Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

hapo naweza kukubali,katika hali ya kawaida haiwezekani akavuma kiasi hicho.
 
Unamaanisha Saada Salehe aliyeimbwa kwenye mabinti wa kitanga?
 
Jina la kwanza alilopewa na wazazi wake kabla ya wazungu kushindwa kulitamka na kupa cleopatra ni "NEFERTITTI",for sure she was beautiful,nawaletea picha ya black and white

Mkuu unadanganya mno nefettit ni mwingine mkuu
 
Mkuu hakuna picha halisi za huyo mwanamke....alikuwepo miaka mingi kabla hata ya yesu.
Hizo unazoziona ni picha za filamu za mwanamke aliyeiigiza maisha yake
Duh sasa tutamuonaje ili tujifananishe na hatimae tuandamane kupinga hiyo kauli kuwa yeye ni mzuri duniani
 
Sophia Alex alisoma UDSM B.A PSPA (2003/4 - 2007) ndiye mwanamke mzuri kuliko wote duniani.
 
Cleopatra yupi wewe?
Madame B tu au Evelyn Salt wangu anamuacha huyo Cleopatra wako kwa mbali sana.
Za kuambiwa changanya na zako
Naona umerogwa wewe.
Afu mbona hukunishtua kuwa yule ndo wife maana nusura nikinukishe siku ile Twita (japo na mimi nilikuwa na zee langu) sema my wii mama kichanga akasema "we (yaani mimi) mzungu....kuku wangu wewe manati ya nini?"
Hahhaa.....si
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…