GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Na wala sitobadilika pia katika hili sawa?Huyu jamaa hata mimi nimemshangaa yaan katoa hoja nzuri tu lakini tatizo anataka wooote tutembee kwenye mawazo yake ukitofautiana naye basi unakashifiwa au unatukanwa sasa sijui maana ya mjadala huru nini , kujua kwingi na kuona unaweza kufikiri vizuri zaid kuliko wenzio wote nayo ni aina fulan ya ulemavu.
Msisingizie watu, msishabikie ngonjera, Msizungumze porojo za vijiweni kwa uhakika,Hapana kuna maeneo kaanza vyema ila anachokosea tu na Kunikera zaidi ni Kumsikiliza Mharibifu wa Taifa hili la Tanzania hasa Kimaadili na Kiutendaji badala ya kukaa nae mbali tena Kumuepuka kabisa.
Nayajua makubwa tu usiyoyajua Wewe.Msisingizie watu, msishabikie ngonjera, Msizungumze porojo za vijiweni kwa uhakika,
mna uthibitisho kwamba huyo mzee mnayemsema ndiyo mshauri wake mkuu?
Hii hesabu ndiyo ile inayoitwa MAGAZIJUTO?Kwa maana hiyo wastani wa marks/year.
Nyerere miaka 24----->95%÷24~3.96%
Mwinyi miaka 10------>40%÷10=4%
Mkapa miaka 10------->90%÷10=9%
Kikwete miaka 10------>25%÷10=2.5%
magufuri miaka 5.4----->75%÷5.4~13.9%
Samia miaka 0.3-------->5%÷0.3~16.7%
hivyo wastani kwa mwaka nani kaperform zaidi?
@moderatorPopoma Shangazi yako / Mjomba wako.
Kuna hoja ya kuangalia hapa kama intellectualsTanzania imewahi kuwa na Rais aitwae Magufuri? Hopeless hebu acha Kunipotezea muda tafadhali na huna Ubongo wa Kujenga Hoja nami kama hata tu Kuandika vyema ( sahihi ) jina la Rais hujui.
Msee ya LupasoMkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTV
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.
RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.
HongeraNayajua makubwa tu usiyoyajua Wewe.
Anzia Kibaha hadi Mbezi kwa ufupi tu barabara imepanuliwa hadi raha tatu kwenda tatu kurudi katikati mwendokasiMagufuli hamna kitu hapo
Yaani mwehu unampa sabuni?Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Duuu kwa miaka 5 mtu ana 75 vs mtu wa/miaka 10Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Ubinafsishaji ulianza kwa Mwinyi, Mkapa yeye aliendeleza pale alipoachia Mwinyi.sawa popoma
Barabara za kuunganisha mikoa yote Tanzania ulifanyika wewe? Shule za kata Tanzania nzima?Huyo wa 25% umempa nyingi sana mkuu. Alistahi 5%,mipango mingi alikua anapanga,utekelezaji 0. Magu kaja kaipiga yote kwa miaka mi 5 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi asilimia umepima kwa vigezo vipi na term and conditions vimezingatiwa mkuu?😂Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Ukiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
EXCELLENTUkiniambia nisahihishe Tawala zote za Tanzania Kitaaluma haya ndiyo Matokeo yangu na naomba yaheshimiwe tafadhali....
Nyerere 95%
Mwinyi 40%
Mkapa 90%
Kikwete 25%
Magufuli 75%
Samia 5% mpaka sasa
Ukichukia jikaangie tu Sumu unywe Ufe.
Lakini aliyeachiwa deni dogo la TAIFA alishindwa kuendeleza nchi akabaki mtembezi na kula bata ughaibuni na washkaji zake...binafsi namuunga mkono Mkapa kwa kubinafsisha mashirika yaliyokuwa yakitutia hasara na kuwa mzigo kwa walipa kodi.
..ubinafsishaji haukufaulu kwa asilimia 100, lakini kwa maoni yangu ulikuwa na mafanikio kuliko mapungufu.
..Kazi kubwa aliyoifanya Mkapa ni kuiwezesha Tanzania kupata ahueni ya mzigo wa madeni yasiyolipika tuliyokuwa tukidaiwa.
..Msamaha wa madeni uliopatikana wakati wa ndio ulioziwezesha serikali za Kikwete na Magufuli kuwa na uwezo wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo.
..kosa la Mkapa lilikuwa ktk sera ya madini. Kama nchi hatukuwa na uelewa mpana kuhusu uwekezaji ktk sekta ya madini, hasara na faida zake.
..Namlaumu Mkapa kwa kutokuwa muangalifu na kuwaamini kupita kiasi wawekezaji ktk sekta ya madini.
..Jambo lingine lililoutia doa utawala wa Mkapa ni mauaji ya wananchi wa Unguja na Pemba kutokana na sintofahamu ya uchaguzi mkuu. Ukiacha mauaji hayo, pia kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu kwa wananchi wa Pemba na zaidi wafuasi wa chama cha CUF.
Alikuwa mtembezi na mla bata ughaibuni,huku deni la TAIFA aliachiwa dogo na mzee Mkapa ila alishindwa kuendeleza nchiHuyo wa 25% umempa nyingi sana mkuu. Alistahi 5%,mipango mingi alikua anapanga,utekelezaji 0. Magu kaja kaipiga yote kwa miaka mi 5 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app