Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] hatari sana hioWengi kule chini wachafu,kuna uvundo kwani hewa haipiti kurahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] hatari sana hioWengi kule chini wachafu,kuna uvundo kwani hewa haipiti kurahisi
Kubali kataa mizigo mikubwa kwa afrika ndio kipimo cha urembo na uzuri..Acha ku overate ujinga huu. Sweetiness ya mdada haiko kabisa kwenye Tako. India wazee wa maravidav kwao wowowo ni disqualification ya ulimbwende. Kwao girl mwenye beautiful face and lovely smile packaged in avarage height kama wachaga ndo qualification namba Moja ya uzuri.
Dhana ya matako makubwa ni. ya vijana wa ovyo wacheza porn Marekani. Utamaduni wao umeenea Kwa Kasi sana kwa vijana wanaoshinda wanakunywa K-Vant, sigara, na kucheza betting.
Huwezi enda sehemu descent and classic as in royal houses ukutane na mizigo ya ovyo ovyo on back side. In case it happens always inakuwa handled kwa staha sana.
Depal pisi mpya sioExtrovert DeepPond mzabzab naomba mkuje huku! Bila kukusahau raraa reree pisi mpya ya JF kwa mwaka huu ni Depal
Haaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ee na ukikuta wadada wawili wanagombana ujue yule ambae Hana wowowo ndo mkorofi
Nimecheka kama chizi hio komenti!Haaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halina shape yakuelewekaSasa mbona biringanya ni nene? [emoji1787][emoji1787]
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Vibonge ukiwakumbatia kama umakumbatia trekta au mmbuyu mikono haikutan
Hakuna kitu nikitangulia hujui naenda wala nakuja [emoji3][emoji3][emoji3]Vizuri kumbe! wa saizi ya kati ni hatareeee.... ukute na kishundu fulani hivi uwiiiii [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]!
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] yaani nimecheka kwa sauti japo sio vizuri
Yaani vitu vingine vinachekesha kweli halafu hayo maumbo tunayo wenyewe [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Nimecheka kama chizi hio komenti!
Hatariiii Sana[emoji14][emoji14][emoji14][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Achen kula ovyoSo sad mkuu!!! Inasikitisha sana eti!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndiyo vizuri atii!Hatariiii Sana
Kitumbua kimefichwa utafikir bangi
Wakati mwingine sio kula ni mwili tu, hujawahi ona kimbaumbau wanavyokula unaweza kuzani anapaki bus kwa matumizi ya baadaye mmmm kumbe anakula mwenyewe, lakini chembamba hatariAchen kula ovyo
Ndiyo chanzo cha kuwa mmbuyu