Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Huwa una bifu fulani kali na walimu.Nimekuona unawatukana toka kwenye lile jukwaa la 'sensa'.Labda pengine umeona wanakunyima nafasi ya kuchaguliwa kuwa karani.
Sio vema.Heshimu taaluma za watu.Bila waalimu hakuna ambaye angefika mahali alipo sasa.Kama wewe unawaona wa ovyo wengine maisha yetu ya masomo yalipiganiwa na wao wakati wazazi wetu wapo mbali.
Sijaupenda uzi wako!
Huyu si ndo yule alienda lindi kutafuta part time ya kufundisha..? Dunia inamambo
 
Natamani siku moja waalimu wasiwe wanawafuatilia watoto,, yaani wawaache tu hata wakifanya makosa

Wasi improvise kama kuna shortage ya waalimu,,, watumie dk 120 kwa wiki kufundisha kama muongozo wao unavyowataka

Wasitumie energy kubwa kufundisha,,

Wakae muda standard wa serikali kazini from saa 2-9

Wasichukue nafasi ya mzazi au mlezi,,(mind their own busines)

Wafundishe kwa pace ya syllabus zao

Wagome kufundisha kwenye mazingira hayo mabovu ya kazi waliyonayo

Wafanye hvo kwa miaka 3 mfululizo Nione nn kitatokea[emoji848][emoji848]
Hatutamani kufika huko
 
Walimu naomba mpuuzeni huyu Mpwayungu kwani tokea alete mada ya dada yake kushikwa matiti na kuchezewa sehemu za siri na wahindi niliona kabisa hayupo sawa kichwani.

Binafsi nawapenda na kuwaheshimu walimu wangu kwani wamefanya kazi kubwa mpk mimi kuwa hapa muda mwingine wangekuwa kama wazazi kwangu..
Mungu akubariki ndugu
 
Hapo asilimia mia wataheshimika, shida yao wamejigeuza watumwa sijui wamefungwa na nguvu za giza, yani unakuta mwisho wa vipindi ni saa nane mchana yeye anaforce mje jioni hata saa kumi ili awafundishe zaidi ya hapo anafanya tofauti na maagizo ya wizara, ndio maana ndalichako alikemeaga hili alisema walim likizo acheni wanafunzi waende nyumbani maana mnafundisha non stop shida nini?, bado ummy mwalimu alikemea hili ila wao kila siku na chaki mkononi. Nadhani hawana kazi za ziada ndio maana wanaona bora wafundishe hata Bure tu kwasababu hawana overtime hawa watu.
Mungu awabariki sana walimu wangu walionifundisha,

Mkandawire,

Sedrick magasi

Mwalimu mlay

Kuna mzee mmoja alikua mtaalamu wa physics alifundisha tosamaganga dah nimemsahau jina

Sasa wewe mshenzi mmoja unawadharau walimu we ni mwehu mmoja
 
Mbona kuna watanzania wengi tuu huko

Nenda shule kama st Constantine, international school Moshi watanzania wengi wanafundisha pale na mishahara ni minono
Acha kukimbilia private mbona hujagusa walimu wa kata, hutaki kuwataja wa serikali kwa kuwa ukweli uko wazi maisha yao yakifukara naukata wakupindukia
 
Back
Top Bottom