Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Hilo ninswali au jibu?
 
kila mtanzania anakula unga kama sio sembe donna zamani tulitumia unga uliitwa yanga wa njano sasa wewe tuambie ni unga upi wa mahindi ngano mtama muhogo au wa soya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…