Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Nilishawahi Kukosa kazi baada ya majaribio kisa kuhisiwa huu upumbavu.

Wakati Mimi mwenyewe nimejichokea kutoka mtaani.
Kisa kuwa mtu wa kupiga kimya na maneno machache.
Zamani kidogo hata mimi niliwahi kufukuzwa kazi kwa kuhisiwa ni mpelelezi.

Jamaa kanikomalia kabisaa, eti nimetumwa kumpeleleza!! At the time ndo nimetoka chuo niko na hustles vibaya!

Kuna watu ni wapuuzi tu!! Wakikuona uko na mishe zako wanakuita FREEMASON.

Sijui ni ujinga au waliaminishwa kwamba mpelelezi yuko hivi na vile!
 
Kuna siku nilichangia uzi fulani dakika 10 mbele kuna jamaa alinifuata PM akaanza vitisho eti yeye ni Tiss wananifuatilia na blah blah nyingi

Nikamwambia Mkuu kwanza acha ujinga pili nipo verified usihangaike sana, tatu mishe zangu nafanya sehemu fulani na kesho nitakuwa hapo hapo karibuni.

jamaa akaishia kuntukana na sera zake za chama
Huyo sio afisa usalama! Ni tapeli na mjinga aliyekubuhu... yaani MPUMBAVU! tu anayetafuta kuogopeka na kupewa attention kama huyu CHIZI mleta mada...

Wale jamaa katu huwezi kuwajua na hawajisemi na wala huwezi kuhisi. Wakikutia mikononi ndo utaenda kuwajulia kule kwao wanakowapelekaga watu wao ambao wanawahitaji wao kwa muda fulani na kwa sababu fulani.

Ukishafikia ngazi fulani aidha ya kujulikana na taifa ndo utakuwa wazi ila huonekani kiurahisi.
 
Zamani kidogo hata mimi niliwahi kufukuzwa kazi kwa kuhisiwa ni mpelelezi.

Jamaa kanikomalia kabisaa, eti nimetumwa kumpeleleza!! At the time ndo nimetoka chuo niko na hustles vibaya!

Kuna watu ni wapuuzi tu!! Wakikuona uko na mishe zako wanakuita FREEMASON.

Sijui ni ujinga au waliaminishwa kwamba mpelelezi yuko hivi na vile!
Sioni ufahari wowote wa mtu kufananishwa na maafisa vipenyo wakati Wana watakuwa wanakukwepa na Dili hawakupi.

Aliniharibia ramani mbwa yule na hisia zake za mchongo
 
Kuna watu huku mitaan ni washamba WA mambo aisee

Kuna mdau alikuwa anahisiwa usalama WA taifa wakati maisha yake ni unga unga tu ila kwa kuwa watu hawamjui anafanya kazi gani

Basi wakajipa mamlaka kuwa jamaa sio mtu WA mchezo mchezo

Basi akini hadithia nabaki kucheka mno

Tunaishi na jamaa ambayo unaweza kusingiziwa chochote.
Watu kama hao ni wengi sana mitaani. Ukweli ni kwamba hao ni njaa tu na raia wamekuwa na mawazo marahisi sana ya kuona mambo makubwa yanaweza kuwa rahisirahisi kama wanavyodhani kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri. Kwanza Usalama wa taifa huwezi kumhisi wala kumjua. Na hawana njaa za namna hiyo 😊
 
Nilishawahi Kukosa kazi baada ya majaribio kisa kuhisiwa huu upumbavu.

Wakati Mimi mwenyewe nimejichokea kutoka mtaani.
Kisa kuwa mtu wa kupiga kimya na maneno machache.
Siku hizi ukiwa mpole na una-deal tu na mambo yako, alafu ukichangia mada au ukiombwa ushauri unamwaga Points tupu mpaka watu wanabaki midomo wazi basi tegemea kuhisiwa wewe ni Afisa usalama wa taifa kitaa... hii inatesa vijana wengi wanaojitambua na wale wakimya.
 
Huyo sio afisa usalama! Ni tapeli na mjinga aliyekubuhu... yaani MPUMBAVU! tu anayetafuta kuogopeka na kupewa attention kama huyu CHIZI mleta mada...

Wale jamaa katu huwezi kuwajua na hawajisemi na wala huwezi kuhisi. Wakikutia mikononi ndo utaenda kuwajulia kule kwao wanakowapelekaga watu wao ambao wanawahitaji wao kwa muda fulani na kwa sababu fulani.

Ukishafikia ngazi fulani aidha ya kujulikana na taifa ndo utakuwa wazi ila huonekani kiurahisi.
Baadhi ya vijana wana ujinga mwingi sana
 
Back
Top Bottom