Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!

tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.
Mkuu haya matusi mbona hivi? Na kanisani wanafundisha hivi? Kwamba mtu akikutukana na we mtuakane,duh! Nimeogopa aisee...........ni hatari sana hii hata kibinadamu tu ni hatari wala si mpaka maandiko yanasemaje!!

Kila la heri mkuu!!!
 
soma ufunuo 22:16.
Ufunuo 21
“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!”
Soma Ufunuo 22
Soma isaya 14:12

"jinsi ulivyo anguka toka mbinguni, ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi, jisi ulivyo katwa kabisa ewe uliyeangusha mataifa. "
 
Unajua nikusaidieni enyi watumishi wa shetani, chaguaneni hapa mmoja wenu hasa wewe wakutangaze kwamba ni mungu, uandike kitabu chako kama una sababu useme adamu aliishi miaka 45 kama life span yako ilivyo. Upagani ni mateso, hata elimu kidogo tu huna? Huu upumbavu wenu wa kumfanya Mungu kwamba ni ******** kama nini mtajutia. Yaoneni niyni wenyewe.Tena sirudi tena hapa, wala usisumbuke kunijibu. Pumbavu wewe.
Watukanaji hawataingia mbinguni
 
Soma isaya 14:12

"jinsi ulivyo anguka toka mbinguni, ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi, jisi ulivyo katwa kabisa ewe uliyeangusha mataifa. "
so umekubali kuwa Lucifer ni nyota ya asubuhi na pia yesu vilevile ni nyota ya asubuhi na hivyo Lucifer ndo yesu?
 
tatizo huna yesu, ukiwa na yesu hayo matusi yote yanaruhusiwa na mbinguni unaenda.. hatari sana [emoji1] [emoji1]
Jifunzeni kutoka kwa Yesu maana ni mpole na mnyenyekevu
 
Jifunzeni kutoka kwa Yesu maana ni mpole na mnyenyekevu
Yesu sio mpole bali alikuwa ni mkaidi sana, Mungu alimpa Yesu mtihani wa Njaa , Yesu alitembea na kukuta mti na alitegemea angekuta matunda ili apoze njaa yake lakini kwa bahati mbaya huo mti hakukuta matunda na hivyo basi Yesu alikasirika sana na kuulaani ule mti usitoe matunda milele
 
Eleza tofauti ya Yesu na Mungu
Yesu ni mtu lakini Mungu ni Mungu,

Mungu haendi haja ndogo wala kubwa lakin Yesu alikuwa anaenda

Mungu hasikii njaa wala hali lakin yesu alikuwa anakula


Mungu hana mama, baba wala mtoto lakin yesu anaye mama



Mungu haombi msaada lakin yesu aliomba msaada "Ewe baba ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke walakini si ntakavyo mimi bali wewe, ikiwezekana mapenzi yako yatimizwe"
 
mistari mingine inayochanganya ni hii..

MWANZO 2:25

"Nao walikuwa uchi wote wawili, Adam na mkewe, WALA HAWAKUONA HAYA."

BAADA YA KULA TUNDA.

MWANZO 3:7

"Wakafumbuliwa macho wote wawili, WAKAJIJUA KUWA WA UCHI."

sasa mbona kwenye aya ya pili inasema kabisa Adam na Eva walijua wapo uchi na hawakuona haya/aibu, na hii aya ya tatu inasema BAADA YA KULA TUNDA WAKAJIJUA WAPO UCHI kana kwamba Eva hajawahi kuona mkwaju wa Adam na Adam hajawahi kuona kitumbua cha Eva?
Hapo jibu ni simple sana
Ila cna muda wa ku type
 
so umekubali kuwa Lucifer ni nyota ya asubuhi na pia yesu vilevile ni nyota ya asubuhi na hivyo Lucifer ndo yesu?
Lucifer ni mfalme wa ulimwengu, yesu yupo mbinguni.
 
Fahamu Nuhu alikuwa na special task. So alipaswa kuendelea kuwepo na pia hata katika maisha haya tunayosema binadamu wote ni sawa utagundua si kihivyo kuna watu wana special case. Kama alivyo rais na wewe ambaye ukishakula marahage yako unakuja kutoa gesi kama hii.

Uongo mwingine huu..

MWANZO 6:3

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.

MWANZO 7:6

Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

* * * * * * * *

huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..

Hatari sana.
 
Back
Top Bottom