Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?


Beauty is in the eye of the beholder......binafsi pia namkubali sana actress Angelina Jolie
 
Waethiopia, Somali na wanyarwanda ndo descendants wake ona walivo wazuri
 
Hahaha
Katika historia nnazo kataaga ni hizo, hata kipind hiki kusema uyu ndo mzuri kuliko dunian tuna shndwa pamoja na kuepo kwa technologia

Yaan ni uongoo huo
 
Hii ina ni convice
 
Mwenye wimbo wa Cleopatra wa gwiji Zahir Zorro autupie hapa tafadhali.
 
Julius Cesar aliyekua mtawala wa Roman Empire alikwisha kabisa kwa Cleopatra ukumbuke Roman Empire ilitawala dunia kabla ya Uingereza. Cleopatra alikua na asili ya Afrika.
Mark Anthony ndio alimpenda Cleopatra na aliisaliti Roma kwaajili ya Cleopatra.

Octavian Cessar as manipulator.
 
Huo uzuri wake labda kwa kipindi hicho.Nenda posta pale jioni kuna watoto wazuri hata huyo Cleopatra anaomba 'po'
 
You se
Mark Anthony ndio alimpenda Cleopatra na aliisaliti Roma kwaajili ya Cleopatra.

Octavian Cessar as manipulator.

You seems to know history, it was my passion too but my parents wanted me to do science, which I don't regret. Julius Cesar and Cleopatra were in a relationship which produced a son by name Caesarean. Clepatra took Caesarean to Rome to visit Julius, while they were there Julius was stubbed to death by one of his loyalist and Mark Antony who was Army General took power and took Cleopatra as well. He married Cleopatra and appointed her to be the ruler of Egypt, Cyprus Greece and Syria which to many seemed like abusive of power.
 
Kwa uzuri kweli mzuri ila wapo wazuri zaidi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…