Ni kwasababu alikuwa na Akili sana, siyo Mnafiki, Msomaji mzuri, hakuogopa Kukosolewa, alijiamini na hakuwa Muongo kama wengine

Ni kwasababu alikuwa na Akili sana, siyo Mnafiki, Msomaji mzuri, hakuogopa Kukosolewa, alijiamini na hakuwa Muongo kama wengine

Nakuunga mkono genta has a kwenye Vita ya kagera, tulipopata ugumu wa kupambana na simba battalion ya pale mabara, Rwanda walitupa operation route nzuri iliyosaidia kuisambaratisha ngome hiyo imara ya Id Amin

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ni Watanzania wachache sana na ambao ni Werevu kama Wewe hivi ndiyo wanajua Mchango wa Rwanda kama nchi na Wanyarwanda kama Raia katika Kufanikisha 'Intelligence Interests' za Tanzania kwa Mataifa mengine ya Ukanda wetu huu.

Tatizo Mkuu ni kwamba kuna Kiongozi Mmoja Mpuuzi na Mswahili alikuwa na Chuki zake Binafsi na Rais 'Genius' Kagame hivyo kwa kuhalalisha Hasira zake akavitumia Vyombo vya Habari vya Tanzania ( ambavyo vingi vimejaa Unafiki na Upumbavu mwingi ) vije na 'Agenda' iliyo 'Maalum' ya Kuichafua Rwanda, Wanyarwanda na hasa hasa Rais wake Paul Kagame.

Hivi Rais Paul Kagame angekuwa mbaya hivyo au hafai angekuwa ni Kipenzi cha Utendaji, Mkakati na Ujasusi uliotukuka kwa Marais makini na wanaojitambua kama akina Nyerere na Mkapa?

Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania.
 
Mkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTV

Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.

RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.
Mbona Mnamnanga magufuli kupitia mkapa memorial day
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Huyo wa 25% umempa nyingi sana mkuu. Alistahi 5%,mipango mingi alikua anapanga,utekelezaji 0. Magu kaja kaipiga yote kwa miaka mi 5 tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akifa anazidishiwa sifa..
Mkapa alifungia magazeti..
Bunge halikuwa live..
Mauaji ya mwembechai..
Kuuza NBC bei ya bure.
Kuwapa wabunge mishahara hii ya sasa
Imagine toka enzi ya Mkapa mishahara ya
Wabunge ndo hii hii na bado hadi leo tunalia ipunguzwe..

Kutokulipa Kodi kwa Rais Hadi wabunge Hadi ma DC...yote haya ya Mkapa...


Watoto wa juzi mmeanza tena kusifia watu kwa kupewa mazuri Yao Tu bila ku balance mapungufu Yao makubwa..ndo maana hata wengine mnataka wajengea masanamu
Aliuza migodi yote ya dhahabu. aliwafukia wachimbani wa bulyankhulu wakiwa hai, alihusika na EPA, MEREMETA, DEEP GREEN, alimuua gen. kombe kikatili
 
Mkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTV

Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.

RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.
Mkapa alikuwa mwizi, enzi zake we popoma ulikuwa hujabalehe
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Mbaguzi wa Dini wewe
 
Mkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTV

Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.

RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.
Yaani kunawatu vigeugeu kweli hata mfanyeje hakuna zaidi ya JPM R. I. P JPM
 
Tena hata hiyo 5% nimempa basi tu na kwa ninavyoona katika Darubini yangu anavyoenda sasa huenda ikifika 2025 akaishia tu kuwa na 7% kwani kuna maeneo ya Msingi kama Matatu hivi ( ambayo sitoyataja ) naona anaupiga mwingi sana kwa Kuyakosea / Kukosea na yatamgharimu kuliko awazavyo au anavyodanganywa na 'Mswahili' Mmoja anayemuamini mno wakati 'Legacy' yake pekee aliyotuachia ni Uharibifu wa Maadili na Utaratibu wa Taifa hili la Tanzania.
Pole!
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Magufuli 0%.
 
Mkapa ndio aliweka ile sheria ya Rais hata akishinda kwa tofauti ya kura moja atangazwe mshindi, wakaondoa ushindi wa asilimia uliyokuwepo awali.

Ubinafsishaji pia ulianza enzi zake na kwa kiwango kikubwa haukwenda vizuri mpaka Nyerere akakasirika akasema mtakuja kubinafsisha hadi magereza.

Uzuri wake nakumbuka palikuwepo na ile sera ya ukweli na uwazi, hii ilitoa uhuru kwa watu kutoa maoni yao kwenye masuala mbalimbali hapakuwepo na kuwindana.
Kulikuwa Kuna kutoa maoni kwa uwazi enzi za mkapa? Kwenye kutoa maoni kwa uwazi mkapa na Magufuli wana utofauti gani?
 
Mbona Mnamnanga magufuli kupitia mkapa memorial day
Unaweza Kunionyesha ni wapi katika 'thread content' yangu nimemnanga Rais wangu wa Tatu Kiubora baada ya Nyerere na Mkapa Hayati Dkt. Magufuli?
 
Aliuza migodi yote ya dhahabu. aliwafukia wachimbani wa bulyankhulu wakiwa hai, alihusika na EPA, MEREMETA, DEEP GREEN, alimuua gen. kombe kikatili
Kwahiyo Watu walikufa tu 'Kimafia' awamu ya Mkapa ila za Mwinyi na Kikwete hakuna Watanzania waliouwawa 'Kimafia' hivyo?

Msinitibue nikasema hapa 'Mauwaji' ya 'Kimafia' yaliyotokea awamu za Mwinyi na Kikwete Wanafiki na Wapuuzi wakubwa nyie.
 
Mkapa alikuwa mwizi, enzi zake we popoma ulikuwa hujabalehe
Sasa kama nilianza 'Kubaiolojiana' na aliyekuleta duniani Kipindi cha Mkapa hadi Kumridhisha nilikuwa nakojoa Upepo tu au?
 
Hakuna sababu yoyote ya kukufanya upaniki kiasi hicho,hayo ni makosa tu ya kiuandishi ambayo yanarekebishika bila kuanza kutoleana maneno ya kashifa.Mbona unakosa uvumilivu kwa wenzio wewe ni mwerevu kiasi gani? Je ukipewa uongozi wa kitaifa mawazo ya wenzio wanaotofautiana na wewe si utakua unayapiga nyundo?
Huyu jamaa hata mimi nimemshangaa yaan katoa hoja nzuri tu lakini tatizo anataka wooote tutembee kwenye mawazo yake ukitofautiana naye basi unakashifiwa au unatukanwa sasa sijui maana ya mjadala huru nini , kujua kwingi na kuona unaweza kufikiri vizuri zaid kuliko wenzio wote nayo ni aina fulan ya ulemavu.
 
Back
Top Bottom