Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ushamba wa kutokujua mgawanyo wa kazi (division of labour); kuna walimu, madaktari, wahasibu, wastawi wa jamii, askari, wanasheria, rubani n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ukiwa Usalama unaweza kuwa na namba zote na Kufanya kila kituKuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.
Mangwena ndiyo nini mkuu?Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu mkiwa ni Wataalam, Wabobezi na Mangwena.
Asanteni.
Unamuita Bujibuji Simba Nyamaume Fala na ni Demu? Ngoja aje nadhani utajuta Kumfahamu.bujibuji si alijifanya wakike na kujiita Giles? sasa huyu sifala tuu..
kwelihumu Hamna kazi zakufanya zaidi ya kachunguzana.
njoo naeUnamuita Bujibuji Simba Nyamaume Fala? Ngoja aje nadhani utajuta Kumfahamu.
On Point !!!!Kwasababu "they mind their own businesses"
Ukionana nae tena muulize je, hana Namba yangu GENTAMYCINE anayesomwa mno na Rais Samia na Kucheka hapa JamiiForums?Kuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.
Ngwena ni Jabali na Mangwena ni Majabali.Mangwena ndiyo nini mkuu?
Hutuogopi?njoo nae
njoo nahuyo Giles mkuu mbona Mambo mengi?Hutuogopi?
Tunakuja in full swing Mkuu jiandae.njoo nahuyo Giles mkuu mbona Mambo mengi?
nitamshika Sana manyonyo gles bujiTunakuja in full swing Mkuu jiandae.
HAHAHA!Weka tako chini.
TISS mjinga mjinga namna hiyo?! 🤣🤣🤣🤣🙌🏾We mwenyewe unahisiwa ni tiss
Kwanini huamuru watu waoneshe vitambulisho?! 🤔Wanakaa kitahadhari sana na mfano kwenye mabasi haya ya masafa marefu hutoka from no where na kusema kila mtu aoneshe kitambulisho
Ilishanitokea once hii incidence
Yaani connection yake ni kubwa sana ndio maana nimesema tunahisi kama ni usalama sijasema yeye ni usalama.Kwamba ukiwa Usalama unaweza kuwa na namba zote na Kufanya kila kitu
Si kweli na si wote! Siku hizi hata wajingawajinga mtaani huvaa hizo kaunda. Vijana wa Sinza na kinondoni wamejiajiri kushona hizo suti na kuwauzia vijana wahuni ili watingishe wajinga wenzao mtaaniHahaha mkuu watu wa mfumo huwa wanavaa zile suti kama za Musiba ze kichwa maji.
Hawezi kosa yule jamaa kwanza safari kwake haziishi.Ukionana nae tena muulize je, hana Namba yangu GENTAMYCINE anayesomwa mno na Rais Samia na Kucheka hapa JamiiForums?
UMEMALIZA YOTE! BIG-UP KAKA! 👊🏾👍🏾🙌🏾Ujinga, illusions, status, ulimbukeni, upumbavu na uchawa
ukishaanza kuhisi tu basi ujue ushafeli😊Kuna mjomba wangu mmoja anafanya kazi wizara fulani yaani yule jamaa sijui utake namba ya nani Tanzania asikupe ambayo hana labda za mama samia ukitaka namba ya ofisi ya mtu wowote yule namba personal chap anakupa unawasiliana nae mpaka home tunahisi jamaa ni usalama.