Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Mm mkazi wa mbulu mkoani Manyara niambieni hayo aliyoyafanya Magufuli
Kwa mwananchi wakawaida kama mm
 
Reactions: BAK
Nimepitia posti mbalimbali, wengi wanataka kujua ni nini serikali ya Tanzania chini ya Magufuli imemfanyia.

Ninetembea sehemu nyingi Tanzania Ila ninaomba mniwie radhi, sina takwimu za kila sehemu, nitatoa majibu ya jumla. Ninaomba wale waliopo kwenye maeneo ya hawa ndugu zetu wanisaidie kuwapa majibu mahususi.

Usambazaji wa umeme vijijini unafanyika nchi nzima
Elimu bila malipo kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne - nchi nzima
Ujenzi wa barabara za lami - maeneo Mengi ya Tanzania na kuunganisha wilaya na mikoa
Ujenzi wa vituo vya afya na kuimarisha upatikanaji wa madawa na vifaa tiba - nchi nzima
Nidhamu serikalini hivyo kuimarisha huduma za serikali kwa wananchi - nchi nzima
Uimarishaji wa hospitali za mikoa kwa kuzikarabati na kuongeza wataalam - nchi nzima
Ndege zinaongeza mapato serikalini kwa kuimarisha na kurahisha shughuli za usafiri na usafirishaji. Hii ni moja ya hatua za kukuza utalii wa ndani na nje.
Ujenzi wa flyovers ni kupunguza foleni na kurahisha shughuli za usafiri na usafirishaji. Hapa kiuchumi unaporahisha shughuli za usafiri na usafirishaji kwa kuokoa muda, basi unaokoa fedha nyingi kwani huduma zinaboreka wafanyakazi na wafanyabiashara wanafanya vizuri na kuongeza kipato. Pia ni kivutio kimoja wapo cha utalii.
Stiglers gorge ikikamilika itatupa umeme mwingi, wa uhakika na nafuu. Utasambazwa majumbani na viwandani. Uneme huu unaweza pia kuuzwa nje ya Tanzania. Pato la serikaoi litakuwa, ajira zitaongezeka na gharama za uzalishaji zitapungua.

Kipato imara cha serikali ndio kinawezesha kujenga barabara, hospitali za wilaya na zahanati, elimu bure, kulipa mishahara, mikopo ya elimu ya juu nchi nzima.

Najua zipo changamoto, ila Magufuli na serikali yake wamethubutu, taa ya kijani sasa imewaka. Twendeni pamoja.
 
changamoto hizo babu yenu zimemshinda tuna imani na lissu atazitatua ndani ya muda mchache
 
Chadema in
Chadema inatosha sana kuishinda ccm katika uchaguzi wa haki na huru hata bila kuungana na vyama vingine.
 
UKweli mchungu
 
1.Elimu bure kwa watoto wetu kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha 4.
2. Ujenzi wa barabara

Bonus points
3. Ujenzi wa vituo vya afya
4. Uimarishaji wa usambazaji wa umeme vijijini

Naomba watu wa Shytown wamuongezee
Akikurudia nitag
 
miundombinu hata mkoloni alijenga na bado walikataliwa na kutolewa nduki na jiulize kwa nini walin'golewa jibu sahihi utakalopata ndilo linakwenda kuitoa ccm madarakani kiufupi ccm awamu ya tano imegusa pabaya sana na si hapa tanzania tu popote pale duniani kiongozi mpumbavu ni yule anayechezea uhuru na, haki za watu. HAPA TZ SASA IMETOSHA KWA SABABU WATANZANIA NI WATU SI WANYAMA ." Hii ni nature si mimi"
 
Mimi mkazi wa mkoa wa shinyanga naomba nitajiwe mambo makubwa mawili aliyoifanyia shy ili kura yangu nisimpe tundu lissu
Tundu lissu amefanya mambo gani makubwa achilia mbali madogo huko Shinyanga hadi umchague?
 
We kweli ccm mpya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa kweli kama hizi ndizo akili za hawa wanaojiita wapinzani (mbumbumbu) bora ccm iendelee tu kutawala miaka 100 ijayo.
 
changamoto hizo babu yenu zimemshinda tuna imani na lissu atazitatua ndani ya muda mchache
Kama tu ofisi ya chama imewashinda kujenga hadi mnapanga kwenye nyumba ya mgongo wa tembo huko mtaa wa ufupi kwa zaidi ya miaka 25 mtaweza kweli kujenga nchi?
 
Kwa hiyo wakiingia wapinzani watatoa ajira?? Mbona sasa hatuoni hata wakitoa hizo ajira kwenye vyama vyao tu, ili iwe mfano?
Anadhani tundu lisu ana bohari ya ajira ameifungia miaka yote hiyo ili akipewa uraisi afungue bohari hiyo aanze kugawa ajira kama wanavyogawa chakula kwenye sherehe za kijamii
 
Tundu lissu amefanya mambo gani makubwa achilia mbali madogo huko Shinyanga hadi umchague?
kikomo cha elimu yako ni darasa la ngapi kwanza? Make kwa hili swali hadi nimekuonea aibu
 
Kama tu ofisi ya chama imewashinda kujenga hadi mnapanga kwenye nyumba ya mgongo wa tembo huko mtaa wa ufupi kwa zaidi ya miaka 25 mtaweza kweli kujenga nchi?
nyerere alikomboa hii nchi ofisi za tanu zikiwa chini ya muembe nini nyumba ya mgongo wa tembo? Kwanza hata ccm ofisi zake zote ilinyanganya majengo ya wahindi na mabeberu kwa nguvu
 
Umeandika kama unakimbizwa...mwaka huu mtakiona cha moto yaani iwe kwa sanduku la kura ama kwa damu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…