Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Cha kushangaza hayo yote yanajulikana lakini bado mmeingia kwenye ushindani wakati mnajua CCM wana sababu za ushindi kwanini msikomae hadi mkahakikisha hayo yanayowabeba CCM yanaondolewa, mnatafuta visababu vya kuja kilia lia hapa... sijui kwanini ukiwa Chadomo unakuwa kama zuzu unachojua ni domokaya.
 
Mimi mkazi wa mkoa wa shinyanga naomba nitajiwe mambo makubwa mawili aliyoifanyia shy ili kura yangu nisimpe tundu lissu

Swali zuri sana mimi pia wa Heru Juu Manyovu Kasulu mkoani Kigoma CCM Mpya wanieleze yale ma-bombadier, flyovers za baharini, kipande kifupi cha SGR Reli Dar -Moro kinachoendelea kujengwa, Stiegler's gorge yamenigusa vipi mimi mkaazi wa Manyovu? Sana sana wametuulia kilimo na masoko yake kwa kusahau sekta hii ya maharage, pamba, korosho, uvuvi wa dagaa na samaki.

Kura yangu nampa Tundu Antipas Lissu maana chama cha Demokrasia na Maendeleo ya Watu kinanivutia na kunipa matumaini kuliko sera za Maendeleo ya Vitu.
 
Hata majjrani wa mkoa wa simiyu, tabora na mwanza wameuliza swali hili hili tunaomba jamaa atupe majibu!
 
Nini bara barani hata kwenye runway kule airport waingie tu na ndege zitaruka
 
Una dalili zote kuwa wewe ni mshamba!
 
Reactions: BAK
Umesahau kuwa upinzani wengi tulisusa kijiandiisha
 
Yote umeandika pumba tu
Sababu ni moja tu
Wataiba kura.
 
Hilo sasa ndio tatizo lenu lilipo na watanzania watawalipa kwa kumpa Magufuli kura nyingi na kumchagulia madiwani na wabunge Kama wote wa kumsaidia.
Tunajua zipo changamoto katika utekeleza was sera ya elimu ya nwaka 2014 ambayo imetoa fursa tmya watoto wetu kusoma bila ya kulipa ada na michango mbalimbali lakini changamoto hizo haziifanyi jitihada za serikali kuingiza bilioni 23 kila mwezi kuwa kazi bure
 
Chadema.. hawana vya dijitali.. eti wataqeka ya wananchi wanunue hisa.. kiganjani.. hata wa vijijini.. uchumi ukue..πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ vituko vya kuwemo.. ndani ya futi sita.. ndotooooo
Charity begins at home & actions speak louder than words. Wajenge kwanza ofisi ya makao makuu inayofanana na:
Ruzuku wanayopata
Michango ya lazima ya milioni moja wanayowakata wabunge wao
Misaada na hisani kutoka kwa watu wanaojulikana
 
4. Usambazaji umeme hizi credit kwa kweli ziende tu kwa mkwele asilimia 90 ya umeme shy kasambaza kikwete so kwa porojo zako hizi sisi wanashinyanga kwa pamoja kura zetu tunampa tundu lissu
Karibu CCM, karibu chama kubwa.
Asante sana kwa hizo credits
 
Akina mama wajawazito, wazee na wagonjwa wanajua kazi iliyofanyika. Wewe endelea kubeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…