Ni kwanini Wanaume wengi tukishaachana na Wapenzi wetu na tukikutana nao wakiwa na Masela wengine huwa tunaumia Mioyo tofauti na Wao wakiachana nasi?

Ni kwanini Wanaume wengi tukishaachana na Wapenzi wetu na tukikutana nao wakiwa na Masela wengine huwa tunaumia Mioyo tofauti na Wao wakiachana nasi?

Mie binafsi nishaacha kama 20 hivi so huwa siumii, yani nishakuwa sugu, hata awe mzuri vp hainipagi tabu manake najua wapo wazuri zaidi. Halafu usije na swaga hapa eti kama mlipendana lazima utaumia, jombaa hakuna demu atakupenda kama huna mbinu za kupambana na maisha. Ukiona kakupendea six pack na huna hela tia tiki tu kuwa tupo sponsors wenye 1 pack.
 
Nisha achwa tiyali
FB_IMG_1721041786917.jpg
 
vijana mna tabia za kimama sana
sasa mtu mmeshaachana unaumia nini?
mwanaume unasonga mbele kama injili
 
Kama unapata wivu kwa mwanamke uliyemuacha basi bado una akili za kitoto na huamini kama unaweza kupata walio bora kuzidi yeye. Bado una safari ndefu ya maumivu
 
Back
Top Bottom