Ni kwasababu alikuwa na Akili sana, siyo Mnafiki, Msomaji mzuri, hakuogopa Kukosolewa, alijiamini na hakuwa Muongo kama wengine

Na wala sitobadilika pia katika hili sawa?
 
Hapana kuna maeneo kaanza vyema ila anachokosea tu na Kunikera zaidi ni Kumsikiliza Mharibifu wa Taifa hili la Tanzania hasa Kimaadili na Kiutendaji badala ya kukaa nae mbali tena Kumuepuka kabisa.
Msisingizie watu, msishabikie ngonjera, Msizungumze porojo za vijiweni kwa uhakika,

mna uthibitisho kwamba huyo mzee mnayemsema ndiyo mshauri wake mkuu?
 
Hii hesabu ndiyo ile inayoitwa MAGAZIJUTO?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tanzania imewahi kuwa na Rais aitwae Magufuri? Hopeless hebu acha Kunipotezea muda tafadhali na huna Ubongo wa Kujenga Hoja nami kama hata tu Kuandika vyema ( sahihi ) jina la Rais hujui.
Kuna hoja ya kuangalia hapa kama intellectuals
 
Msee ya Lupaso
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Yaani mwehu unampa sabuni?
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Duuu kwa miaka 5 mtu ana 75 vs mtu wa/miaka 10
Ma 20

Jpm hakika ni alama
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Hizi asilimia umepima kwa vigezo vipi na term and conditions vimezingatiwa mkuu?😂

Ila huyo mwamba uliyempa 25% alitafuna nchi na washkaji zake wallah
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.

Magufuli 0%
 
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.

Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....

Nyerere 95%

Mwinyi 40%

Mkapa 90%

Kikwete 25%

Magufuli 75%

Samia 5% mpaka sasa

Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
EXCELLENT
 
Lakini aliyeachiwa deni dogo la TAIFA alishindwa kuendeleza nchi akabaki mtembezi na kula bata ughaibuni na washkaji zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…