Nilisimamia kazi maeneo ya ofsi zao sasa mlinzi wao akaja naye kucheki kuchunguliachungulia eneo la kazi tulikaa naye zaidi ya masaa mawili nikasema hii sura naikariri nikionana naye mtaani tujuane chakushangaza nilipotoka pale na sura yake ikapotea hata nikikutana naye siwezi kumjua.