GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Thanks for nailing it to that hopeless.Wivu unategemea na ulivyokuwa umependa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks for nailing it to that hopeless.Wivu unategemea na ulivyokuwa umependa
Hawa ndo wale akipiga simu ya mpenzi usiku ikawa inatumika wanakimbilia kujitundikaUko sahihi huyo ndiyo aina ya wale Wanaume ambao wakiwa Kijiweni wanatamba kuwaweka Wake zao Viganjani ila Siku ukimbahatisha Kwake unamkuta ama anakuna Nazi au anaosha Vyombo au anafua Nguo za Ndani za Mkewe.
AàaaahaaTunamuonea huruma mwanaume mwenzetu kafika sehemu ulipopaharibu bila kujua ase inauma sana
Shikamoo Mkuu kwa hii Post kwani umemaliza kila Kitu hapa.Njia ya pekee ya kutoumia ni kutafuta vibunda tu mkikutana tena akakukute una mawe na upo level nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nisha achwa tiyaliView attachment 3043258
We mzamiaji wa nchi za watu! Nitumie kwa Mbususu nilioichakata?? Ni sawa Sawa nitumie gari nilichoke alafu nipishane na mtu analiendesha naumiaje sasaWanaume wenzangu JF katika hili wala tusibishe ukweli ni kwamba huwa tunaumia na hata kutamani Ardhi ipasuke!!!