Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Mtani niko ukwamani nimekuletea sabuni ya jamaa kutoka kenya na mtama mwekundu kutoka shirati
 
Nilisimamia kazi maeneo ya ofsi zao sasa mlinzi wao akaja naye kucheki kuchunguliachungulia eneo la kazi tulikaa naye zaidi ya masaa mawili nikasema hii sura naikariri nikionana naye mtaani tujuane chakushangaza nilipotoka pale na sura yake ikapotea hata nikikutana naye siwezi kumjua.
Duh kwa hiyo ukaona maajabu

Ova
 
Kama Si mhalifu hutowahofu watu hao.

Wapo Kwa maslah mapana ya nchi yetu nzuri TANZANIA.
 
Back
Top Bottom