Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Mungu akubariki sana kwa kutambua mchango wa walimuSababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...
Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...
Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...
Walimu wanaweza kununu maji bana, buku kweli iwashinde...?Ukiona mwalimu kashika chupa ya maji ujue katoka kwenye harusi au semina,kwa mshahara upi anunue maji.
Ukimaliza kula kwa shemeji yako, nenda kaoshe vyombo[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nguo tu wanazovaa halafu mara nyingi majumbani kwao wanakula ugali maharage, ubwabwa mpaka siku ya mshahara anatoka na Mchele mjini
Quote of the day [emoji419][emoji419][emoji419]Si tabia ya simba kuwajibu mbwa wanaobweka.
Kwa majibu yako naweza kujua umri wako...?Nguo zao zote nizile zenye marinda, Mala nyingi ni suruali za fundi cherehani wa kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawanunui suruali Dukani, wananunua kitambaa wanapeleka tailoring
Acha bana, huo ni udhalilishaji, weka ushahidi basi tuamini woteKwa sasa walimu wameanzisha mradi mpya wa kulawiti na kubaka watoto plus kuwalambisha koni watoto wa chekechea kwa makubaliano
Mungu akusamehe kijana, hujui usemalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa watu ni special group
Ubarikiwe sana bwana VietnamKila kada ina madhaifu yake, tuheshimu walimu ndio wanawatoa ujinga watoto wetu
Kuvaa suti ni kipimo cha mafanikio au utajiri..?Mawakili wanakasoro gn, wanapiga suti mwanzo mwisho
Mungu alivyokuwa wa ajabu jamaa anaeza angukia kwenye uwalimuNimecheka[emoji16][emoji16][emoji16] time ain't a bit*h
Unamuona mtendaji wa kata ni wamaana sana sio..?Wanajipenda kuliko walimu, msimamishe mtendaji kata na mwalimu tuone yupi jamii inamchukulia mtu aliyepoteza tumaini la maisha
Jifunze kwanza matumizi ya r na l kisha urudi hapa tuendelee na mjadala[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Chunguza mkuu utakuja kunipa kongore
Huyu anayetusi walimu wetu nadhani kavimbiwa stress za kukosa nafasi ya ajira... Ni vema akanye... Mpuuzi sana Huyu !!Walimu wanaaibisha utumishi wa umma.
#MaendeleoHayanaChama
Huyu si ndo yule alienda lindi kutafuta part time ya kufundisha..? Dunia inamamboHuwa una bifu fulani kali na walimu.Nimekuona unawatukana toka kwenye lile jukwaa la 'sensa'.Labda pengine umeona wanakunyima nafasi ya kuchaguliwa kuwa karani.
Sio vema.Heshimu taaluma za watu.Bila waalimu hakuna ambaye angefika mahali alipo sasa.Kama wewe unawaona wa ovyo wengine maisha yetu ya masomo yalipiganiwa na wao wakati wazazi wetu wapo mbali.
Sijaupenda uzi wako!
Mbona kuna watanzania wengi tuu hukoUpo sahihi, ila hiyo shule unayosema Chunguza kama walimu ni wabongo, nazungumza natives
Hatutamani kufika hukoNatamani siku moja waalimu wasiwe wanawafuatilia watoto,, yaani wawaache tu hata wakifanya makosa
Wasi improvise kama kuna shortage ya waalimu,,, watumie dk 120 kwa wiki kufundisha kama muongozo wao unavyowataka
Wasitumie energy kubwa kufundisha,,
Wakae muda standard wa serikali kazini from saa 2-9
Wasichukue nafasi ya mzazi au mlezi,,(mind their own busines)
Wafundishe kwa pace ya syllabus zao
Wagome kufundisha kwenye mazingira hayo mabovu ya kazi waliyonayo
Wafanye hvo kwa miaka 3 mfululizo Nione nn kitatokea[emoji848][emoji848]
Mungu akubariki nduguWalimu naomba mpuuzeni huyu Mpwayungu kwani tokea alete mada ya dada yake kushikwa matiti na kuchezewa sehemu za siri na wahindi niliona kabisa hayupo sawa kichwani.
Binafsi nawapenda na kuwaheshimu walimu wangu kwani wamefanya kazi kubwa mpk mimi kuwa hapa muda mwingine wangekuwa kama wazazi kwangu..
Mje mfanye hvo mara 1 tuHatutamani kufika huko
Mungu awabariki sana walimu wangu walionifundisha,Hapo asilimia mia wataheshimika, shida yao wamejigeuza watumwa sijui wamefungwa na nguvu za giza, yani unakuta mwisho wa vipindi ni saa nane mchana yeye anaforce mje jioni hata saa kumi ili awafundishe zaidi ya hapo anafanya tofauti na maagizo ya wizara, ndio maana ndalichako alikemeaga hili alisema walim likizo acheni wanafunzi waende nyumbani maana mnafundisha non stop shida nini?, bado ummy mwalimu alikemea hili ila wao kila siku na chaki mkononi. Nadhani hawana kazi za ziada ndio maana wanaona bora wafundishe hata Bure tu kwasababu hawana overtime hawa watu.
Acha kukimbilia private mbona hujagusa walimu wa kata, hutaki kuwataja wa serikali kwa kuwa ukweli uko wazi maisha yao yakifukara naukata wakupindukiaMbona kuna watanzania wengi tuu huko
Nenda shule kama st Constantine, international school Moshi watanzania wengi wanafundisha pale na mishahara ni minono