Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Ni kwanini Watu Wengine katika Jamii ni wa Kawaida tu, ila huhisiwa kuwa ni kutoka TISS au JWTZ?

Kuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.
Kwamba ukiwa Usalama unaweza kuwa na namba zote na Kufanya kila kitu
 
Kuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.
Ukionana nae tena muulize je, hana Namba yangu GENTAMYCINE anayesomwa mno na Rais Samia na Kucheka hapa JamiiForums?
 
Wanakaa kitahadhari sana na mfano kwenye mabasi haya ya masafa marefu hutoka from no where na kusema kila mtu aoneshe kitambulisho

Ilishanitokea once hii incidence
Kwanini huamuru watu waoneshe vitambulisho?! 🤔
 
Kwamba ukiwa Usalama unaweza kuwa na namba zote na Kufanya kila kitu
Yaani connection yake ni kubwa sana ndio maana nimesema tunahisi kama ni usalama sijasema yeye ni usalama.
 
Kuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.
ukishaanza kuhisi tu basi ujue ushafeli😊

TISS hata kumhisi huwezi.
 
Back
Top Bottom