Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Namna hii ndo ulikuwa unasaidia,Nilikuwa nasaidia watoto wa marafiki zangu
Ndo maana nikakuuliza kama kwenye PDF umo [emoji23]
Acha utoto mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna hii ndo ulikuwa unasaidia,Nilikuwa nasaidia watoto wa marafiki zangu
Dadeki .....Mimi level niliyopo sio ya kuomba viajira uchwara hivyo
Anayedharau walimu, alikuwa anahangaika sana kuomba kazi hiyo anayodharau.
Sijui huwa mnafaidika nini yaani, nawaza nakosa jibuView attachment 2273387View attachment 2273389View attachment 2273390View attachment 2273391View attachment 2273392
Hii ndo jf mkuuAiseee [emoji28][emoji119] aya mambo aya. [emoji119]
Nimekwambia nilikuwa nawasaidia wadogo zangu kuapply ivi huelewi mkuuu??
Usidhani kila mtu humu ndani ni MTOTONimekwambia nilikuwa nawasaidia wadogo zangu kuapply ivi huelewi mkuuu??
Kejel na dharau kama hiz hawez fanya mtu aliyestaarabika.Hata kwa utani yan huwez zungumza kitu kama hiki.Ukiona mwalimu kashika chupa ya maji ujue katoka kwenye harusi au semina,kwa mshahara upi anunue maji.
Ni hawa watoto wa kuja brother wana shida sana.Hata maisha nadhan hawayajuibinafsi naishi dsm sijaona waalimu wakidharauliwa.
Unaweza ukawa kubwa jinga vilevileNi hawa watoto wa kuja brother wana shida sana.Hata maisha nadhan hawayajui
Ni Mwalimu wa shule ya msingi huku Kwediboma mkuu. Nafundisha darasa la pili B.
Watu wanaokula keki ya nchi ni kakikundi kadogo tu wengine wote wanajifariji tu,hata mwandishi naye ana Hali ngumu anajifariji tuThough mi sio mwl ila mwandishi una chuki binafsi kama sio mtindio wa ubongo kwa taarifa yako wafanyakazi walio chini ya halmashauri mishhara yao inafanana nashangaa una point walimu pekee ...
Tutafute chuo kimoja chenye kozi tofauti tofauti kuanzia vyuo vya kati mpaka chuo kikuu tuangalie admission requirements,tuone tofauti zake.Elimu yao yakawaida sana ukilinganisha na kozi zote zilizobaki
Ukiwa na D nne tu form four unakuwa na sifa ya kusoma kozi Nyingi tu Kwa ngazi ya Diploma 3 years,ila ualimu bila division three mpaka one huendi.Sasa hapo wapi wanachukuliwa wenye ufaulu wa chini?hao unaosema div one ni walimu wengi ngazi ya degree hawa hatuwasemi sana na wanaheshimika vizuri tu cuz most hizo course wengi hupangwa tu na TCU
Diploma to cerrificates most ni wale kuamzia division 3-4 ila mimi kama mimi siwazungumzii vibaya yeyote katika haya makundi
Usiniquote tena bhana mi sitaki kubishana [emoji21][emoji21]
ni zamani ndo huo utaratibu ulikuepoUkiwa na D nne tu form four unakuwa na sifa ya kusoma kozi Nyingi tu Kwa ngazi ya Diploma 3 years,ila ualimu bila division three mpaka one huendi.Sasa hapo wapi wanachukuliwa wenye ufaulu wa chini?
Sasa hapa tujadili Kwa mazingira ya zamani au sasa?ni zamani ndo huo utaratibu ulikuepo
siku hizi naona wameutoa
any ila uje na strong factsSasa hapa tujadili Kwa mazingira ya zamani au sasa?