngazi za chini.

3. Kushindwa kwa wapinzani kuungana. Kwanza niweke wazi, hata wapinzani wakiungana, bado kura zao haziwezi kumfikia Rais Magufuli lakini angalau wangepata kura kadhaa. Kitendo Cha kutoungana kinaonesha hawaaminiani hivyo watachafuana wenyewe kwa wenyewe na watajodhoofisha kabla ya kufikia sanduku la kura. Inashangaza eti inakuwa Jambo kubwa kwa wapinzani kuhamia Upinzani. Yaani huu ndio ule mchezo wa sifuri kugeuza o. Wajifunze kwa mataifa yaliyoendelea. Wanahitaji wawe na chama kimoja cha Upinzani chenye nguvu. Ni dhahiri ujio wa Membe utapunguza pakubwa kura za CHADEMA

4. Wananchi wengi kupoteza imani yao kwa vyama vya Upinzani. Pamoja na ukweli kuwa kuunga nkono jitihada za mh Rais ni jambo jema lakini wananchi waliowachagua wadiwani na wabunge wa Upinzani na kuwaacha CCM walihuzunika sana kuona viongozi hao wakitimkia CCM. Sasa wengi wao wanaona bora tuu nao waunge juhudi kwa kura zao na wale wachache wanaobaki wanasema hatupigii tena Upinzani kwani hawaaminiki na hatuipigii CCM vilevile. Hawa Ni rahisi kuwashawishi wwkaipigia CCM na ikitokea hawakupiga basi wapinzani ndio wanaopata hasara kwani wapoga kura wa CCM hawajabadilika zaidi sana wameongezeka

5. Watu wengi wanaounga mkono upinzani walisusa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa hawataweza kuwachagua viongozi wao. CCM ilifanya vizuri kwa kuhakikisha wananchama wake wamejiandikisha.

#tukutaneoktoba
Maneno mengi ila PUMBA.
 
Point namba 5 ni tiketi nzuri sana tatizo ni kwamba yule mpinzani mkuu keshasema ataingiza watu barabarani akihisi kaibiwa.
 
mwambieni babu yenu asilete ujanja ujanja akiiba tu kura lazima tuingie road kwa hili kwa kweli halina mjadala
Labda kuingia road tena kuzideki.........ile ya Mange tu hakuna alietoa hata pua nje hii si hata hewa ya nje mtasusa kuvuta
 
Awali ya yote, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza ndugu Bernard Camilius Membe na ndugu wakili msomi Tundu Antipas Lissu kwa kuaminiwa na kuteuliwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kinyang'anyiro cha urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, 2020. Ni rasmi sasa watachuana na Rais Magufuli.

Uchaguzi ni uchaguzi na hakuna uchaguzi rahisi. Hatahivyo, Rais Magufuli na CCM kwa ujumla watashinda kwa kishindo. Twende pamoja:

1. Rais Magufuli na chama chake, CCM wana ajenda mahususi za uchaguzi mkuu. CCM chini ya Magufuli wanataka kukamilisha kazi kubwa waliyoianza. Hapa hapatakuwa na matumizi ya nguvu bali nguvu ya hoja. CCM wataonesha walichokifanya ndani ya miaka 5 na watawaomba watanzania waendelee kuwaamini kwa miaka 5 ijayo. Kwavile kazi imefanyika kweli na watanzania wameona, basi hakutakuwa na tabu. Upande wa pili, wapinzani hawana hoja wanayoisimamia kwa Sasa.

Naomba niwakumbushe kuwa katika nchi zinazoendelea Kama Tanzania, ajenda kubwa huwa ni maendeleo na CCM chini ya Magufuli wamefanikiwa kwenye ajenda hii. Wapinzani wataleta ajenda ipi? Huko kupinga kila kitu? Watanzania wameamka.

2. Uimara wa vyama. CCM ni chama imara chenye mizizi mpaka ngazi ya shina. Vyama vingine vipo mijini tuu. Pamoja na rekodi yake nzuri, mgombea wa CCM ambaye ni ndugu Magufuli atabebwa na ukubwa wa chama chake, mapenzi ya wananchi walio wengi kwa CCM na ile hali ya ukweli kuwa imekita mizizi mpaka ngazi za chini.

3. Kushindwa kwa wapinzani kuungana. Kwanza niweke wazi, hata wapinzani wakiungana, bado kura zao haziwezi kumfikia Rais Magufuli lakini angalau wangepata kura kadhaa. Kitendo Cha kutoungana kinaonesha hawaaminiani hivyo watachafuana wenyewe kwa wenyewe na watajodhoofisha kabla ya kufikia sanduku la kura. Inashangaza eti inakuwa Jambo kubwa kwa wapinzani kuhamia Upinzani. Yaani huu ndio ule mchezo wa sifuri kugeuza o. Wajifunze kwa mataifa yaliyoendelea. Wanahitaji wawe na chama kimoja cha Upinzani chenye nguvu. Ni dhahiri ujio wa Membe utapunguza pakubwa kura za CHADEMA

