Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mimi nilalamike maisha magumu? Au umejibu tu? Kama ulipo ni asubuhi doesn't mean Kila mahali ni asubuhiYani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
Jielekeze kwenye hojaYani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
Hahaha umemjibu vyema sanaJielekeze kwenye hoja
Weeee basi Tanzania tumepiga hatua kumbe Mpwa. Thanks Kwa maelezoNchi zilizoendelea Polisi na wanajeshi sio kazi za kudumu.
KumbeTumerudi uchumi wa chini kwa sababu kama hizi
Kwanza ni kazi za makampuni binafsi na siyo kama huku CCMNchi zilizoendelea Polisi na wanajeshi sio kazi za kudumu.
Hoja yako ni mfu!Jielekeze kwenye hoja
Nadhani ungejikita kwenye HojaYani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
Usidhani wote humu wanakaa sehemu yenye majira sawa na unapoishi wewe.Pengine sehemu alipo mtoa mada ni saa tisa mchana.Yani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
shukrani sana sanaNi kweli ndugu
basi ndio maanaHao majeshi kuna Kipind walikuwa na probation mpaka miaka 5 na unakaa kota ,ukizingua unatemwa kweupe.