GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Ni Watanzania wachache sana na ambao ni Werevu kama Wewe hivi ndiyo wanajua Mchango wa Rwanda kama nchi na Wanyarwanda kama Raia katika Kufanikisha 'Intelligence Interests' za Tanzania kwa Mataifa mengine ya Ukanda wetu huu.Nakuunga mkono genta has a kwenye Vita ya kagera, tulipopata ugumu wa kupambana na simba battalion ya pale mabara, Rwanda walitupa operation route nzuri iliyosaidia kuisambaratisha ngome hiyo imara ya Id Amin
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Tatizo Mkuu ni kwamba kuna Kiongozi Mmoja Mpuuzi na Mswahili alikuwa na Chuki zake Binafsi na Rais 'Genius' Kagame hivyo kwa kuhalalisha Hasira zake akavitumia Vyombo vya Habari vya Tanzania ( ambavyo vingi vimejaa Unafiki na Upumbavu mwingi ) vije na 'Agenda' iliyo 'Maalum' ya Kuichafua Rwanda, Wanyarwanda na hasa hasa Rais wake Paul Kagame.
Hivi Rais Paul Kagame angekuwa mbaya hivyo au hafai angekuwa ni Kipenzi cha Utendaji, Mkakati na Ujasusi uliotukuka kwa Marais makini na wanaojitambua kama akina Nyerere na Mkapa?
Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania.