Uchaguzi 2020 Ni kwanini upinzani utashindwa vibaya na CCM Itashinda kwa kishindo?

Wacha nisihangaike na andiko la taahira ngoja nikasome commend za washikaji!
 
tulia wewe coward mazingira ya mange na hii ya kuiba kura za lissu ni tofauti kabisa you can't compare embe na pera bwana mdogo
Wote keyboard warriors tu hamna wa kufanya fujo hapa
 
Sikuwaza kuna atakayekuja mpokea huyu mpaka nilipowaona. Kwanza nilijua akija atapokelewa na pingu. Sasa hivi simchukulii poa.
Kupokea si walishasoma mazingira na kwani polisi walitangaza kwamba wamewakataza kumpokea?????? Ishu mtu atoke kwake ajue anaenda kuchezea kichapo huko wengi wanaufyata
 
Wimbi la vijana tusiokuwa na ajira linaongezeka kwa kasi mtandaoni ktk kujipendekeza kwa CCM ili tupate teuzi

Alisikika jamaa mmoja akisema
Ndugu LUCKDUBE tuliandika, mkasoma lakini mkashupaza shingo zenu
 
Wananchi wamewakataa wapinzani. Waelewe tuu
 
4. Usambazaji umeme hizi credit kwa kweli ziende tu kwa mkwele asilimia 90 ya umeme shy kasambaza kikwete so kwa porojo zako hizi sisi wanashinyanga kwa pamoja kura zetu tunampa tundu lissu
Blac kid muwe mnaelewa basi kuwa wananchi wameamka na wanaunga mkono maendeleo
 
Napita
 
Hiyo namba nne, ndio imetufikisha hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…