GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wanaume wenzangu JF katika hili wala tusibishe ukweli ni kwamba huwa tunaumia na hata kutamani Ardhi ipasuke!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nikiachana na Mademu zangu kwa nilivyo na Wivu mbaya wa Kizanaki na Kiyao huwa hata sitaki kuwajua Wanaowabandua badala yangu. Kuna Mmoja nakumbuka nilienda mahala fulani na sikujua kama nae alikuwa pale na Msela wake na nilipomuona tu na Jamaa alivyokuwa kamshika Kimahaba nilitamani hata mlango wa kutokea pale mahala ungekua upo Kiganjani kwangu ili nipotee tu kwani niliumia huku Wivu nao ukinizidi na Kichwani mwangu nikiwaza kuwa Jamaa nae 'anafinyiwa' kwa ndani kama ilivyokuwa Kwangu na kupewa vinginevyo.Tunamuonea huruma mwanaume mwenzetu kafika sehemu ulipopaharibu bila kujua ase inauma sana
Mbususu zinatkuua wewe....Mimi nikiachana na Mademu zangu kwa nilivyo na Wivu mbaya wa Kizanaki na Kiyao huwa hata sitaki kuwajua Wanaobandua. Kuna Mmoja nakumbuka nilienda mahala fulani na sikujua kama nae alikuwa pale na Msela wake na nilipomuona tu na Jamaa alivyokuwa kamshika Kimahaba nilitamani hata mlango wa kutokea pale mahala ungekua upo Kiganjani kwangu ili nipotee tu kwani niliumia huku Wivu nao ukinizidi na Kichwani mwangu nikiwaza kuwa Jamaa nae 'anafinyiwa' kwa ndani kama ilivyokuwa Kwangu na kupewa vinginevyo.
Hii labda wewe, sidhani kama wanaume wote tuko hivyo. Binafsi siko hivyo, nikisha amua kuachana na mwanamke kwanza tuna achana kirafiki, na hata tukikutana hatuna ugomvi zaidi ya kuombeana mema. Wanaofanya hivi mara nyingi wanakuwa hawajakomaa, utoto mwingi au waliachana kwa ugomvi wakati mmoja bado ana mtaka mwenzie.Wanaume wenzangu JF katika hili wala tusibishe ukweli ni kwamba huwa tunaumia na hata kutamani Ardhi ipasuke!!!
Binadamu mnajua kutafuta maumivu yasiyo na mbele wala nyuma kama mche wa sabuniHata sisi tunaumia tukiwakuta na pisi zingine
Binadamu mnajua kutafuta maumivu yasiyo na mbele wala nyuma kama mche wa sabuni
Ah weee hamnaga mjanja kwenye hii sector 🤣🤣🤣🤣Unajikutaga mgumu wewe wakati ukute ni mchumba tu 😂
Ah weee hamnaga mjanja kwenye hii sector 🤣🤣🤣🤣
Sema wivu uwe wa kiasi sio wa huyo myoa mada. Utaishia jela
Sio unavyompenda sema uzuri wa uno weweWivu unategemea na ulivyokuwa umependa
Me ndio nimeshangaa, katika kitu hakiniumiz akili ni mapenz, yan ukipita kulia napita kushoto alafu sina habari kama hakuna kilichotokea. Maisha yana vitu vingi vya kufanya na viko na fun kuliko hata hayo mapenz yenyewe…Mbona kama unaweka wingi kwenye umoja ? 😂😂
Uko sahihi huyo ndiyo aina ya wale Wanaume ambao wakiwa Kijiweni wanatamba kuwaweka Wake zao Viganjani ila Siku ukimbahatisha Kwake unamkuta ama anakuna Nazi au anaosha Vyombo au anafua Nguo za Ndani za Mkewe.Unajikutaga mgumu wewe wakati ukute ni mchumba tu 😂
Uko sahihi huyo ndiyo aina ya wale Wanaume ambao wakiwa Kijiweni wanatamba kuwaweka Wake zao Viganjani ila Siku ukimbahatisha Kwake unamkuta ama anakuna Nazi au anaosha Vyombo au anafua Nguo za Ndani za Mkewe.Unajikutaga mgumu wewe wakati ukute ni mchumba tu 😂