Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Hahahahahahhuyo ni mwanamgambo wa Israel toka Shelui achana nae ana msongo wa mawazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahhuyo ni mwanamgambo wa Israel toka Shelui achana nae ana msongo wa mawazo
Shukrani sanaAskari yoyote unaemjua wewe,iwe askari polisi,mwanajeshi,magereza,zimamoto,wqle wa TANAPA. Hakuna askari mwenye ajira ya kudumu isipokuwa hufanya kazi kwa mkataba wa kati ya miaka sita hadi kumi.
Yani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
Hoja yako ni mfu!
Tafuteni hoja zenye hoja sio udaku asubuhi hii.
Mbona wengi wastaafia huko?Askari yoyote unaemjua wewe,iwe askari polisi,mwanajeshi,magereza,zimamoto,wqle wa TANAPA. Hakuna askari mwenye ajira ya kudumu isipokuwa hufanya kazi kwa mkataba wa kati ya miaka sita hadi kumi.
Ni sawa,lakini wana renew mikataba kila baada ya miaka kadhaa. Na kuna wengine wanatemwa.hawapewi mikataba mipyaMbona wengi wastaafia huko?
Inamaana mwisho wa mkataba ukifika anaangaliwa kama anafaa kuendelea na mkaba mwingine ndyo maana unaona mtu anapewa mkataba mpya mpaka umri wa kustaafu unafika akiwa kazini.Mbona wengi wastaafia huko?
Sijui hata ulichoandika bwana Mkorinto[emoji1745]naomba unipe tofauti ya Police Officer na Mtumishi Mwajiriwa. Kwa uzoefu wangu wa tangu naingia DEPO CCP,nafanya kazi kama Polisi na kuisoma PGO,Police Officer ni kuanzia Nyota Moja na kuendelea,kabla ya Nyota Moja hao huitwa Rank and File japo nao ni Polisi. Sasa ukitaka kujua kwa nini hivyo ingia kwenye PGO soma utapata ufafanuzi wote. Na hata uki-google to Rank and File utapata ni Mtumishi yeyote kwenye Vyombo vya Ulinzi ambaye hajafikia ngazi ya Uofisaofisa anayetambulika ni nyota 3 na kuendelea.labda ungesema mtumishi mwajiriwa ni kuanzia nyota 1 na kuendelea.
ila kuna Afisa wa polisi.
huyu ni askari yeyote wa polisi unayemuona.
Rank and FileSijui hata ulichoandika bwana Mkorinto[emoji1745]naomba unipe tofauti ya Police Officer na Mtumishi Mwajiriwa. Kwa uzoefu wangu wa tangu naingia DEPO CCP,nafanya kazi kama Polisi na kuisoma PGO,Police Officer ni kuanzia Nyota Moja na kuendelea,kabla ya Nyota Moja hao huitwa Rank and File japo nao ni Polisi. Sasa ukitaka kujua kwa nini hivyo ingia kwenye PGO soma utapata ufafanuzi wote. Na hata uki-google to Rank and File utapata ni Mtumishi yeyote kwenye Vyombo vya Ulinzi ambaye hajafikia ngazi ya Uofisa
Sijui hata ulichoandika bwana Mkorinto[emoji1745]naomba unipe tofauti ya Police Officer na Mtumishi Mwajiriwa. Kwa uzoefu wangu wa tangu naingia DEPO CCP,nafanya kazi kama Polisi na kuisoma PGO,Police Officer ni kuanzia Nyota Moja na kuendelea,kabla ya Nyota Moja hao huitwa Rank and File japo nao ni Polisi. Sasa ukitaka kujua kwa nini hivyo ingia kwenye PGO soma utapata ufafanuzi wote. Na hata uki-google to Rank and File utapata ni Mtumishi yeyote kwenye Vyombo vya Ulinzi ambaye hajafikia ngazi ya Uofisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao majeshi kuna Kipind walikuwa na probation mpaka miaka 5 na unakaa kota ,ukizingua unatemwa kweupe.
Ndo leo najua hili, sasa mbna wengne had wanastaafu inakuaje?Askari yoyote unaemjua wewe,iwe askari polisi,mwanajeshi,magereza,zimamoto,wqle wa TANAPA. Hakuna askari mwenye ajira ya kudumu isipokuwa hufanya kazi kwa mkataba wa kati ya miaka sita hadi kumi.
Hata mie wallahLeo ndio nimeelewa kwanini polisi wamechanganyikiwa.
Kwer kabisaHii ni Post ya kuomba UELEWA. Kuna Mahali nilikua nimekaa na Wadau zikaanza story hapa na pale, Kuna jamaa akasema Polisi hasa wa rank ndogo na hawa akina kajamba nani HAWANA ajira za kudumu Hadi ufikie Rank Fulani?
Akaendelea kufafanua kuwa hawa ni Wafanyakazi wa "Idara" na sio watumishi wa Umma NDIO maana hata RPC tu anaweza kumfukuzisha KAZI ASKARI na hakuna Cha kufanya.
Tafadhali Mwenye uelewa na JAMBO hili atuelimishe. Wengine hatujawahi kubahatika kuingia kwenye utumishi wa serikali.
Yaani mi mwenyewe sijaelewa,kwani kuna polisi,magereza,jw n.k ambao wanastaafu wakiwa hawana nyota,Inamaana wanastaafu wakiwa vibarua... ?Mta fanya police wapate hasira zaidi [emoji28][emoji28]eti vibarua