Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Habari wanajamii na kheri ya Eid El fitr! Naona kumekuwa na propaganda ati kwamba kwa wanaume kula kiepe kunaua nguvu za kiume ila wataalamu yaani madaktari wanakataa!
Vp wadau wa kiepe mumewahi experience erectile dysfunction kwa kula zege!
N.B walianza kutuambia Chinese mboga inaua nguvu za kiume, wakaja na energy drinks, wakaja na kuku za kisasa na mayai ya kisasa sasa wameingia kwenye kiepe. Na bado tunaambiwa tukitumia Viagra tutakufa kibudu! Tuamini kipi, tushike kipi na tuache kipi?
Vp wadau wa kiepe mumewahi experience erectile dysfunction kwa kula zege!
N.B walianza kutuambia Chinese mboga inaua nguvu za kiume, wakaja na energy drinks, wakaja na kuku za kisasa na mayai ya kisasa sasa wameingia kwenye kiepe. Na bado tunaambiwa tukitumia Viagra tutakufa kibudu! Tuamini kipi, tushike kipi na tuache kipi?