johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Ahsante sana kwa Ufafanuzi na mfano haiHuo ndio utaratibu ulivyo ndio maana mara nyingi teuzi wanafanya usiku. Mara baada ya kuteuliwa kwa kiongozi mpya na mwingine kutenguliwa, Dereva anatakiwa amtafute na aripoti kwa mteuliwa mpya.
Hiko kilimtokoea mwigula enzi za JPM alikiwa ziarani Kigoma na akatengulowa huko. Utaratibu unamtaka dereva ambebe waziri/RC/DC/DED anayetakiwa na aliyepo kwenye nafasi na sio vinginevyo.
Dereva hajakosea mkuu.
Hatoboi awamu ijayo stay tuned hatuwez kuwa na viongozi washamba namna hii anaona kama Nchi ya baba ake ananjiongelesha tu ujingaumesema kweli... Na bado anaendelea kupiga pesa ya ubunge.
Kwa hio alirudi na Boda Boda au uberHizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Dereva anabeba Mamlaka/cheo/nafasi habebi mtu. Hiki wengi hawajui na huwa wanawalaumu madereva wanapotimiza wajibu wao. Kumchukua kuongozi aliyekwisha tumbuliwa atafanya kimahusiano na sio kiutaratibu.Ahsante sana kwa Ufafanuzi na mfano hai
Kipindi cha Magu alipo mtumbua alikuwa Arusha, wasamaria wema ndio walimpa lift kwenda airport maana gari ili pelekwa kwa mkuu wa mkoaSiwezi kuamini kama hili ni la kweli
Nchi hii unafiki na umbeya ni mwingi sanaHizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
ππππππDah Yani siasa zinahuzunisha Na kuchekesha sanaPale Ikulu Mwinyi alipovunja Baraza Mawaziri waliondoka kwa miguu Baada ya kukuta Magari hayapo πππ
Suala ni je alipanda gari gani? Wote waliokuwepo kwenye tafrija hiyo walipata usafiri!Hawezi kukosa usafiri Nape. Hii ishu haina maana.
Mbona fedheha sanaAhsante sana kwa Ufafanuzi na mfano hai
Ndicho ninachomaanisha boss, kuwa Kujadili alipanda gari gani si suala lenye maana.Suala ni je alipanda gari gani? Wote waliokuwepo kwenye tafrija hiyo walipata usafiri!
Aisee! Labda alikuwa hamteat vizuri duh!
Kumbuka, mpaka muda huo walikuwa wote field na Waziri alikuwa na kazi ya kiofisi, na documents zote muhimu za wizara anazo kwenye laptop na mkoba wake, unamuachaje bila kuzungatia usalama wa nyataka za serikali? Unatarajia itakabidhi nini ofisini kwa anaye mrithi?Anabadilisha plate namba kutoka wapi? Dereva anatakiwa ampakie Waziri(CHEO) na sio dereva binafsi wa Nape. Hayo ya kubadilisha oale namba ni mahusiano tu.
Alikuwa sahihi.
Labda..!!Aisee! Labda alikuwa hamteat vizuri duh!
Au RutoMadaraka ni matamu kuliko Fedha kama unabisha muulize Trump au Ramaphosa ππ
ππππNchi hii unafiki na umbeya ni mwingi sana
Yes kama aliishi Nae vizuri hawez mfanyia ivoWatanzania ni wakarimu sana, namna pekee dereva anaweza muacha Nape (kama kweli alimuacha) itakuwa hawakuwa na mahusiano mazuri ya kazini.
Ruto maskini yule πAu Ruto
Yeye mwenyewe hadi kafunga kwa muda account yake ya X, anajua kabisa hizo kelele ambazo zinapigwa toka usiku mkuu π!Wallah Kelele ni nyingi juu ya Nape [...] Jf imechafuka juu yake
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
YOHANE, YOHANE nakuita Yohane.Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X