Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Nasikia wanawapenda sababu wakishalewa hawatembei vizuri ni mwendo wa kuyumba hivyo ni rahisi kutumbukia mtaroni huko akapambane na matope wakati huo pombe zimekaa kichwani akija kushtuka katakaa matope nguo hazitamaniki
Huo ni ulevi wa wanywa gongo wa vilabuni.
 
Mwanaume mlevi anaendana na mwanamke mlevi.
sasa tafiti umeifanya ulevini sehemu ambayo ni ya walevi.
Ndege wanaofanan huruka pamoja
Tatizo la majamaa walokole hawako romantic na kimsingi mabadboys wanatindua sana walokole , ndio mana julia aliimba hivi kwenye nyinbo yake ya heaven
“They say, "All good boys go to heaven"
But bad boys bring heaven to you”..na for the same reason ndio mana wanaume wengi malaya ni rahis kuwavutia wanawake kuliko wanaume watulivu. Ni sayansi ya mapenzi na ni ukweli mchungu lakin sasa tutafanyaje hakuna namna…
 
Wanaume walevi wanapendwa na wanawake walevi

Hivyo hivyo rafiki mlevi anakuaga na rafiki mlevi, mtu ambae siyo mlevi ni ngumu sana kuwa na rafiki mlevi labda wawe na mazoea tu kupiga stori na kucheka na siyo urafiki wa maana
Urafiki wa maana ni urafiki upi ?
 
Unasema
IMG_20230828_174708.jpg
 
Ushawahi kun'guta pussy baada ya kupiga bapa Mkuu?Yaani utakun'guta mpaka itoe Moshi,sisi wa 3min tunaenda Hadi 15 za Maangamizi na mademu wanapenda moto mwendo mpepe u know.
 
Ushawahi kun'guta pussy baada ya kupiga bapa Mkuu?Yaani utakun'guta mpaka itoe Moshi,sisi wa 3min tunaenda Hadi 15 za Maangamizi na mademu wanapenda moto mwendo mpepe u know.
Kuna siku niligonga vant,malaya akang'ang'ania buku nane yangu,nilimtuuuoomba,sikukojoa demu akakimbia kaunta..kesho yake stori mtaa mzima...
 
Hatupendw ila walev sio bahari na wala sio maskin
 
Wanaume wengi wanaokunywa pombe huwa wanakunjua moyo, wana ujasiri na wanaweza kuongea chochote kilichopo akilini. Na wanawake wanapenda hivyo vitu. Sasa we endelea kunywa fanta
Unamfundisha tabia mbaya MUNGU hapendi!!!
 
Wasiokunywa mitungi wajuaji sana halaf wakitongoza mwanamke lazima walete sound za kuoa, wakat walevi hawana hizo..
 
Ulevi ulevi tu,unywe gongo,komoni,Bia au wiski.........wote sawa,kama mwanamke anakupenda kwasababu ya ulevi basi nayeye ni mlevi........ila Pombe haina adabu kabisa 😀
 
Back
Top Bottom