Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Maneno mengi ila PUMBA.
 
Point namba 5 ni tiketi nzuri sana tatizo ni kwamba yule mpinzani mkuu keshasema ataingiza watu barabarani akihisi kaibiwa.
 
mwambieni babu yenu asilete ujanja ujanja akiiba tu kura lazima tuingie road kwa hili kwa kweli halina mjadala
Labda kuingia road tena kuzideki.........ile ya Mange tu hakuna alietoa hata pua nje hii si hata hewa ya nje mtasusa kuvuta
 
Point namba 5 ni tiketi nzuri sana tatizo ni kwamba yule mpinzani mkuu keshasema ataingiza watu barabarani akihisi kaibiwa.
Labda kama amekodi wakenya bongo hakuna wakuingia barabarani
 
Buku 7
 
Labda kuingia road tena kuzideki.........ile ya Mange tu hakuna alietoa hata pua nje hii si hata hewa ya nje mtasusa kuvuta
tulia wewe coward mazingira ya mange na hii ya kuiba kura za lissu ni tofauti kabisa you can't compare embe na pera bwana mdogo
 
Just live in your fantasy and mediocrity!
kwa hiyo umejibu kwa lugha ya kibeberu ili kunionyesha kuwa ulivuka darasa la Saba? Sasa basi elimu yako haijakusaidia chochote kama unashindwa kufahamu chama chenye mamlaka ya kukusanya kodi kwa wananchi wote ndicho kinachopaswa kutekeleza miradi ya maendeleo nisengetemea swali la kipambavu kama lile
 
Nje ya mada mkuu una ndugu zako wako Nyehunge Sengerema?
 
4. Usambazaji umeme hizi credit kwa kweli ziende tu kwa mkwele asilimia 90 ya umeme shy kasambaza kikwete so kwa porojo zako hizi sisi wanashinyanga kwa pamoja kura zetu tunampa tundu lissu
Big up.. hakuna kudanganywa
 
Sasa kama kafanya mengi kwanini alimuogopa Membe hadi kumfukuza chama? Kwanini mnaogopa Tume Huru badala ya hiyo Tumeccm tumefake? Kama ni halali kura za uchaguzi ccm kuhesabiwa hadharani nini kinawaogopesha kura za uchaguzi Mkuu kuhesabiwa hadharani!? 😳😳😳😳😳

 
Mtapigiwa kura na flyover ,madaraja stiegergorge, standard gauge , bombardier na dreamliner au vipi kijani kibichi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…