Ni kwasababu alikuwa na Akili sana, siyo Mnafiki, Msomaji mzuri, hakuogopa Kukosolewa, alijiamini na hakuwa Muongo kama wengine

Bunge lingekuwa live ulikuwa na TV kwenu wewe ?
 
Mama mpaka Sasa yan negative, aka hasi
-10%
Hapana kuna maeneo kaanza vyema ila anachokosea tu na Kunikera zaidi ni Kumsikiliza Mharibifu wa Taifa hili la Tanzania hasa Kimaadili na Kiutendaji badala ya kukaa nae mbali tena Kumuepuka kabisa.
 
Naona unalazimisha Kombora Kubwa la Intercontinental Ballistic Missile ( IBM ) Kukushambulia na Kukuharibu vibaya kabisa Mkuu. Haya endelea tu kisha nibonyeze Kitufe niliteremshe rasmi Kwako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Gentamycine mhuni Sana nimecheka mnoo

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Kwa maana hiyo wastani wa marks/year.
Nyerere miaka 24----->95%÷24~3.96%

Mwinyi miaka 10------>40%÷10=4%

Mkapa miaka 10------->90%÷10=9%

Kikwete miaka 10------>25%÷10=2.5%

magufuri miaka 5.4----->75%÷5.4~13.9%

Samia miaka 0.3-------->5%÷0.3~16.7%

hivyo wastani kwa mwaka nani kaperform zaidi?
 
Tanzania imewahi kuwa na Rais aitwae Magufuri? Hopeless hebu acha Kunipotezea muda tafadhali na huna Ubongo wa Kujenga Hoja nami kama hata tu Kuandika vyema ( sahihi ) jina la Rais hujui.
 
Ben, Mr. Clean
 
Tanzania imewahi kuwa na Rais aitwae Magufuri? Hopeless hebu acha Kunipotezea muda tafadhali na huna Ubongo wa Kujenga Hoja nami kama hata tu Kuandika vyema ( sahihi ) jina la Rais hujui.
Hakuna sababu yoyote ya kukufanya upaniki kiasi hicho,hayo ni makosa tu ya kiuandishi ambayo yanarekebishika bila kuanza kutoleana maneno ya kashifa.Mbona unakosa uvumilivu kwa wenzio wewe ni mwerevu kiasi gani? Je ukipewa uongozi wa kitaifa mawazo ya wenzio wanaotofautiana na wewe si utakua unayapiga nyundo?
 
..binafsi namuunga mkono Mkapa kwa kubinafsisha mashirika yaliyokuwa yakitutia hasara na kuwa mzigo kwa walipa kodi.

..ubinafsishaji haukufaulu kwa asilimia 100, lakini kwa maoni yangu ulikuwa na mafanikio kuliko mapungufu.

..Kazi kubwa aliyoifanya Mkapa ni kuiwezesha Tanzania kupata ahueni ya mzigo wa madeni yasiyolipika tuliyokuwa tukidaiwa.

..Msamaha wa madeni uliopatikana wakati wa ndio ulioziwezesha serikali za Kikwete na Magufuli kuwa na uwezo wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo.

..kosa la Mkapa lilikuwa ktk sera ya madini. Kama nchi hatukuwa na uelewa mpana kuhusu uwekezaji ktk sekta ya madini, hasara na faida zake.

..Namlaumu Mkapa kwa kutokuwa muangalifu na kuwaamini kupita kiasi wawekezaji ktk sekta ya madini.

..Jambo lingine lililoutia doa utawala wa Mkapa ni mauaji ya wananchi wa Unguja na Pemba kutokana na sintofahamu ya uchaguzi mkuu. Ukiacha mauaji hayo, pia kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu kwa wananchi wa Pemba na zaidi wafuasi wa chama cha CUF.
 
Nakuunga mkono genta has a kwenye Vita ya kagera, tulipopata ugumu wa kupambana na simba battalion ya pale mabara, Rwanda walitupa operation route nzuri iliyosaidia kuisambaratisha ngome hiyo imara ya Id Amin

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Rubbish and Hogwash.
 
Ila sera ya ubinafsishaji haikwenda vizuri.

Viwanda vilichukuliwa na wahusika hawakuviendeleza.


Vingine aliwazawadia rafiki zake na vingine akajipa yeye mwenyewe, Net gropu solution ya Tanesco ulikuwa ni uozo mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…