4. Wananchi wengi kupoteza imani yao kwa vyama vya Upinzani. Pamoja na ukweli kuwa kuunga nkono jitihada za mh Rais ni jambo jema lakini wananchi waliowachagua wadiwani na wabunge wa Upinzani na kuwaacha CCM walihuzunika sana kuona viongozi hao wakitimkia CCM. Sasa wengi wao wanaona bora tuu nao waunge juhudi kwa kura zao na wale wachache wanaobaki wanasema hatupigii tena Upinzani kwani hawaaminiki na hatuipigii CCM vilevile. Hawa Ni rahisi kuwashawishi wwkaipigia CCM na ikitokea hawakupiga basi wapinzani ndio wanaopata hasara kwani wapoga kura wa CCM hawajabadilika zaidi sana wameongezeka

5. Watu wengi wanaounga mkono upinzani walisusa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hawa hawataweza kuwachagua viongozi wao. CCM ilifanya vizuri kwa kuhakikisha wananchama wake wamejiandikisha.

#tukutaneoktoba
Buku 7
 
Labda kuingia road tena kuzideki.........ile ya Mange tu hakuna alietoa hata pua nje hii si hata hewa ya nje mtasusa kuvuta
tulia wewe coward mazingira ya mange na hii ya kuiba kura za lissu ni tofauti kabisa you can't compare embe na pera bwana mdogo
 
Just live in your fantasy and mediocrity!
kwa hiyo umejibu kwa lugha ya kibeberu ili kunionyesha kuwa ulivuka darasa la Saba? Sasa basi elimu yako haijakusaidia chochote kama unashindwa kufahamu chama chenye mamlaka ya kukusanya kodi kwa wananchi wote ndicho kinachopaswa kutekeleza miradi ya maendeleo nisengetemea swali la kipambavu kama lile
 
4. Usambazaji umeme hizi credit kwa kweli ziende tu kwa mkwele asilimia 90 ya umeme shy kasambaza kikwete so kwa porojo zako hizi sisi wanashinyanga kwa pamoja kura zetu tunampa tundu lissu
Big up.. hakuna kudanganywa
 
Sasa kama kafanya mengi kwanini alimuogopa Membe hadi kumfukuza chama? Kwanini mnaogopa Tume Huru badala ya hiyo Tumeccm tumefake? Kama ni halali kura za uchaguzi ccm kuhesabiwa hadharani nini kinawaogopesha kura za uchaguzi Mkuu kuhesabiwa hadharani!? 😳😳😳😳😳

Nimepitia posti mbalimbali, wengi wanataka kujua ni nini serikali ya Tanzania chini ya Magufuli imemfanyia.

Ninetembea sehemu nyingi Tanzania Ila ninaomba mniwie radhi, sina takwimu za kila sehemu, nitatoa majibu ya jumla. Ninaomba wale waliopo kwenye maeneo ya hawa ndugu zetu wanisaidie kuwapa majibu mahususi.

Usambazaji wa umeme vijijini unafanyika nchi nzima
Elimu bila malipo kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne - nchi nzima
Ujenzi wa barabara za lami - maeneo Mengi ya Tanzania na kuunganisha wilaya na mikoa
Ujenzi wa vituo vya afya na kuimarisha upatikanaji wa madawa na vifaa tiba - nchi nzima
Nidhamu serikalini hivyo kuimarisha huduma za serikali kwa wananchi - nchi nzima
Uimarishaji wa hospitali za mikoa kwa kuzikarabati na kuongeza wataalam - nchi nzima
Ndege zinaongeza mapato serikalini kwa kuimarisha na kurahisha shughuli za usafiri na usafirishaji. Hii ni moja ya hatua za kukuza utalii wa ndani na nje.
Ujenzi wa flyovers ni kupunguza foleni na kurahisha shughuli za usafiri na usafirishaji. Hapa kiuchumi unaporahisha shughuli za usafiri na usafirishaji kwa kuokoa muda, basi unaokoa fedha nyingi kwani huduma zinaboreka wafanyakazi na wafanyabiashara wanafanya vizuri na kuongeza kipato. Pia ni kivutio kimoja wapo cha utalii.
Stiglers gorge ikikamilika itatupa umeme mwingi, wa uhakika na nafuu. Utasambazwa majumbani na viwandani. Uneme huu unaweza pia kuuzwa nje ya Tanzania. Pato la serikaoi litakuwa, ajira zitaongezeka na gharama za uzalishaji zitapungua.

Kipato imara cha serikali ndio kinawezesha kujenga barabara, hospitali za wilaya na zahanati, elimu bure, kulipa mishahara, mikopo ya elimu ya juu nchi nzima.

Najua zipo changamoto, ila Magufuli na serikali yake wamethubutu, taa ya kijani sasa imewaka. Twendeni pamoja.
 
Mtapigiwa kura na flyover ,madaraja stiegergorge, standard gauge , bombardier na dreamliner au vipi kijani kibichi.
 
Back
Top Bottom