wigo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 914
- 502
Kwanini hiyo miji mitukufu isiwe hapa kwetu?Nenda kwenye miji mitukufu kama maka ushahidi upo wazi kabisa kuanzia nyayo zao na makaburi yao pia yapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hiyo miji mitukufu isiwe hapa kwetu?Nenda kwenye miji mitukufu kama maka ushahidi upo wazi kabisa kuanzia nyayo zao na makaburi yao pia yapo
kila kitu kinachotokea huwa na sababu yakeKwanini hiyo miji mitukufu isiwe hapa kwetu?
Mkuu haya matusi mbona hivi? Na kanisani wanafundisha hivi? Kwamba mtu akikutukana na we mtuakane,duh! Nimeogopa aisee...........ni hatari sana hii hata kibinadamu tu ni hatari wala si mpaka maandiko yanasemaje!!Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!
tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.
Soma isaya 14:12soma ufunuo 22:16.
Ufunuo 21
“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!”
Soma Ufunuo 22
Acha woga.*******HII POST YAKO NAKUSHAURI UITENGUE UTAKUJA KUJUTA SANA PINDI UKATAPO ROHO, NA UTAONESHWA TENA LIVE******
Watukanaji hawataingia mbinguniUnajua nikusaidieni enyi watumishi wa shetani, chaguaneni hapa mmoja wenu hasa wewe wakutangaze kwamba ni mungu, uandike kitabu chako kama una sababu useme adamu aliishi miaka 45 kama life span yako ilivyo. Upagani ni mateso, hata elimu kidogo tu huna? Huu upumbavu wenu wa kumfanya Mungu kwamba ni ******** kama nini mtajutia. Yaoneni niyni wenyewe.Tena sirudi tena hapa, wala usisumbuke kunijibu. Pumbavu wewe.
so umekubali kuwa Lucifer ni nyota ya asubuhi na pia yesu vilevile ni nyota ya asubuhi na hivyo Lucifer ndo yesu?Soma isaya 14:12
"jinsi ulivyo anguka toka mbinguni, ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi, jisi ulivyo katwa kabisa ewe uliyeangusha mataifa. "
Bora yako wewe unaelijua hilo,Lakini wapendwa msilisahau hili kwamba kwa Bwana, SIKU MOJA SAWA NA MIAKA ELFU na MIAKA ELFU SAWA NA SIKU,(2PETRO 3:8, ZABURI 90:4)
tatizo huna yesu, ukiwa na yesu hayo matusi yote yanaruhusiwa na mbinguni unaenda.. hatari sana [emoji1] [emoji1]Watukanaji hawataingia mbinguni
Jifunzeni kutoka kwa Yesu maana ni mpole na mnyenyekevutatizo huna yesu, ukiwa na yesu hayo matusi yote yanaruhusiwa na mbinguni unaenda.. hatari sana [emoji1] [emoji1]
Mkuu umewashika wafia dini.Roho ni nini?
Unaweza kuthibitisha roho ipo?
Yesu sio mpole bali alikuwa ni mkaidi sana, Mungu alimpa Yesu mtihani wa Njaa , Yesu alitembea na kukuta mti na alitegemea angekuta matunda ili apoze njaa yake lakini kwa bahati mbaya huo mti hakukuta matunda na hivyo basi Yesu alikasirika sana na kuulaani ule mti usitoe matunda mileleJifunzeni kutoka kwa Yesu maana ni mpole na mnyenyekevu
Eleza tofauti ya Yesu na MunguYesu sio mpole bali alikuwa ni mkaidi sana, Mungu alimpa Yesu mtihani wa Njaa , Yesu alitembea na kukuta mti na alitegemea angekuta matunda ili apoze njaa yake
Yesu ni mtu lakini Mungu ni Mungu,Eleza tofauti ya Yesu na Mungu
Na wewe elezea Yesu ni Mungu kivipi??Eleza tofauti ya Yesu na Mungu
Hapo jibu ni simple sanamistari mingine inayochanganya ni hii..
MWANZO 2:25
"Nao walikuwa uchi wote wawili, Adam na mkewe, WALA HAWAKUONA HAYA."
BAADA YA KULA TUNDA.
MWANZO 3:7
"Wakafumbuliwa macho wote wawili, WAKAJIJUA KUWA WA UCHI."
sasa mbona kwenye aya ya pili inasema kabisa Adam na Eva walijua wapo uchi na hawakuona haya/aibu, na hii aya ya tatu inasema BAADA YA KULA TUNDA WAKAJIJUA WAPO UCHI kana kwamba Eva hajawahi kuona mkwaju wa Adam na Adam hajawahi kuona kitumbua cha Eva?
Lucifer ni mfalme wa ulimwengu, yesu yupo mbinguni.so umekubali kuwa Lucifer ni nyota ya asubuhi na pia yesu vilevile ni nyota ya asubuhi na hivyo Lucifer ndo yesu?
Yesu si mungu.Eleza tofauti ya Yesu na Mungu
Uongo mwingine huu..
MWANZO 6:3
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.
MWANZO 7:6
Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
* * * * * * * *
huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..
Hatari sana.