kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
- Thread starter
-
- #161
Nazungumzia kigamboni ndio, na huko kote ulipopataja ni wilaya ya kigamboniNilikuwa sijakuelewa. Kumbe unazungumzia maeneo kama Kimbiji,Buyuni,Pemba mnazi huko. Huko bado sana,kama uliruka huku mwanzo ukakimbilia huko hama tu hamiq Goba
Pole sana ilikua maeneo Gani?Pale ni balaa sana ila skuizi Kuna afadhali mie nakumbuka ilikuwa saa 11 asubuhi naenda zangu kariakoo nikiwa na begi langu nimebeba PC mkononi Nina simu kabla ya kumpigia simu boda boda akawa apokei simu nikaona sio kesi ngoja nitembee ile nafika njiani nikakabwa na jamaa kaniambia ukitikisika nakuuua nikawaambia sio kesi chukueni begi na PC na nilikuwa na elfu 50 mfukoni nikawaambia nayo chukueni wazee roho yangu niachieni wakanibakisha sina kitu haooo wakasepa na mapanga Yao walikuwa majamaa wawili walikuwa na silaha za mapanga wakakimbilia porini Toka siku ile nili Lia kama mtoto nilipotezea data zangu nyingi sana 😭😭😭😭😭
Hela za kujenga barabara zitapatikana, kwanini zisipatikane?Pashasuswa, hizo hela za kujenga barabara zinatoka wapi miaka yote Kuna sehemu mvua zikinyesha hapapitiki, ishu sio maduka na bar
MbutuPole sana ilikua maeneo Gani?
Pole sana kaka ndo ubaya wa kigamboni yetu huoPale ni balaa sana ila skuizi Kuna afadhali mie nakumbuka ilikuwa saa 11 asubuhi naenda zangu kariakoo nikiwa na begi langu nimebeba PC mkononi Nina simu kabla ya kumpigia simu boda boda akawa apokei simu nikaona sio kesi ngoja nitembee ile nafika njiani nikakabwa na jamaa kaniambia ukitikisika nakuuua nikawaambia sio kesi chukueni begi na PC na nilikuwa na elfu 50 mfukoni nikawaambia nayo chukueni wazee roho yangu niachieni wakanibakisha sina kitu haooo wakasepa na mapanga Yao walikuwa majamaa wawili walikuwa na silaha za mapanga wakakimbilia porini Toka siku ile nili Lia kama mtoto nilipotezea data zangu nyingi sana 😭😭😭😭😭
Huko chaka mzee, utasubiri sana. Huku Geza kurudi nyuma hadi feri unapaonaje?Nazungumzia kigamboni ndio, na huko kote ulipopataja ni wilaya ya kigamboni
wilaya isiyo barabara piawilaya pekee yenye Zoo
Wilaya pekee isiyo tegemea maji kutoka mkoani
Wilaya inayoongoza kuwa na maeneo yaliyo pangwa na kupimwa.
Wilaya yenye miradi mingi ya majengo ya makazi/apartments.
Wilaya yenye eneo kubwa la Viwanda
Wilaya yenye visiwa vingi vya utalii
Wilaya pekee isiyo kumbwa na adha ya mafuriko
Wilaya yenye Viwanja bei nafuu
Wilaya isiyo na foleni
Hilo analiacha ambako ndio muhimu kuliko hivyo anavyotajawilaya isiyo barabara pia
Sasa unaniambiaje ntasubiri sana? Usiseme huko ni chaka, sema kigamboni ni chaka, maana asilimia kubwa ni mapori, huko GEZA kurudi nyuma unazungumzia eneo Dogo lililojengekaHuko chaka mzee, utasubiri sana. Huku Geza kurudi nyuma hadi feri unapaonaje?
Shida ni mapori na barabara mbovu, majambazi wanapenda sehemu kama hizi kufanya matukioPole sana kaka ndo ubaya wa kigamboni yetu huo
Usilazimishe kama umeenda chaka ndio hivyo hamia Goba maanake utasubri sana hadi huku mwanzo kujae.Sasa unaniambiaje ntasubiri sana? Usiseme huko ni chaka, sema kigamboni ni chaka, maana asilimia kubwa ni mapori, huko GEZA kurudi nyuma unazungumzia eneo Dogo lililojengeka
Wewe hatuelewani, Bado hujajua nazungumzia niniUsilazimishe kama umeenda chaka ndio hivyo hamia Goba maanake utasubri sana hadi huku mwanzo kujae.
Dada amehamia kwake mwaka mpya ndio ilikua uzinduzi ""Cheka"" huko mbele mbele sanaa sababu ya umbali nilipata uvivu wa kwenda japo nilipewa mwaliko..Hapa jamaa katukosea sana inabidi atuombe radhi au anaona kwa sababu wilaya yetu Ina mapori mengi😂😁🤣
Sasa Cheka hapo mjini kabisa, nenda mbele huko ukajionee mapori Cheka hujaona mapori badoDada amehamia kwake mwaka mpya ndio ilikua uzinduzi ""Cheka"" huko mbele mbele sanaa sababu ya umbali nilipata uvivu wa kwenda japo nilipewa mwaliko..
Yaan kule ukiwa hauna usafir wako binafsi ni shida yaan..
Nilienda mwaka juzi mwishoni wakiwa wanachimba msingi Hadi Leo sijawai kwenda maana ni kilometers Mingi sanaa + Mapori
Ni uhakika sister angu na mumewe wanachoma mafuta mengi go & returns zao kigamboni to posta
Kupitia wilayani Kwa mbele nilifikaga mpaka Pemba mnazi huko..Sasa Cheka hapo mjini kabisa, nenda mbele huko ukajionee mapori Cheka hujaona mapori bado
Hii ni hatareView attachment 2924170
kutoka kibada Hadi kimbiji, kilometa zaidi ya 25, Hali ndio hii
Kama unafanyakazi posta, Cheka sio mbali na hakuna foleni,huchomi mafuta.Dada amehamia kwake mwaka mpya ndio ilikua uzinduzi ""Cheka"" huko mbele mbele sanaa sababu ya umbali nilipata uvivu wa kwenda japo nilipewa mwaliko..
Yaan kule ukiwa hauna usafir wako binafsi ni shida yaan..
Nilienda mwaka juzi mwishoni wakiwa wanachimba msingi Hadi Leo sijawai kwenda maana ni kilometers Mingi sanaa + Mapori
Ni uhakika sister angu na mumewe wanachoma mafuta mengi go & returns zao kigamboni to posta
Yaan Cheka unaenda mbele 15kms ndio unafika wanapo Kaa..Kama unafanyakazi posta, Cheka sio mbali na hakuna foleni,huchomi mafuta.
Hakuna kitu kinanichekesha kama mtu akisema ni mbali na Magufuli bus stand! Mbona hamsemi Bunju ni mbali na airport? Na nani kawaambia kila mtu ana shida na Magufuli bus stand? BTW mabasi siku hizi yanafika Kigamboni. Mengi tu.Kigamboni imekaa kushoto na Airport, maji ya Bomba maeneo mengi hakuna, mvua zikinyesha njia zahuko hazipitiki, ni mbali kwenda Magufuli Mbezi, pia usafiri wakwenda mjini ni majanga tupu Kuna Mda ferries Huwa Zina haribika na haziendi Kwa mpangilio ikifika kuanzia saa6 za usiku usafiri wahuko ni tabu tupu, kiufupi kigamboni pamejitenga watu wanapakwepa