Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Asilimia kubwa lNi walimu wote wapo hivyo ,au baadhi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia kubwa lNi walimu wote wapo hivyo ,au baadhi tu
labda mkuu umezungumza kwa niaba yangu nilishindwa afya baada ya kukosa mkopo ilibidi nigeukie education,niliongoza matokeo darasani kwangu na waliopata division one mpaka three walisoma afya vizuri,nashangaa huyu hopeless wa jf anaongea niniUnaona huko sawa lakini mtafute mtaalamu Wa afya ya akili. Unaongelea walimu wa miaka gani? Nimesoma ualimu na division 2 PCB, nimeenda chuo nimekuta division one PCB na two za kutosha. Hebu tuone matokeo yako ya form six na hiyo HKL yako unadhani walishindwa kusoma hiyo HKL yako unayotupigia nayo kelele humu?
Walimu wengi wanajitambua wengi wamefungua miradi, wanafanya shughuli za kimaendeleo sasa sijui wewe unacho kipi cha kuwazidi hao walimu.
NOTE
Watu wengi wanasoma ualimu kwa sababu ya unafuu wa ada kupunguza mzigo nyumbani unadhani watu hawataki kwenda kcmc? Au kairuki? Au IMTU? au Bugando? Hata hawa ngazi ya chini unadhani wanashindwa kwenda vyuo vya afya? Shida ni umaskini wanakimbilia palipo nafuu.
ni sawa,but percentage kubwa ni Education ndo uhakika by 100%.Mbona wanapewa mikopo mpaka wanaosoma human resources mkuu, hakuna course siku hizi zisizopewa mkopo unless uwe umetoka school of tanganyika
Hivi mfanyakazi anayeheshimika anakuwa na Nini cha ziada , mimi ni mwalimu nijue mapema, sababu Nina rafiki zangu niliosoma nao sheria na wengine tuliosoma nao o level na a level wananipiga mizinga mingi tu na nimewakomboa kupitia hi kazi ya ualimuAsilimia kubwa l
hopeless kabisaHuyu anaugua akili achana nae... ajabu ni kwamba kauliza sababu pale juu halafu huku chini akazitiririka vya kutosha sasa sijui swali lile la nini
Unaropoka Sana alafu hakuna fact watumishi wa serikali mishahara asilimia 80 huwa inafanana kulingna na level ya elimu tofauti km inakuwepo sio kubwa lkn shida yako wivu ndo unaokusumbua...Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.
Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.
Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.
Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.
Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,
Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaidi vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.
Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Anaongea asichokijua sababu ya chuki zake binafsi, sasahivi walimu wanajitambua sehemu nyingi nilizopita wengi ndio wana miradi, wamefungua maduka makubwa, nilikua na mwl rafiki yangu anamiliki bodaboda 4 kawapa vijana. Nina rafiki zangu wamesoma afya na ufaulu Wa kawaida tulabda mkuu umezungumza kwa niaba yangu nilishindwa afya baada ya kukosa mkopo ilibidi nigeukie education,niliongoza matokeo darasani kwangu na waliopata division one mpaka three walisoma afya vizuri,nashangaa huyu hopeless wa jf anaongea nini
Cheki mmiliki wa shule ya kemebos na kaiziregeNgoja nimcheki tupate kujifunza
Kwa hii comment hapa nmeona haina haja kuendelea kusoma zingine, wewe ni mjinga.[emoji107][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nguo tu wanazovaa halafu mara nyingi majumbani kwao wanakula ugali maharage, ubwabwa mpaka siku ya mshahara anatoka na Mchele mjini
Yaan unavyowacheka walimu...mpaka sijapendaNguo zao zote nizile zenye marinda, Mala nyingi ni suruali za fundi cherehani wa kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawanunui suruali Dukani, wananunua kitambaa wanapeleka tailoring
Ninakukumbusha ili usidharau kazi za wenzio isitoshe ndio zinawaweka mjini.....na wapo wanaozitamani hizo kaziHayo yalishapita mkuu unakumbusha ili iweje
Weka ushahidi wa Chet hatuwezi kuamini maneno matupulabda mkuu umezungumza kwa niaba yangu nilishindwa afya baada ya kukosa mkopo ilibidi nigeukie education,niliongoza matokeo darasani kwangu na waliopata division one mpaka three walisoma afya vizuri,nashangaa huyu hopeless wa jf anaongea nini
Alafu najivunia mno hta nisiposhukuriwa na watu mapopoma km wew wapo wanaojua mchango tunaoutoa watashukuru inatosha tunaomba uongeze Uzi mwingine wa umalize kusema uliyosahauSophy naww ni mwalimu [emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe ndoumeropoka, kama shule ni nyingi mbona walimu tunao wengi hawaajiriwi unataka kuniambia mtu anaenda kusoma ualimu baada ya kujua shule zipo nyingi kijijini??, teacher education is the only way to go when someone fails to qualify another program, MD wanataka one, engineering wanataka uwe umefaulu na umesoma PCM nk, sheria bila kuwa na one iliyonyooka huendi, ila ualimu mpaka four ya mwishoni unaendaUnaropoka Sana alafu hakuna fact watumishi wa serikali mishahara asilimia 80 huwa inafanana kulingna na level ya elimu tofauti km inakuwepo sio kubwa lkn shida yako wivu ndo unaokusumbua...
Na ni wengi sabbu ya uwingi pia wa vituo vya kutoa huduma kilakijiji now kunashule sehemu zingine zaidi ya shule moja kwann walimu waonekane sio wengi tofauti na kada zingine
Jaribu kutumia busara unapoamua kuzungumzia maisha ya watu..na
Hapo nimekuelewa tatizo ni wabishi hawa watu, ebu nenda kidimbwi mwezi mzima mfululizo kama Kuna mwalimu ana jeuri ya kununua hata savannaUkweli walimu wengi ni maskini ila ualimu sio umaskini [emoji1662]
Unasema Sasa hivi walimu wanajitambua, je ni kipindi kipi walimu walikuwaga hawajitambui?Anaongea asichokijua sababu ya chuki zake binafsi, sasahivi walimu wanajitambua sehemu nyingi nilizopita wengi ndio wana miradi, wamefungua maduka makubwa, nilikua na mwl rafiki yangu anamiliki bodaboda 4 kawapa vijana. Nina rafiki zangu wamesoma afya na ufaulu Wa kawaida tu
SubutuKwani wewe sio mwalimu?