The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Maisha yafaa nini bila pombe....!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LaivuMkuu kwel wewe ni mla bata hakika , kuna code za kilevi umezifungua apa.
Tangu nimekujua hapa jf, kwa mara ya kwanza ndio naona comment yako ya maanaWasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Huo ni ulevi wa wanywa gongo wa vilabuni.Nasikia wanawapenda sababu wakishalewa hawatembei vizuri ni mwendo wa kuyumba hivyo ni rahisi kutumbukia mtaroni huko akapambane na matope wakati huo pombe zimekaa kichwani akija kushtuka katakaa matope nguo hazitamaniki
Mfyuuu 🤣🤣🤣pata moya moto moya baridi utalipia
Tatizo la majamaa walokole hawako romantic na kimsingi mabadboys wanatindua sana walokole , ndio mana julia aliimba hivi kwenye nyinbo yake ya heavenMwanaume mlevi anaendana na mwanamke mlevi.
sasa tafiti umeifanya ulevini sehemu ambayo ni ya walevi.
Ndege wanaofanan huruka pamoja
Urafiki wa maana ni urafiki upi ?Wanaume walevi wanapendwa na wanawake walevi
Hivyo hivyo rafiki mlevi anakuaga na rafiki mlevi, mtu ambae siyo mlevi ni ngumu sana kuwa na rafiki mlevi labda wawe na mazoea tu kupiga stori na kucheka na siyo urafiki wa maana
Bhaelezee bha eleweWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
UnasemaKweli.
Kuna siku niligonga vant,malaya akang'ang'ania buku nane yangu,nilimtuuuoomba,sikukojoa demu akakimbia kaunta..kesho yake stori mtaa mzima...Ushawahi kun'guta pussy baada ya kupiga bapa Mkuu?Yaani utakun'guta mpaka itoe Moshi,sisi wa 3min tunaenda Hadi 15 za Maangamizi na mademu wanapenda moto mwendo mpepe u know.
We paka mwenyewe anakula monde😁
Hata hii haina maana yoyote ni vile imeendana na wewe wa hovyo hovyo mleviTangu nimekujua hapa jf, kwa mara ya kwanza ndio naona comment yako ya maana
Unamfundisha tabia mbaya MUNGU hapendi!!!Wanaume wengi wanaokunywa pombe huwa wanakunjua moyo, wana ujasiri na wanaweza kuongea chochote kilichopo akilini. Na wanawake wanapenda hivyo vitu. Sasa we endelea kunywa fanta
Invinyo veritasUliwahi kuona mnywa bia hana akili?